Chief uko sahihi kwa asilimia [emoji817] huku kukwepa majukumu na kuona mwanamke anapendelewa nacho ni chanzo cha wanaume wasiojiamini dhaifu wakaamua kureft group na kuamua kwenda kwa wanaopendelewa.
Hivi 50 kwa 50 ni anguko baya mno kutokea duniani na cha ajabu utakuta na janaume linasimama nalo linapigania usawa alisahau kuwa yeye ni kiranja katika familia.
Madhara ya kuwapatia fursa zisizostahili hawa wanawake ndio haya leo tunayoendelea kuyaona....
-Ongezeko la masingle mama na watoto kukosa kuongozwa viranja wa familia...
-65 ya wanawake waliopo kwenye ajira wengi wao hawajaolewa na hawataki ndoa wakiamini hakuna wanachokosa siku akihitajia huduma ya kimaumbile atampigia amtakaye watamalizana imeisha.
-Wanaume kukimbia majukumu kutaongezeka kutokana na hizi sheria za mchongo tunazoishi nazo kwenye miongozo ya umoja wa mataifa ambayo ukikaa na kuzidadavua utajuwa kabisa mtungaji hakuwa na lengo jema na jamii za sisi wanadamu.
WANAUME TUTABAKI WANAUME TU HATA TUBAKI 15 DUNIA NZIMA.
N.B
NA MWANAUME KUTAKA HAKI SAWA NAO NI UWANAWAKE
Sent from my SHV45 using
JamiiForums mobile app