Shituka kijana, wewe sio benki kwenye mahusiano yako

Duuh una madini matamu mwanangu, mwenye kuona na ajionee na mwenye kusikia na asikie, Mimi stakagi kuhonga Dem eti kisa utelezi au penzi, siku akiwashwa atajileta mwenyewe tuuu
 
I've got a fiver kwa pocket na namtumia bibi ako a deuce hivyo nabakiwa na 3 ,acha animalize tu maana ndio nimemchagua.

Jogoo sio kesi kwangu hata tembele huwa tunatafuna .
Toto ya wenyewe Ina nenepa Kama buffalo au hippopotamus 🤓.

Brazee una kaa ka nguzo au kuni iliyo chanjwa🤣🤓
 
mwanamke lazima ahudumiwe, hiyo ni nature, tena kabla hajaomba unatakiwa ujue kua mwenza wako anashida fulani.

Kama huhudumii utasaidia na watu waliotayari kuhudumia
Wewe hudumia sisi tunakula, ndo nyie mnajinyongaga sababu ya uboya wenu, unajikita wewe ndo baba yake siku ukigundua wahuni tuna mla Tena pande zote kama samaki ndo mnaishiaga kujitundika kiboya
 
wanaendekeza biashara ya mapenzi sio, ni mbaya sana 🐒

wasipostuka mapema....

watajipata vichocheo vya mapenzi hawana, nguvu za kijinsia zimewaishia , umri umeenda, na pesa zimekweisha wanaishia umaskini wa kutupwa na hawapendeki kwa yeyote tena dah!🐒

hurumaeee 🐒
 
Naam watakuelewa tu comrade, tukae kimasta🤓
 
Yeah ananona na huu umasikini wangu bado najitahidi.

Hapo mwisho sijaelewa .😅
Why usi save hizo vichenchi ufanye ka kitu muzuri!?.

Leo lugha ya wenyewe ime kukanda mpaka una feel dizzy😆🤓.

Nguzo za umeme una zijua zilivyo shepiwa ??, kuni SI huwa Zina vunjwa ili tupikie chakula kwa boma😆🤓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…