Ni maswali mengi sana kwenye Hili Je ni kwasababu hawapigi mzigo vizuri? Maana unaweza kuwalaumu wanawake Kumbe jamaa performance yake ndogo dk 5 tu kalala fofofo hata kama ni dk chache Mzungu huyo basi unganisha napo ni changamoto swali la pili je ni kwasababu ya uchovu au kuchoka? Je kwasababu ya stress au mood mbaya? au unakuta kuna wengine wana desire ndogo ya kufanya sex Ndio Maana wanawanyima unyumba wanaume zao au kuna sababu zingine tofauti ambazo sizijuiHata sijui kwanini nisiwasemee wenye kunyimana ππlakini wanakwazika kweli
Mjanja mjanja sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yan huyu anawapasua kichwa balaa
Yote yanawekana ila Hilo sio suluhisho muhimu ni kuyazungumza tuNi maswali mengi sana kwenye Hili Je ni kwasababu hawapigi mzigo vizuri? Maana unaweza kuwalaumu wanawake Kumbe jamaa performance yake ndogo dk 5 tu kalala fofofo hata kama ni dk chache Mzungu huyo basi unganisha napo ni changamoto swali la pili je ni kwasababu ya uchovu au kuchoka? Je kwasababu ya stress au mood mbaya? au unakuta kuna wengine wana desire ndogo ya kufanya sex Ndio Maana wanawanyima unyumba wanaume zao au kuna sababu zingine tofauti ambazo sizijui
[emoji23][emoji23]Nitamvumilia tu sema wifi ndo mtata yaani akinikubali huyu mbona tutadumu[emoji3][emoji3][emoji3]
Waname wenzangu kila ninapopata fursa ya kutatuaa mapagale a.k.a 0713 za mafeminist hua nawawakilisha vema. Na mpaka mda huu ubao wa record unasoma marinda 48 yameishashugulikiwa ipasavyo.Ladies ukipata nafasi ya kumtesa mtoto wa mama mkwe kwa namna yoyote ile unatuwakilisha vyema
ππππ
Mara paap anakwambia si utamke hayo matusi mbona unatukania moyoni si wajifanya kidomo juu kama chuchungee! πππ€£π€£π€£π€£Sijawahi kudundwa,na sitokuja kudundwa....Niko makini sana kwenye hicho kipengele
Yaani nikifikiria meno yangu ya baraza yatolewe?mara jicho limevilia damu hapana Kwa kweli Niko radhi niwe mjinga mbele yake huku anakula matusi rohoni
π³π³Ndio wewe!? ππππHad maji aite mma
Inajulikana muda mzuri wa kuBAIOLOJIANA ni usiku.. ππ
π€£π€£π€£ Ataongeza bidii ya kukupata alipizeππππAlafu ukute tulikwazana kwenye comment penzi Chali πππ
Kweli naacha bae π€£π€£π€£Hapo kwenye kuacha sasa[emoji23]
Waje nawasubiri π€£π€£π€£Location ya anapokaa ishajulikana, wanajipanga sasa hivi[emoji23]
Nimehama jana π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio bonyokwa tena?
Eti nimemuweka kabatini aozee huko!! Afu baadae kikani unblock kichungulie naongea nini?? π€£π€£π€£π€£Yule alikua anataka tu upigwe ban, ni mshamba sana[emoji23]
Acha kumuharibia shemeji yako π€£π€£π€£Hapa naruhusiwa kuweka neno lolote?[emoji23]
Hapo unatamani kusema kitu mwenyewe πππWala penzi haliwezj kuwa chali, anakataa vipi tena mtoto mzuri kama ww na mpishi matata
Sema sasa ww utaweza mvumilia?[emoji23]