SHOPPING SERVICES: Nanunua, nafunga na kusafirisha bidhaa kutoka Kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani

Kazi nzuri boss,, nataka nifungue Liquor Store Mwanza najua chimbo la bei nafuu (itakayo nipa faida nzuri) ni hapo Kariakoo,, ningependa kujua gharama ya kusafirisha carton moja ya Konyagi ndogo hadi mwanza ni kiasi gani,, natanguliza shukrani mkuu
 
Kazi nzuri boss,, nataka nifungue Liquor Store Mwanza najua chimbo la bei nafuu (itakayo nipa faida nzuri) ni hapo Kariakoo,, ningependa kujua gharama ya kusafirisha carton moja ya Konyagi ndogo hadi mwanza ni kiasi gani,, natanguliza shukrani mkuu
Itategemeana na thamani ya carton,ujazo na uzito wake.Kwa basi ni gharama kidogo ukilinganisha na lori za mizigo.


Karibu sana
 
Karibuni sana wakuu muendeleee kuagiza bidhaa dar es salaam.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…