SHOPPING SERVICES: Nanunua, nafunga na kusafirisha bidhaa kutoka Kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani

Shida hizi mambo zinahitaji uaminifu wa hali ya juu sana ambao kwa bongo baaaado sana.

apa unaweza kuwa na mishe na mtu mkawa mnawasiliana vizuri tu kwa simu sasa ngoja akishapata chake tu ndo mapichapicha yanaanza. hakuna rangi utaacha kuiona.

ila ni wazi zuri sana.
kiongozi mteja wenu analindwaje na ishu km hizo?
 
Tupo na watoa huduma kwa wateja wanatoa ushirikiano kwa mteja kwenye kila hatua ya utekelezaji wa oda yake.

Karibu sana.
 
Karibuni sana muendelee kuagiza mizigo kutoka Dar es salaam kwenda mikoa yote Tanzania bara na Visiwani.

0745645035(PIGA/SMS/WHATSAPP).
 
It is too lengthy
 
Ha ha ha,
Kama ni hivyo heri nikaagize kwengine.
WaPo ambao wanaileta na kuifunga ukutani ndio unalipia

Mhhh aisee kumuamini mwafrica mwenzio ni changamoto [emoji28]
Watu gani hao mpk bidhaa ifike home ndio ulipe mbona chai hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…