SHOPPING SERVICES: Nanunua, nafunga na kusafirisha bidhaa kutoka Kariakoo kwenda mikoa yote Tanzania na nchi jirani

Mhhh aisee kumuamini mwafrica mwenzio ni changamoto [emoji28]
Watu gani hao mpk bidhaa ifike home ndio ulipe mbona chai hii
Ni kama vile huwajui hao watu hivyo unawaulizia uwajue,

Lakini pia ni kama vile umesha conclude kua hakuna watu kama hao hivyo ni chai.

Huoni kama hujiewi aisee?
 
Umetema madini ya maana sana mkuu hapa.Nimekuelewa nitafanyia kazi ushauri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…