Shuhudia Sensa Live Kupitia TBC, Nimeshuhudia Live Rais Samia Akihesabiwa. Let's Share Experiences za Sensa na Zoezi la Kuhesabiwa Toka Maeneo Tofauti

Unaachaje majibu ya dodoso wakati hunalo? Nafikiri dodoso lingekua oublic document. Likae hata kwenye websites za serikali ili tuandae majibu.
 
Ulikiacha jina langu, yote yaliobaki nitadanganya maana wakijua unavyvimiliki hawatakawia kukudandia kodi na tozo, tena mimi mlemavu wa macho
 
Hivi wale ndugu zetu wenye ulemavu wa akili wanahesabiwa?.
Wafungwa? wagonjwa mahospitalini?
 
Hebu tueleze ugeni huo kwa mama meza ya brekifasti ilitapakaa mapochopocho gani, mimi huku kwangu Vianzi nimewaandalia togwa ya Manelumango na magimbi.
Huku kwetu Kwa Mtogole, unadhani tuna meza za mapochopocho?. Huku ni mwendo wa birika la chai na kistuli cha kawa ukifunua ndio unakutana na Vitafunwa vya staftahi, chapati, vitumbua na andazi.
P.
 
Reactions: Lee
Hivi nchi zilizoendelea wanahesabiwa hivi kama mifugo? Ukiwa na data za watu waliozaliwa, waliokufa, walioingia na kutoka nchini, siyo kwamba inabaki issue ya simple mathematics tu hapo?
Marekani na utajiri wao wanafanya sensa kama sisi! Sensa si idadi ya watu pekee! Ni zaidi ya hapo! Taarifa nyingi zinahitajika
 
Yeye ndio Mkuu wa Kaya??
 
Huku kwetu Kwa Mtogole, unadhani tuna meza za mapochopocho?. Huku ni mwendo wa birika la chai na kistuli cha kawa ukifunua ndio unakutana na Vitafunwa vya staftahi, chapati, vitumbua na andazi.
P.
Mimi nilidhani uliona meza ya brekifasti kwa mama Dom, sisi huku Vianzi Vikindu huwa meza yetu ni mkeka japo umebaki kipande lakini unafaa sana na viti ni vipande vya minazi, ni vizuri sana kwa afya kwani vinajenga stamina.
 
Sasa hili la kuweka siku ya mapumziko ilimaanisha nini?
 
zoezi la kuhesabiwa litadumu kwa siku 7 kuanzia leo, hivyo usipo hesabiwa leo huenda utahesabiwa kesho au keshokutwa.
jambo la msingi acha taarifa zako za msingi nyumbani.
kazi iendeleee hakuna kulala...
.
Kwa haya maswali marefu kwenye dodoso la Sensa 2022, hawamalizi ndani ya siku 7. Labda 14 na ni wakifoji majibu!

Mi si mchumi lakini... tusubirie tozo ya simu, redio, laptops, taka, n.k miaka michache ijayo...
 

Wewe Pascal umeshakua lipumbavu kabisa ! Yaani unaandika upuuzi ili iweje ? Lini uliishi kwa mtogole wewe ? Sema tu straight this sensor exercise has miserably failed ! Sema ukweli sio kuzunguka kipuuzi namna hiyo ! Bull sh..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…