denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
Mleta mada nakuona umetawaliwa na unafiki kwenye hili andiko lako.
Nasema ni unafiki kwasababu, umedai shule haina walimu mahiri wameondoka, hivyo itakuwa ngumu kwa wanafunzi kutaka kuhama shule kwasababu ya muda mfupi uliobaki, hii taarifa umeileta kama fact, sio tetesi.
Nakushangaa taarifa za usagaji ulizozileta kama tetesi ndio umezi bold, umefanya hivyo ili kuonesha kwamba lengo lako hasa kuleta huu uzi ni nini.
Sasa kama una kiherehere cha kuripoti taarifa za usagaji wa hiyo shule, kwanini usingefanya uhakika kwa vyanzo vyako ili utuletee taarifa iliyokamilika, badala ya kuzikuza hizi tetesi kwa bold ili zionekane kweli?
Nasema ni unafiki kwasababu, umedai shule haina walimu mahiri wameondoka, hivyo itakuwa ngumu kwa wanafunzi kutaka kuhama shule kwasababu ya muda mfupi uliobaki, hii taarifa umeileta kama fact, sio tetesi.
Nakushangaa taarifa za usagaji ulizozileta kama tetesi ndio umezi bold, umefanya hivyo ili kuonesha kwamba lengo lako hasa kuleta huu uzi ni nini.
Sasa kama una kiherehere cha kuripoti taarifa za usagaji wa hiyo shule, kwanini usingefanya uhakika kwa vyanzo vyako ili utuletee taarifa iliyokamilika, badala ya kuzikuza hizi tetesi kwa bold ili zionekane kweli?