Ni sahihi, hakuna binti aliyekuwa shule anasagana kama Wolper Mpaka akafukuzwa shule! Leo hii ana Watoto na ndoa!Wao ni rahisi kuwarekebisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sahihi, hakuna binti aliyekuwa shule anasagana kama Wolper Mpaka akafukuzwa shule! Leo hii ana Watoto na ndoa!Wao ni rahisi kuwarekebisha
Yaani hii Nchi ina shida sana...Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Kama alichoandika ni kweli aendelee na mambo yake kama ni kweli...usimtishe mtoa mada amna mtakachofanya kumdhuru
Nini kilikushindaNimesomea shule moja ya kikatoliki wapo strictly sana kwa sheria zao ngumu hadi nikashindwa kumaliza form four... nilihama
Siyo tetesi ni kweli huyo naye hana taarifa kamili mdogo wangu anasoma hapo, wamezuiwa kurudi kweli, na hata form3 pia na form3 pia
Una uhakika ndugu?Wewe ni mjinga unachafua makusudi Huruma girls ili ufaidike nn?
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Kanisa katoliki lipo strictly sana Kwa hayo mambo ya kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja wakibainika wahusika huwa wanachukuliwa hatua mara moja.
Uliza waliopita junior seminaries au major seminaries watakupa majibu.
Kanisa halina mchezo mchezo na issue ya maadili vinginevyo naona km umetumwa hv hya endelea kuwatumikia mabwana zako.
na mimi nashangaa, labda ningekuwa sizijui shule za RC. Halafu haya mambo mnayapa promo bure mwisho jamii itaanza kuyaona ni ya kawaida, utekelezaji utaanzaShule ya kanisa katoliki kua na wapenzi wa jinsia moja haiwezakane kabisa
😷😷na mimi nashangaa, labda ningekuwa sizijui shule za RC. Halafu haya mambo mnayapa promo bure mwisho jamii itaanza kuyaona ni ya kawaida, utekelezaji utaanza
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
Hayo ni maneno YAKO, sababu ya kwanza ni kuhusu masister baadhi wameamishwa kitu ambacho tukiongea na watoto wanasema si kweli hivo sasahivi kupata mawasiliano ya mtoto ni ngumu mno tena wakiongea wanakuwa chini ya uangalizi, sababu ya pili ilikuwa ni performance kwamba atakayepata div1 wataondoka ila ambaye hatapata wastani huo atabaki shule. Halafu hizo tuhuma za usagaji kwenye kikao cha mwisho wanafunzi waliotaka kuongea hayo mambo walinyimwa nafasi ILA wapo wanasema hayo mambo yapo wanafunzi wenyewe na liliongelewa, kingine ni kupelekwa KWA walimu wakiume tena vijana wadogo wadogo, siyo kila kitu mnabisha , ILA mwisho shule in general performance ni exceptional academically ni shule bora dodomaWamezuiwa sababu ya usagaji?
Nadani mtoa mada una chuki binafisi,wazazi wa watoto wa Huruma akitaka kumuona mwanae akienda misa ya jumapili watoto wanasali kanisa kuu,kwahiyo kama mzazi yuko serious hawezi kukosa muda wa kuongea na mwanae,kama kuna jambo lako binafsi fuatilia hapo shuleni uone uongozi na sio kuchafua majina ya shule za watu kwa chuki binafsi...Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Nimesoma shule za kikatoliki kuanzia kidato Cha kwanza mpaka sita nina uhakika na umakini wao hasa linapokuja suala la kusimamia maadili.Una uhakika ndugu?
Umesoma hizo shule,au una ndugu waliosoma hizo shule?
Acha kabisa,sio zote Zina shida ila yaliyoko huko Mungu ndo anajua ,Kuna mtt tulilazimika kumhamisha shule akiwa form 2, labda za wanaume ,sijui huko ila sio za wadada
Wanafunzi wanataka waende nyumbani wakakate mauno,na kupostpost video huko tktkAcha wasagane tu
Ha ha haaa watu mna habari za watuNi sahihi, hakuna binti aliyekuwa shule anasagana kama Wolper Mpaka akafukuzwa shule! Leo hii ana Watoto na ndoa!
Hayo ni maneno YAKO, sababu ya kwanza ni kuhusu masister baadhi wameamishwa kitu ambacho tukiongea na watoto wanasema si kweli hivo sasahivi kupata mawasiliano ya mtoto ni ngumu mno tena wakiongea wanakuwa chini ya uangalizi, sababu ya pili ilikuwa ni performance kwamba atakayepata div1 wataondoka ila ambaye hatapata wastani huo atabaki shule. Halafu hizo tuhuma za usagaji kwenye kikao cha mwisho wanafunzi waliotaka kuongea hayo mambo walinyimwa nafasi ILA wapo wanasema hayo mambo yapo wanafunzi wenyewe na liliongelewa, kingine ni kupelekwa KWA walimu wakiume tena vijana wadogo wadogo, siyo kila kitu mnabisha , ILA mwisho shule in general performance ni exceptional academically ni shule bora dodoma
Mkuu hizi ni shutuma zisizo kuwa na ushahidi, japo watoto baadhi wanasema hayo mambo yapoSasa kwanini wanaficha issue za usagaji,si wanaweza kuwafukuza watoto wanaofanya hivyo vitendo kwanini wanawalea [emoji848]