Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

Tetesi: Shule ya wasichana ya Huruma iliyopo Dodoma yazuia wanafunzi kurudi likizo

Hayo ni maneno YAKO, sababu ya kwanza ni kuhusu masister baadhi wameamishwa kitu ambacho tukiongea na watoto wanasema si kweli hivo sasahivi kupata mawasiliano ya mtoto ni ngumu mno tena wakiongea wanakuwa chini ya uangalizi, sababu ya pili ilikuwa ni performance kwamba atakayepata div1 wataondoka ila ambaye hatapata wastani huo atabaki shule. Halafu hizo tuhuma za usagaji kwenye kikao cha mwisho wanafunzi waliotaka kuongea hayo mambo walinyimwa nafasi ILA wapo wanasema hayo mambo yapo wanafunzi wenyewe na liliongelewa, kingine ni kupelekwa KWA walimu wakiume tena vijana wadogo wadogo, siyo kila kitu mnabisha , ILA mwisho shule in general performance ni exceptional academically ni shule bora dodoma
Shule ya wasichana ya katoliki chini ya masister, inakua na walimu wa kiume?? Mie najuaga huko ni wa kike tyuuh.
 
Wakati mwingine shetani hutumia udhaifu wetu kutupiga. Ndio ushoga ni laana ila kwa promo tunaoipa then tunaukuza kuliko kuuangamiza. Wakati mwingine tunatumika kufanya kampeni bila kujijua. Tuache upumbavu huu wa kukuza mambo. Tunayasambaza
Sasa ushoga unakujaje hapa? Akati ni shule ya wasichana tupu. Khaaaaah.
 
Mzee kaa kimya haya mambo hayaangalii dini... Siwezi kusema ktk hiyo shule yapo au hayapo... Ila hali ni mbaya, ni vile Usagaji unaonekana sio issue kubwa kama Ushoga... Ila usagaji upo kwa kiwango Kikubwa sana ktk shule za wasichana
Tena umejaa balaaa, ila hapa wanasema usagaji hauna athari yoyotee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shule ya wasichana ya katoliki chini ya masister, inakua na walimu wa kiume?? Mie najuaga huko ni wa kike tyuuh.
Ndio uongeze maarifa maana walimu wa kiume wapo kwenye hizo shule. Na sidhani kama ina shida yoyote
 
Habar nzur ila Umeongea chumvi mno mpaka imekua propaganda sasa
 
Aisee Mungu atusaidie hayo mambo machafu hayafai katika jamii,pelekeni hizo tuhuma sehemu sahihi bila shaka wahusika watalifanyia kazi.
Kwakweli Kila mmoja atapambana na watt wake! Km unavyoona hapa wengine wanabisha!
In short, Binti alikuwa mzima kabisa ,ghafla kufika form 2 akaanza kuumwa vitu vya ajabu ajabu,mara eti kuanguka km watu wa kifafa hivi vitu vya ajabu, peleka Kila hospital Hana ugonjwa , na akiwa likizo mzima akirudi shule kimbembe... wazazi hanagaika san....
Mwisho ikabidi apelekwe kwenye maombi church huko ndo aka-manifest! (Jina la shule na mkoa ilipo shule,😷)
Alipokaa vzr ndo kubanwa akasema ukweli, Kuna sisita Tena mkubwa Kwa cheo hapo shuleni, alikuwa Kila siku anamuita room kwake jioni na baada ya prep anamsaga ,alianza Kwa kumnyonya matiti na Binti ndo alikuwa anakua tu ,....
Ss Ile kitu ilimuathiri kisaikolojia,na hana Kwa kusema mpk alipoanza kuumwa ..
Hakukua na mjadala ni kumhamisha shule haraka sna na akasoma day vzr mpk Leo hakupata shida Tena.
-ndo maana tinawaambia hayo mambo ni spirit!
 
Mzee kaa kimya haya mambo hayaangalii dini... Siwezi kusema ktk hiyo shule yapo au hayapo... Ila hali ni mbaya, ni vile Usagaji unaonekana sio issue kubwa kama Ushoga... Ila usagaji upo kwa kiwango Kikubwa sana ktk shule za wasichana
Tell them....
Eti shule za seminary ....sijui blah blah ...
Hawajui kitu hawa
 
Hayo ni maneno YAKO, sababu ya kwanza ni kuhusu masister baadhi wameamishwa kitu ambacho tukiongea na watoto wanasema si kweli hivo sasahivi kupata mawasiliano ya mtoto ni ngumu mno tena wakiongea wanakuwa chini ya uangalizi, sababu ya pili ilikuwa ni performance kwamba atakayepata div1 wataondoka ila ambaye hatapata wastani huo atabaki shule. Halafu hizo tuhuma za usagaji kwenye kikao cha mwisho wanafunzi waliotaka kuongea hayo mambo walinyimwa nafasi ILA wapo wanasema hayo mambo yapo wanafunzi wenyewe na liliongelewa, kingine ni kupelekwa KWA walimu wakiume tena vijana wadogo wadogo, siyo kila kitu mnabisha , ILA mwisho shule in general performance ni exceptional academically ni shule bora dodoma
HAPA ndipo ninapoona hii yote ni kuchafua taasisi / shule hiyo. Unasema ..........
kwenye kikao cha mwisho wanafunzi waliotaka kuongea hayo mambo walinyimwa nafasi...............
Sentensi hii inaonekana uliwapanga bali wakaogopa kuongea uongo ndo maana unaibukia huku. Ulijuaje kama walitaka kuongea wakanyimwa nafasi???!!!!!!!!!!!!! Acheni chuki binafsi, kama ni mzazi si umuone mkuu wa shule ukiwa na ushahidi? Hapo itaonekana dhamira njema ya kujenga, lkn hapa tuta conclude kwamba wewe umefukuzwa kazi ama kuna lako jambo lingine zaidi ya hayo unayoyaongelea. Sisemi hao ni malaika bali acheni hizo FIGISU za kuharibiana hazisaidii wale wapo vizuri sana......
 
HAPA ndipo ninapoona hii yote ni kuchafua taasisi / shule hiyo. Unasema ..........

Sentensi hii inaonekana uliwapanga bali wakaogopa kuongea uongo ndo maana unaibukia huku. Ulijuaje kama walitaka kuongea wakanyimwa nafasi???!!!!!!!!!!!!! Acheni chuki binafsi, kama ni mzazi si umuone mkuu wa shule ukiwa na ushahidi? Hapo itaonekana dhamira njema ya kujenga, lkn hapa tuta conclude kwamba wewe umefukuzwa kazi ama kuna lako jambo lingine zaidi ya hayo unayoyaongelea. Sisemi hao ni malaika bali acheni hizo FIGISU za kuharibiana hazisaidii wale wapo vizuri sana......
Aya
 
Muulize afande rama akuambie vizuri, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Au video pia hukuona??
Video sikuona, ila naomba unieleze wewe ni lini ilisimama. Nasikia wengine jamaa akikukojolea na wewe kwa mbali vitone vinadondoka. Wewe huwa kanasimama (kwa vile najua kashakuwa kama ukucha baada ya kuanza kufilimbwa)
 
Mwanangu anasoma hapo alipokuja holiday ya mwisho aliniambia kuna hayo mambo
Uongozi wa shule ulifanyie kazi kuliweka sawa hili jambo si sifa nzuri
Duh aisee
Bora mwanao kakwambia ukweli,hiyo inasaidia
Mi shule niliyosoma pia ilikuwa seminary lkn sio ya RC, aisee nilikuwa na rfk angu alikuwa anapendwa na wadada wa form 3&4,si tukiwa form 1-2....
Nikajua anapendwa sbb ya vitu si unajua mambo ya bording ,kabati lake lilikuwa limejaa mazaga😅...
Ila tukilala tu anatoka sa Tano ,ananiaga Leo naenda lala Kwa dada lily , sikunyingine Kwa Judy....
Ee bwana ee siku ya siku wale wadada wakapigana tukiwa hostel usiku aisee ndo Siri ikafichuka,kumbe zamu za kulala mmoja alizidisha,ni siku Moja Moja, rfk angu alikuwa anawasaga mno, sshivi mwalimu wa primary ,kaolewa ana watt 2 ....imagine huyu ndo mwalimu mabinti wanapona kusagwa?
 
Mtoa mada atakuwa ni mwalimu aliyefukuzwa kazi hapo shuleni. Kwa hiyo ameleta shutuma zake, huku akiwa na chuki kubwa moyoni mwake.
Bwana Tate , wewe unajua wazi aliyeondoka shuleni ni mkuu wa shule sister aliyekua bora sana , mlimuondoa kwa sababu zipi mnajua wenyewe , waalimu walio fuata kuondoka mnajua wameondoka kwa sababu zipi , walimu wapya walioajiriwa mnajua wenyewe sifa zao ni zipi akiwemo na mkuu wa shule mpya wa kiume. Semeni wazi tetesi za usagaji zilifanya waalimu muwaondoe waliokuwepo , mkihisi hawajasimamia vyema maadili , lakini pia bahati mbaya sana waliokuja kuziba mapengo ni ma payoyo. shule inashuka kitaaluma na kimaadili period. Endeleeni kuruka ruka tu , jana kuna mwenzenu kapigiwa simu usiku amewaeleza waliongea nini na kiongozi mmoja toka wizra ya elimu? kuweni wapole tunawasaidia mrudi kwenye reli
 
Back
Top Bottom