Duh aisee
Bora mwanae kakwambia ukweli,hiyo inasaidia
Mi shule niliyosoma pia ilikuwa seminary lkn sio ya RC, aisee nilikuwa na rfk angu alikuwa anapendwa na wadada wa form 3&4,si tukiwa form 1-2....
Nikajua anapendwa sbb ya vitu si unajua mambo ya bording ,kabati lake lilikuwa limejaa mazagaza [emoji28]...
Ila tukilala tu anatoka sa Tano ,ananiaga Leo naenda lala Kwa dada lily , sikunyingine Kwa Judy....
Ebe ee siku ya siku wale wadada wakapigana tukiwa hostel usiku aisee ndo Siri ikafichuka,kumbe zamu za kulala mmoja alizidisha,ni siku Moja Moja, rfk angu alikuwa anawasaga mno, sshivi mwalimu wa primary ,kaolewa ana watt 2 ....imagine huyu ndo mwalimu mabinti wanapona kusagwa?