Yan shule ifungwe kisa kusagana? Kwan shule imewaruhusu au kuwashauri wasagane? Chuki zako ni bureKatika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Mbona mleta mada una chuki binafsi? Hoja yako ni nini? Ukosefu wa walimu hapo Huruma Sec ama usagaji,?Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
Kama ni kweli mbivu na mbichi zitaonekana mara baada ya taarifa hiiKatika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
taarifa yako imekaa kimaslahi, shule zinaendeshwa kwa utaratibu sio kirahisi kama unavodai,Katika , hali ya kutatanisha , shule ya masister inayomilikiwa na Kanisa katoliki mkoani DODOMA iitwayo HURUMA secondary school, imezua vurugu miongoni mwa wazazi wa vijana wa kidato cha nne .
1. Shule hiyo inadaiwa kuondokewa na waalimu wao mahili katikati ya maandalizi ya NECTA ijayo , vijana hao wa kidato cha nne wengi wao hawawezi kubadilisha shule/ kuhama shule kwa sasa , hivyo wanalazimika kubaki shuleni hapo kulinda usajili wao.
Mkuu wa shule hio anadaiwa kuwazuia wanafunzi wote wa kidato cha nne na kuwataka walipe fedha za kufundishwa TUITION kipindi cha likizo ijayo JUNE 2023 kwa kua wanajua shule hio haijawafundisha watoto hao baada ya kuondokewa na waalimu .
Wazazi waliowengi wanatamani wanafunzi wapewe uhuru wa kuamua kurudi kwa wazazi likizo ili wapate masomo ya ziada binafsi kwa waalimu wenye uwezo kuepusha kufail kwenye mtihani ujao .
2.Wazazi wengine wamelalamika pia , tetesi za shule hio kuwa na wanafunzi wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja , hivyo wanaomba watoto wao warudi likizo kuepusha madhara zaidi ya kimaadali
RAI yangu kwa wizara ya ELIMU ,na TAMISEMI PIA, fuatilieni mienendo ya kimaadili kwenye shule hii ya masister iliyopo DODOMA kuna tabia za kimagharibi ambazo wazazi wanashindwa kuzisema waziwazi maana zinadharirisha utu wa watoto wao , ndio maana wengi wanataka watoto wao warudi likizo waongee nao .
==========UPDATES===========
Shule inagoma kuwaachia watoto kwa kuhofia tetesi hizo za usagaji zinaweza kuenea na kupelekea kufungwa au kuchunguzwa
Siyo tetesi ni kweli huyo naye hana taarifa kamili mdogo wangu anasoma hapo, wamezuiwa kurudi kweli, na hata form3 pia na form3 piaHalafu ni tetesi🙄🤔
Kisa tu umetimuliwa kazi, ukaamua kuwasagia kunguni. Hiyo shule ni moja ya shule bora kabisa Jijini Dodoma. Hata hivyo vyombo vya dola vyenyewe vitakuwa vinakushangaa kupitia huu uzushi wako.Jambo moja nina uhakika nalo, you will never ever be safe for what is going on at HURUMA sec.
Ruka ruka tu na ramli zako hizo , time has reached everything to be unearthed .
Hayo maswali yako nakushauri utulie nayo wakati wa kuhojiwa uyatumie yanaweza kukusaidia kidogo kuliona jua.
Sali litania na sala ya mt Anthony wa padua , meza ishapinduka , save your energy
Huyu mtoa mada ana mambo ya kipumbavu sana. Hata shule za Kata zenyewe tu nyingi zimeshaitisha vikao na wazazi kwa ajili ya kuwachangisha michango ili wanafunzi wafundishwe wakati wa likizo!Mbona kubaki shule ni jambo la kawaida kwa madarasa ya mitihani ya kitaifa. Acha unafiki wewe
Unaishi dunia gani wewe[emoji3][emoji3]Shule ya kanisa katoliki kua na wapenzi wa jinsia moja haiwezakane kabisa
Hi hi unao ishi hapa ya tanzania, kuna nini? Nijuze tahadhariUnaishi dunia gani wewe[emoji3][emoji3]
..usimtishe mtoa mada amna mtakachofanya kumdhuruMleta mada masista watakufungia Novena kwa kuzusha uongo na chuki juu yao.
Omba msamaha mapema kabla adhabu kali haijashuka juu yako.
Jiangalie sana kama una uhakika na uchocho kinena.
Uko sahihi kabisa. Huyu mtoa mada anaonekana wazi alikuwa ni mwalimu anayejiona ni mahiri katika kufundisha, pamoja na wenzake wachache!Huyu ni mwl aliyefukuzwa pale, shule nyingi za kikatoliki zimekuwa na timuatimua nyingi ya wafanyakazi wake hasa wale wenye tabia mbaya, kwa hali yoyote ile wewe ni miongoni mwao. Swali ni je? Wanasagana kidato cha 4 tuu??? Kijana tafuta ajira kwingine, kanisa katoliki halina nafasi kwa tabia mbovu kama zako.
Muda unabadilisha MAMBO MENGI SANA.Miaka ya zaman kumuoa mwanafunzi wa HURUMA GIRLS ilikuwa jumapili tuu english service misa ya pili kanisa paulo wa msalaba. Those gals were smart jaman kuanzia sare waliovaa hadi usomaji wa somo kwa english.
Kunani tena jamani huruma yetu imekuwaje????