Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Tatizo hapo ni huyo mtoa kibali mvivu: hakujishughulisha hata kutaja sababu! Kwa nini? Bas
Ndio Tanzania hiyo!
 
1. kama wakiruhusu dini kufundishwa, kila watu wafundishwe kwa madhehebu yao. mfano, mimi ni mkristo, Mlokole, nisingependa kabisa mtoto wangu afundishwe dini ya padre, aende mchungaji wa kilokole akafundishe wanafunzi walokole.

2. kwenye hizo shule, wagawe madarasa, na wanafunzi wagawanywe, walokole watakuwa na darasa lao, walutherani darasa lao, anglican wanaoruhusu ndoa za mashoga wawe na la kwao, catholics wawe na darasa lao, AIC wawe na darasa lao na kina mwamposa wawe na madarasa yao.

3. Hii ni hatari sana, imeanza kuwatenga watoto kidini tangu wakiwa wadogo kabisa shuleni, wataendelea hivyo hadi watakapokuwa wazee. Samia atakuwa amekuwa rais wa kwanza kuleta utengano kwa minajili ya dini nchini hapa.

4. wale wanafunzi wanaosali pamoja, ndio watakuwa marafiki, ndio watasaidiana makazini wakimaliza shule, na wataonana ndugu kwa minajili ya dhehebu.

5. tunachoogopa zaidi hapa ni "ushoga", dhambi hii ni mbaya sana, lakini tujiulize, eneo kama zanzibar ambako kuna dini sana, almost 99% ni waislam, hao hao wanaong'an'gania tutenge watoto kidini madarasani, mbona ushoga umeshamiri kuliko bara?

6. kwanini watoto wasiruhusiwe kwenda kuswali siku zile za ijumaa, jumamosi na jumapili respectively?

7. kuna seminari za kikristo na kiislam, kama shida ni dini, huko kwenye maseminari utawala ni wenu, si mfundishane izo dini huko?

SAMIA ANAFIKIRI HII NCHI ANAIPELEKA WAPI? KWASABABU WAISLAM WAMETAKA BASI HATA TUKITENGA WATOTO NI POA TU? AU ANAFIKIRI HAPA NI ZANZIBAR? Huku bara tuna dini mbalimbali, na tuna madhehebu mbalimbali, na tumekuwa tukisoma pamoja bila kunyoosheana vidole kwamba huyu ni mpentecoste, huyu mkatoliki, huyu muislam, huyu mlutheran, huyu mni nini na nin, hatuna hiyo.
 
Somo la Dini limeingizwa kwenye mtaala wa Elimu ya Tanzania?!
Wanafunzi wote hawafanyi mitihani ya Physics. Ni option. Ulishawahi kuona watu wanakwenda shuleni kufanya takwimu ya wasoma physics?!
Jamaa ulisoma shule kweli? Somo la physic ni option kuanzia form 3 na hapo panakuwa na takwimu za kufanya somo hilo hata idadi inajulikana mpaka mtihani wa form four , kuna comb za biashara na art ambazo kuanzia form 3 hawasomi physics.

Takwimu ni muhimu ni muhimu.
 
Somo la dini halitakiwi kuwepo kabisa shuleni,hizo elimu wazifate sehemu husika,bora kufundishwa kutumia majani ya mpera kuzuia kuharisha ila sio dini.
Hata masomo ya kizungu hayatakiwi kabisa ni ya kuletwa tu na wazungu .
 
Kwanini wasifanye sensa ya wanafunzi wa dini zote, au wa dini zingine hawana somo la dini?!!!
Mtaala mpya ili kukidhi mahitaji unatakiwa kufanya sensa ili kuweza kufundisha , uhitaji ni pamoja ya wanafunzi kwa uwiano wa walimu .
 
Ni taasisi gani inayoratibu na kusimamia hilo zoezi la utafiti ?
Shule za sehemu moja Taasisi ? 😀 waislamu sio kwa majina ila wale wanaofuata uislamu inaweza mtu akawa muislamu na asifanye somo la dini tena wengi hawafanyi.

Mbona barua ipo wazi wataalamu watafika.
Wanaweza kufanya kwa mkuu wa shule anazo takwimu zote.
 
Ukute hata hao wanaoomba kibali cha kufanya hiyo sensa ni waisalam hao hao lakini watu povu linawatoka..............

Mwaka jana kwa eneo nililopo kuna Mashekhe walipita mashuleni pia kuchukua takwimu za wanafunzi wa kiislam wakiwa na barua inayofanana na hiyo huku lengo likiwa kuwaletea mtihani wa dini wa pamoja kwa Halmashauri nzima, na mitihani hiyo ilifanyika September mwaka jana.
 
Ukute hata hao wanaoomba kibali cha kufanya hiyo sensa ni waisalam hao hao lakini watu povu linawatoka..............

Mwaka jana kwa eneo nililopo kuna Mashekhe walipita mashuleni pia kuchukua takwimu za wanafunzi wa kiislam wakiwa na barua inayofanana na hiyo huku lengo likiwa kuwaletea mtihani wa dini wa pamoja kwa Halmashauri nzima, na mitihani hiyo ilifanyika September mwaka jana.
Hapo kama mtoa mada hana logic kwa sababu ni jambo la kawaida sna miaka kibao , shule niliyosoma mimi pale Tanga wakristo ni wachache ikakiribia mitihani wanafanyiwa sensa wale ambao wanataka kufanya mitihani ...Pia enzi zile palikuwa na walimu wakiona watu wapo wengi wanajitolea kiufupi hamna tatizo ni evaluation ili kufanya maamuzi sahihi
 
Inafikirisha sana. Mbona Ipo sheria ya JMT inayomtaka mzazi awaepeleke bila shuruti watoto wake shuleni ikiwa ni mojawapo ya Hitajio la Haki za Mtoto?
Tuwe makini jamani isijekuwa wanatafutwa wale walio physically fit and Trainables ili wapewe "sponsorship" na kupelekwa huko... kupata mafunzo maalum halafu baadaye wakishafuzu warejee hapa na waje kuwarudi wale wa dini nyingine a.k.a Makafiri. Kumbuka walisha wahi kufanya hivyo na wakakamatwa na katika timbwili hilo wakakutwa na mavisu na mafunzo yasiyo katika Mitaala ya Tz. Hatujifunzi tuu??
Hizi chuki hazuwezi kutufukisha popote lazima tujitafakari sanaa kwanini tuwe hasi kwa watu fulani wenye imani yao.
 
Kuelekea genocide nchini Rwanda 1994 kuna machete/majambia yalikuwa yanagawiwa kimya kimya kwa jamii ya wahutu pekee maana yake walianza kwa kujua idadi yao.[emoji16].

Najaribu tu kuwaza kwa sauti.
Ujinga kama hu hauwezi kuacha hi nchi salama, kwanini unakua na hofu kiasi hiki, kuna mambo mliwatendea waislamu mpaka kuwa ogopa kiasi hiki kwamba watalipiza kisasi?.........hamba watu wa oga kama wakristo wa nchi hi sijui ni kwasbb ya ubadhilfu wao dhidhi ya wsislamu wana ishi kwa hofu kubwa, kama kuna mlicho watenda wa ombeni samaha
 
Masomo ya wazungu ni yapi? Na unambie yanawagawa vipi wanafunzi
Elimu ya kuletwa tu hii ya wakoloni hamna jipya...Unataka kutetea sio elimu ya waafrica ambao walikuwa wakijenga zana mbalimbali.
 
Tatizo hapo ni huyo mtoa kibali mvivu: hakujishughulisha hata kutaja sababu! Kwa nini? Bas
Ndio Tanzania hiyo!
yes hapo ndio wameacha loophole kwa watu kuzua mashaka. lakini si ajabu si ndio watumishi wa ukimani unategemea akili kutoka kwao? haiwezekani
 
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986912


Source: Wenye Nchi Wananchi
Nafikiri wangekwenda serikalini iwape waalimu watakaofundisha hayo masomo; pia hata wenyewe wanajua waalimu wao wanaofundisha dini mashuleni. Hiyo si kazi ya taasisi nashangaa huyu kiongozi kiruhusu jambo hili. Je, viongozi w juu wameruhusu? Kwahiyo nhi nzima itoe Majin waalimu Waislamu ni wangapi. Lengo ni nini Hasan?
 
Back
Top Bottom