Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Kuelekea genocide nchini Rwanda 1994 kuna machete/majambia yalikuwa yanagawiwa kimya kimya kwa jamii ya wahutu pekee maana yake walianza kwa kujua idadi yao.😁.

Najaribu tu kuwaza kwa sauti.
And main perpetrators of that genocide were christians especially Catholic to be precise
Don't forget to mention that too
 
Tunakokwenda ni kubaya sana.
Hata mitaani kwetu hali imeanza kuwa mbaya.
Siku moja nipo ndani naangalia dirishani, bila wao kuniona, nikawa nasikia wakiziorodhesha nyumba za Wakristo.
Huku kinvua kikinyesha lakini wao walikuwa hawajali.
Hili lilinifikirisha sana.
 
Tunakokwenda ni kubaya sana.
Hata mitaani kwetu hali imeanza kuwa mbaya.
Siku moja nipo ndani naangalia dirishani, bila wao kuniona, nikawa nasikia wakiziorodhesha nyumba za Wakristo.
Huku kinvua kikinyesha lakini wao walikuwa hawajali.
Hili lilinifikirisha sana.
Inasikitisha sana..
 
1. Je wamefuata sheria na taratibu za kufanya survey?, kama wamefuata taratibu basi hakuna shida hapo maana ni haki kwa mwananchi kupata taarifa azitakazo ilimradi afuate sheria.

Kufauta sheria ndo jambo la maana, nje ya hapo ni kelele tu za wadini wanaoangalia kila kitu kwa hisia za udini badala ya kuwa rational
 
Kuna watu wanajichetua sana
Mimi naona wakristo ni watu wanafiki sana ,yaani wanajifanya kukemea mambo kumbe wao ndio watendaji wakuu wa hayo wanayoyapigia kelele
Mtu anaulizia lini elimu ya dini imeingizwa kwenye mtaala ,Sasa huyo kama sio mnafiq ni nani, Ina maana hajafika hata kidato cha kwanza ? Au hakuwahi kusikia kuhusu bible knowledge kipindi chote alichosoma
Yaani mtu anakua na chuki mpaka anapitiliza
Kipindi nasoma advance ilikua ikifika ijumaa tunaenda swala ya ijumaa misikiti ya mjini ,hadi turudipo shuleni tunakuta wameshakula chakula cha mchana, tukaomba kua watuhifadhie chakula maana mara nyingi ilikua tunakosa kama hukumuagiza rafikiako akuchukulie ila cha ajabu ilipigwa zengwe balaa tena kiongozi wa chakula alikua kiongozi wa kwaya sijui dhehebu
Watu wana roho mbaya sana hawa
na wale wa jumapili nao walikosa chakula bila kuwaagiza marafiki zao wawakee?
 
Mmmhh!
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986926


Source: Wenye Nchi Wananchi
 
Kuna watu wanajichetua sana
Mimi naona wakristo ni watu wanafiki sana ,yaani wanajifanya kukemea mambo kumbe wao ndio watendaji wakuu wa hayo wanayoyapigia kelele
Mtu anaulizia lini elimu ya dini imeingizwa kwenye mtaala ,Sasa huyo kama sio mnafiq ni nani, Ina maana hajafika hata kidato cha kwanza ? Au hakuwahi kusikia kuhusu bible knowledge kipindi chote alichosoma
Yaani mtu anakua na chuki mpaka anapitiliza
Kipindi nasoma advance ilikua ikifika ijumaa tunaenda swala ya ijumaa misikiti ya mjini ,hadi turudipo shuleni tunakuta wameshakula chakula cha mchana, tukaomba kua watuhifadhie chakula maana mara nyingi ilikua tunakosa kama hukumuagiza rafikiako akuchukulie ila cha ajabu ilipigwa zengwe balaa tena kiongozi wa chakula alikua kiongozi wa kwaya sijui dhehebu
Watu wana roho mbaya sana hawa
Unafiki mwingi TZ
 
Hii sasa imevuka mipakaa, UDINI unachipua kwa kasi ya 6G, wanatafutwa wafuasi wa Ayatollah. Lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
acha kutetea udini wewe, hivi shuleni unawezaje kupata idadi kamili ya wanafunzi wa dini au dhehebu fulani? Let's say UKWATA, TYCS, CASFETA/TAYOMI, UHIMA na wengingine wengi wakati wanafunzi hubadilisha dini na dhehebu kwa uhuru wawapo shuleni/chuoni? Udini haukubaliki Tanzania/Tanganyika
Sikulazimishi kuamini.

Mimi nilikuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi.

Niliona na kutenda. Kama hutaki kuamini ni sawa pia.
 
Tukiwa shuleni, tulikuwa tunahesabiwa wanafunzi wa UKWATA (Protestants), TYCS(Katoliki), Wasababto na Waislam kwa kila darasa bila kuwepo na idhini ya kiserikali.

Sasa sijajua ni kwanini watu washangae sasa hivi wanafunzi kuhesabiwa tena kwa ruhusa na barua ya kiserikali.
Wee ni muongoo.
 
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986912


Source: Wenye Nchi Wananchi
Udini upo katika damu za Waislam....wana Udini ule wa kuthubutu kuua wote wasio waislam
 
Hapana, hili haliko sawa hata kidogo kwani lazima waseme nia ya hiyo sensa ni ipi hasa
Jaman mambo ya dini sio ya kuyaendekeza yatapasua taifa
 
Huwa wanaanza hivi hivi.. awamu zingine mambo haya hayakuepo

Kwa hiyo wewe unataka kila kitu kifanane na awamu zilizopita? kama ingekuwa hivyo hakungekuwa na maendeleo
Mfano; wanaomba msaada wa kufundishia watoto masomo ya Kiislam waliopo shule za msingi Wilayani kwako; Kama huwajui idadi utatumia kigezo gani? au mmezoea kuandika data za kupika?

Huwa tunaona kila mwaka Biblia zikigawiwa huko mashuleni, vitabu vya nyimbo nk nk nk na haijawahi kuwa tatizo
 
umewahi kusikia hao wengine wanataka wajue wako wangapi? Halafu ni wapi nimevutia upande mmoja bila ku balance? Wale huwa wanajisikiaga infirity complex kila nyanja kana kwamba wao ni unique kuliko wengine
Sawa mkuu
 
Kwa hiyo wewe unataka kila kitu kifanane na awamu zilizopita? kama ingekuwa hivyo hakungekuwa na maendeleo
Mfano; wanaomba msaada wa kufundishia watoto masomo ya Kiislam waliopo shule za msingi Wilayani kwako; Kama huwajui idadi utatumia kigezo gani? au mmezoea kuandika data za kupika?

Huwa tunaona kila mwaka Biblia zikigawiwa huko mashuleni, vitabu vya nyimbo nk nk nk na haijawahi kuwa tatizo
Dini yenu inayofundisha chuki na uuaji? Watoto wa hizo shule wanabidi wawe makini sana kunaweza tokea mauaji... ya wasio wa dini ya kiislamu..
 
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986912


Source: Wenye Nchi Wananchi
Jambo dogo lakini tension kubwa, ukiona hivyo watu wana yao ya moyoni na hawanana nafasi ya kuyasemea.
 
Huyu mzanzibari anatuharibia Tanganyika yetu.
Kuna mambo yanaendelea naanza kuwa na mashaka na huyu mama na watu wake.

1. Kuweka combination za kiarabu kwenye mtaala.
2. Waarabu kupewa ngorongoro na bandari
3. Ongezeko la wazenji serikalini as if serikali ni ya wazanzibari.


Kuna vitu tuwe makini sana kuhoji kuwa watu sio wa kuwaamini hata kidogo. Huyu mama yenu mimi simuamini hata robo kilo.
 
Kuna mambo yanaendelea naanza kuwa na mashaka na huyu mama na watu wake.

1. Kuweka combination za kiarabu kwenye mtaala.
2. Waarabu kupewa ngorongoro na bandari
3. Ongezeko la wazenji serikalini as if serikali ni ya wazanzibari.


Kuna vitu tuwe makini sana kuhoji kuwa watu sio wa kuwaamini hata kidogo. Huyu mama yenu mimi simuamini hata robo kilo.
Hamia burundi mbuzi nyie
Mnatengeneza uongo ili kujifariji
 
Back
Top Bottom