LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
umewahi kusikia hao wengine wanataka wajue wako wangapi? Halafu ni wapi nimevutia upande mmoja bila ku balance? Wale huwa wanajisikiaga infirity complex kila nyanja kana kwamba wao ni unique kuliko wengineShida pekee wengi mnaolalamikiaga mambp ya udini hua mnakua mnavutia kwenu, nikisoma comment yako naona unasagia wa kwenda "ijumaa", lakini ukitembelea kuna shule za serikali kabisa kuna kua na itaratibu sijui kaweka nani ila wana omba/sali kama wa kwenda "jumapili" swali kwako huoni kama hakuna balance ?