Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Mbona hakuna shida mkuu!

  • Je kama wanataka wanunue vitabu vya elimu ya dini!?
  • Au ni research, wanaevaluate idadi ya waislamu waliopo shule.
- Elimu ya Dini imeingizwa kwenye karikulam ya shule za serikali Tanzania?

- Hiyo evaluation inamsaidia nani? Kufanya nini?
 
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986926


Source: Wenye Nchi Wananchi
Hakuna kosa lolote, waislam huwa wanamambo yao mfano misaada kutoka nchi za kama Oman, Dubai, Morocco na nchi nyingine za kiislam. Hizo takwimu zitasaidia katika kurahisisha mambo kama hayo kwahyo naona hakuna shida yyte hapo
 
Waislamu wakiendekezwa wataliangamiza hili taifa, vyombo vya ulinzi viwe macho kuona yajayo.
 
Kabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja.

Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu kama kujua idadi ili kugawa kanzu, Juzuu na mambo mengine mazuri kama udhamini Nk, pia yaweza kuwa na malengo ya Ubaguzi.

Mwenye kufahamu basi atufafanulie.

View attachment 2985918
Hawa jamaa bana, dini karibia zite huchukua takwimu ila sio rasmi kwa namna hii.
Kwa mfano wangetangaziana misikitini huko, maulamaa wakapita katika nyumba zao wakapata idadi.

Katoliki wanazo jumui ndogo ndogo, huko wakiamua wanapata kila taarifa.
 
ni movement ya udini isiyo na afya kwa taifa lisiloongozwa kwa misingi ya dini. Siku hizi hakuna anayekemea udini kama zamani. Udini unashadidiwa kwa nguvu mpaka kwenye taasisi za umma. Wakijiona wako wengi ataibuka mwehu wa kidini kuanzisha hoja bungeni kuwa lianzishwe jambo fulani kwa waumini wa dini hiyo kwa kuwa ni wengi na wana haki ya kufanya mambo ya dini yao kwa uhuru
Shida pekee wengi mnaolalamikiaga mambp ya udini hua mnakua mnavutia kwenu, nikisoma comment yako naona unasagia wa kwenda "ijumaa", lakini ukitembelea kuna shule za serikali kabisa kuna kua na itaratibu sijui kaweka nani ila wana omba/sali kama wa kwenda "jumapili" swali kwako huoni kama hakuna balance ?
 
Huyu mzanzibari anatuharibia Tanganyika yetu.
Nynyi wenyew ndo mliharbu yy amewek sw kila sekta mlikua tayr mmeshs poeza mwelekeo kwa mfn chuki za ukanda,udini w/biashara kukumbia nchi wtu kupotea(viroba) nk acha chuki kaka subir 31
 
Hakuna kosa lolote, waislam huwa wanamambo yao mfano misaada kutoka nchi za kama Oman, Dubai, Morocco na nchi nyingine za kiislam. Hizo takwimu zitasaidia katika kurahisisha mambo kama hayo kwahyo naona hakuna shida yyte hapo
Misaada si wapeleke misikitini
Kesho wakiamka kwenda hospital kuhesabu wagonjwa waislamu ni sawa?
Siku kwenye sokoni? Magereza? Vyuoni? Office za umma?
Itakuwaje
Misaada wapeleke nyumba za ibada huko
Sisi Watanzania tunachangamana bila kuzingatia tofauti za dini zetu
Msituvurugie amani
 
- Elimu ya Dini imeingizwa kwenye karikulam ya shule za serikali Tanzania?

- Hiyo evaluation inamsaidia nani? Kufanya nin?
Maybe ni taasisi X tu inafanya research kuangalia waislam waliopo shuleni na ambao hawapo mashuleni.

(Kuna baadhi ya waislamu hawaamini katika elimu Dunia; yaani wao ni madrasa tu)

So, through hiyo research labda itawasaidia hao reseacher kudevelop strategies kudeal na hiyo mindset.
 
Sioni shida yoyote. Labda wanataka takwimu ili waweze kuwapa huduma za kimasomo au msaada. Tusione kila kitu negative.

Sisi wakatoliki huwa tunatakwimu pia japl tunachukua kwenye jumuiya zetu. Labda hawa wenzetu hawana namna ya kupata takwimu zaidi ya hii mbinu waliyotumia
 
Wanafunzi hawa waliopo mashuleni kuanzia primary mpaka secondary hasa katika shule hizi za umma wana utaratibu wanafundishwa masomo ya dini either bibble knowledge au Islamic knowledge, wa shule ya msingi wanafundishwa ijumaa (au siku nyingine yoyote iliyoamuliwa na shule) masomo hayo ya dini, kila dini hutuma walimu wao inaowaamini kwenda kuwafundisha watoto hao masuala yanayohusu dini zao, hawa wa secondary hufundishwa pia masomo hayo ya dini na huyafanyia mpaka mtihani wa taifa masomo hayo yaani bible knowledge na islamic knowledge.

Na ukumbuke hakuna walimu waliograduate bachelor of education in islamic knowledge au bible knowledge isipokuwa walimu wanaowafundisha hawa watoto wanajitolea. Sasa kama kuna michepuo ya dini imeanzishwa, kuna ubaya gani watu wa dini husika kuomba kwenda kuwatambua walimu wenye dini fulani na watoto wa dini fulani ili kuweka pengine kuweka utaratibu wa jinsi ya kuwafundisha na kuwaandaa au pengine kuwaomba tu walimu waliotayari na wenye uwezo wa kufundisha masomo hayo washiriki katika kufundisha?

Mkurugenzi hana kosa alichofanya ni kuruhusu hao watu na kuomba wapewe ushirikiano sidhani kama kuna kosa au shida yoyote.
Ilitakiwa barua hiyo ieleze kinagaubaga lengo la takwimu hizo. Ilivyo sasa kama ilivyoandikwa imeacha mwanya wa kila mtu kuitafsiri logic ya barua hiyo kwa namna yake..

Hata hivyo, utaratibu wa kufundisha masomo ya dini zote i .e Bible & Islamic Knowledge mashuleni haujaanza leo. Uko miaka na miaka.

Tangu wakati huo, takwimu zilikuwa zinapatikanaje? Kwanini sasa zoezi hili liwe rasmi? Kuna ninI hapo?

Na kila mtu anajua kuwa masomo haya huwa sio compulsory katika level zote za kielimu. Mwanafunzi yeyote kwa kadiri ya utashi wake huamua kusoma..

Je, kwa utaratibu huu ina maana tunakoelekea watoto wetu wanaweza kulazimishwa kusoma masomo ya dini fulani, hasa uislamu au siyo?
 
Hakuna udini hapo. Manaswara wenzangu acheni kupanic
 
Back
Top Bottom