Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986926
Barua hutenguliwa kwa Barua. Iweke hapaHiki kibali kimeshatenguliwa leo. Hivyo, hilo zoezi halitafanyika.
Ova
Huwa wanaanza hivi hivi.. awamu zingine mambo haya hayakuepoUdini umeanza kuchipua na kunawiri. Wanafanya sensa wajue wako wangapi ili wafanye maamuzi yao
Kama ni hivyo huo ni uandishi mbaya wa barua. Barua inapaswa kujieleza yenyewe isiache nafasi ya mtu kuielewa tofauti na mwingine, vinginevyo utekelezaji unaweza kuwa tofautiBarua ipo Sawa kabisa Ila itategemea msomaji anaitafsiri vipi hiyo barua.
Hii ilikuwa ni kweli na baada ya kelele wameandika barua nyingine kusitisha ruhusa waliyotoaKabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja.
Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu kama kujua idadi ili kugawa kanzu, Juzuu na mambo mengine mazuri kama udhamini Nk, pia yaweza kuwa na malengo ya Ubaguzi.
Mwenye kufahamu basi atufafanulie.
View attachment 2985918
Mawazo huru!Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986926
Source: Wenye Nchi Wananchi
Somo la Dini limeingizwa kwenye mtaala wa Elimu ya Tanzania?!Katika kusambaza walimu wa somo la dini kwa uwiano , pia wanafunzi wote hawafanyi mitihani ya dini ni option.
Kama ni shirika binafsi wakafanye wao sensa kwanini wahusishwe walimu?Mengine tuwe positive. Nadhani kwanza ni shirika binafsi limeomba kibali. Mambo mengine tunayakuza bila sababu.
Somo la dini halitakiwi kuwepo kabisa shuleni,hizo elimu wazifate sehemu husika,bora kufundishwa kutumia majani ya mpera kuzuia kuharisha ila sio dini.Katika kusambaza walimu wa somo la dini kwa uwiano , pia wanafunzi wote hawafanyi mitihani ya dini ni option.
ni movement ya udini isiyo na afya kwa taifa lisiloongozwa kwa misingi ya dini. Siku hizi hakuna anayekemea udini kama zamani. Udini unashadidiwa kwa nguvu mpaka kwenye taasisi za umma. Wakijiona wako wengi ataibuka mwehu wa kidini kuanzisha hoja bungeni kuwa lianzishwe jambo fulani kwa waumini wa dini hiyo kwa kuwa ni wengi na wana haki ya kufanya mambo ya dini yao kwa uhuruHuwa wanaanza hivi hivi.. awamu zingine mambo haya hayakuepo
Kwanini udhani? Hilo shirika limeomba kibali cha kuhesabu waislam kwa lengo gani? BTW hicho kibali baada ya kelele kelele hizi kimefutwa, kwanini? If nothing fishy is going on nyuma ya pazia?Mengine tuwe positive. Nadhani kwanza ni shirika binafsi limeomba kibali. Mambo mengine tunayakuza bila sababu.
Wapereke madrasaMbona hakuna shida mkuu!
- Je kama wanataka wanunue vitabu vya elimu ya dini!?
- Au ni research, wanaevaluate idadi ya waislamu waliopo shule.
Nadhani huko tanga kuna somo la EDKWapereke madrasa
Kama ilivyo bible knowledgeNadhani huko tanga kuna somo la EDK