Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

MAONI YA MBUNGE JUMANNE KISHIMBA KUHUSU SEKTA ELIMU TANZANIA, KWETU USUKUMANI DINI YA JADI NI WENGI KUPITA DINI ZA KIGENI

5 April 2024

MH. JUMANNE KISHIMBA (MBUNGE NA MFANYABIASHARA MKUBWA) KATIKA MAONGEZI : UCHUMI NI MATUMIZI PART 2


View: https://m.youtube.com/watch?v=oiiHH-pgamE
Mfuatilie Mheshimiwa Mbunge Jumanne Kishimba akieleza umuhimu wa matumizi ambayo yanaweza kuufanya Uchumi uwepo, usimame au usiwepo na ufe.

Shida ya vijana kukosa ajira nini tufanye kama nchi ? Ni vyuo vikuu kukosa kuunganisha masomo na mahitaji ya mazingira nje ya chuo hivyo ni muhimu vyuo na wizara ya uwekezaji kufanya kazi hiyo.

Miaka inakwenda wanafunzi waanzie wapi? Sisi tuna mitaji ya mamilioni tunapeleka mamia ya ngombe zetu tunalala ktk vitanda vya double decker lakini mwanafunzi wa chuo kikuu hajui kubana matumizi kutokana na ubongo wake kuchakachuliwa na ustaarabu kuwa hawapaswi tena kulala ktk kitanda cha double decker.

Waliomaliza elimu ya vyuo vikuu wanapoanza maisha kutokana na mshahara hivyo hawataweze ku 'save' wawekeze ktk biashara inayoleta mapato endelevu badala ya kukabiliana kununua usingizi kwa mikopo ya nyumba au mkopo wa gari ili aishi ilivyopandikizwa chuoni kuwa wao ni watu special..

Wanafunzi wanaomaliza vyuo vikuu hawarudi nyumbani au vijijini hivyo miji ya wazee wao ambayo ni mitaji kama mashamba na mifugo inakufa hivyo familia zinakosa muendelezo wa maendeleo ya kiuchumi yaliyoanzishwa miaka mingi.. mfano jamii yetu ya kihindi hawakati mnyororo ulioanzishwa na wazazi wao tofauti nasi wamatumbi ambao tunaukata mnyororo wa utajiri walioanzisha mababu zetu ktk mashamba, mifugo, uvuvi n.k

Kombinashe nyingi ikiwemo masomo ya dini, kichina na mitaala mipya isiyo endana na mazingira yetu n.k mbunge Jumanne Kishimba anasema imesahaulika dini kubwa za kienyeji ambazo zina watu wengi kuliko ukristo au uislamu.

Kwanini imani hii ya kienyeji yenye mambo mazuri zimepuuzwa ktk ngazi za shule za sekondari na elimu ya juu na kubwa mila za wenyeji ambazo zinasisitiza utaratibu wa maisha kama tabia njema, kutoa ahadi za kuaminika, kutekeleza ahadi, kujaliana n.k

Tunakopi sana mambo ya wageni na kusababisha gharama kubwa za ustaarabu wa kigeni na kupelekea maisha kuwa magumu, pesa kutohifadhika kwa kuwa hatuna mipango ya matumizi na kukua uchumi kwa kiasi kikubwa ni kudhibiti matumizi ...

Hakuna ukomo wa uwekezaji hivyo kila mmoja asiwekeze ktk usingizi yaani nyumba ya anasa ya gharama kubwa au gari bali katika mtaji wa biashara ya kuingiza mapato anasisitiza mbunge Jumanne Kishimba ... na hii elimu ya vyuoni na shuleni ni elimu ya zamani sana na haiendi na kasi ya mabadiliko ya ulimwengu tulionao...

Rasilimali, teknolojia na wingi wa watu ...

Source : sociology tanzania
 
Hadi 2030 mtajua hamjui.
Mnajifanya mnaabudu muungano🤣
Mtaula sasa!
 
Sijawahi kushabikia udini nifuatilie vizuri, Sikiliza, sisi kazi yetu ni kuleta habari hapa jf, tunazileta kama zilivyo halafu uchambuzi utabaki kwenu na tafsiri zenu
 
Kabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja.

Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu kama kujua idadi ili kugawa kanzu, Juzuu na mambo mengine mazuri kama udhamini Nk, pia yaweza kuwa na malengo ya Ubaguzi.

Mwenye kufahamu basi atufafanulie.

View attachment 2985918
Vitu hivi Lema ndio hupenda kuvitengeneza!
 
Kabla ya yote natanguliza ombi Maalum, kwamba kama Taarifa hii si ya kweli iondolewe hapa mara moja.

Lakini kama ni ya kweli ijadiliwe ili tufahamu malengo yake, yaweza kuwa malengo mazuri tu kama kujua idadi ili kugawa kanzu, Juzuu na mambo mengine mazuri kama udhamini Nk, pia yaweza kuwa na malengo ya Ubaguzi.

Mwenye kufahamu basi atufafanulie.

View attachment 2985918
Hii haina tofauti na Chama chenu kumjadili Rais kwa hoja ya zanzibar na ushungi, kwakweli nyani haoni kundule, hizo takwimu sio shida kwa maslaha mapana ya wenye kuzihitaji, huko kwenye mashule ya seminar na maofisini wakati Nimeona na kusikia wakatoliki wakihesabiana kimya kimya, huenda hawa jamaa wamekosea kufuata taratibu rasmi za kibali, walipaswa kufanya kimya kimya kama wana wa pope
 
Hii haina tofauti na Chama chenu kumjadili Rais kwa hoja ya zanzibar na ushungi, kwakweli nyani haoni kundule, hizo takwimu sio shida kwa maslaha mapana ya wenye kuzihitaji, huko kwenye mashule ya seminar na maofisini wakati Nimeona na kusikia wakatoliki wakihesabiana kimya kimya, huenda hawa jamaa wamekosea kufuata taratibu rasmi za kibali, walipaswa kufanya kimya kimya kama wana wa pope
Kwahiyo hapa ndio umeandika kweli kweli eeee?
 
Wanafunzi hawa waliopo mashuleni kuanzia primary mpaka secondary hasa katika shule hizi za umma wana utaratibu wanafundishwa masomo ya dini either bibble knowledge au Islamic knowledge, wa shule ya msingi wanafundishwa ijumaa (au siku nyingine yoyote iliyoamuliwa na shule) masomo hayo ya dini, kila dini hutuma walimu wao inaowaamini kwenda kuwafundisha watoto hao masuala yanayohusu dini zao, hawa wa secondary hufundishwa pia masomo hayo ya dini na huyafanyia mpaka mtihani wa taifa masomo hayo yaani bible knowledge na islamic knowledge.

Na ukumbuke hakuna walimu waliograduate bachelor of education in islamic knowledge au bible knowledge isipokuwa walimu wanaowafundisha hawa watoto wanajitolea. Sasa kama kuna michepuo ya dini imeanzishwa, kuna ubaya gani watu wa dini husika kuomba kwenda kuwatambua walimu wenye dini fulani na watoto wa dini fulani ili kuweka pengine kuweka utaratibu wa jinsi ya kuwafundisha na kuwaandaa au pengine kuwaomba tu walimu waliotayari na wenye uwezo wa kufundisha masomo hayo washiriki katika kufundisha?

Mkurugenzi hana kosa alichofanya ni kuruhusu hao watu na kuomba wapewe ushirikiano sidhani kama kuna kosa au shida yoyote.
Umeelezea vema kabisaaa na kila mtu atakuelewa kwa ulichoandika hapa.

Ila tambua kuna agenda kubwa nyuma ya hili imejificha na kamwe kama huna hilo jicho hutaiona kamwe kuna nyaraka nyingi sana zitatoka , ila ukweli ni kwamba 2025 haendi mtu
 
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
IMG_20240510_173609_831.jpg



Source: Wenye Nchi Wananchi
 
Back
Top Bottom