Uongo wale wamasai wamempisha nani kule ngorongoro?Hamia burundi mbuzi nyie
Mnatengeneza uongo ili kujifariji
Waliwahi kuja shuleni kwenu watu wanakusanya takwimu za watu wanaosoma Fizikia?Jamaa ulisoma shule kweli? Somo la physic ni option kuanzia form 3 na hapo panakuwa na takwimu za kufanya somo hilo hata idadi inajulikana mpaka mtihani wa form four , kuna comb za biashara na art ambazo kuanzia form 3 hawasomi physics.
Takwimu ni muhimu ni muhimu.
Fikizia wanafanya wote kwa form 1&2 , 3&4 aswa sayansi na takwimu zao zipo haswa baadhi hawasomi kuanzia 3&4 wanaenda art au biashara , mitihani ya dini inepelekwa baraza kupitia wanaotunga hata wanaosahihisha ni watu wa dini husika.Waliwahi kuja shuleni kwenu watu wanakusanya takwimu za watu wanaosoma Fizikia?
Kuna watu wanajichetua sana
Mimi naona wakristo ni watu wanafiki sana ,yaani wanajifanya kukemea mambo kumbe wao ndio watendaji wakuu wa hayo wanayoyapigia kelele
Mtu anaulizia lini elimu ya dini imeingizwa kwenye mtaala ,Sasa huyo kama sio mnafiq ni nani, Ina maana hajafika hata kidato cha kwanza ? Au hakuwahi kusikia kuhusu bible knowledge kipindi chote alichosoma
Yaani mtu anakua na chuki mpaka anapitiliza
Kipindi nasoma advance ilikua ikifika ijumaa tunaenda swala ya ijumaa misikiti ya mjini ,hadi turudipo shuleni tunakuta wameshakula chakula cha mchana, tukaomba kua watuhifadhie chakula maana mara nyingi ilikua tunakosa kama hukumuagiza rafikiako akuchukulie ila cha ajabu ilipigwa zengwe balaa tena kiongozi wa chakula alikua kiongozi wa kwaya sijui dhehebu
Watu wana roho mbaya sana hawa
Hizo takwimu zilipatikana je?Fikizia wanafanya wote kwa form 1&2 , 3&4 aswa sayansi na takwimu zao zipo haswa baadhi hawasomi kuanzia 3&4 wanaenda art au biashara , mitihani ya dini inepelekwa baraza kupitia wanaotunga hata wanaosahihisha ni watu wa dini husika.
Takwimu wanaofanya somo hilo zipo mpaka baraza ndio maana kuna attendance ya kusaini .
Swali lako halina logic!
Zinakusanywa ! Kwani ukisikia watu wanakusanya data unajua , wakati wenzio wanasoma pirmary na secondary data kweny research ulikuwa wapi?Hizo takwimu zilipatikana je?
Huo upupu wa ngorongoro na bandarini unahusiana nini na hii madaUongo wale wamasai wamempisha nani kule ngorongoro?
Hapo bandarini ni taifa gani limepewa kazi ya kuendesha bandari?
Au unataka tu kuwashiana moto na mtu asubuhi asubuhi? [emoji848]
Dah! Ndugu yangu, ni wazi hukielewi unachozungumza.Zinakusanywa ! Kwani ukisikia watu wanakusanya data unajua , wakati wenzio wanasoma pirmary na secondary data kweny research ulikuwa wapi?
Wanaweza kwenda kuchukua hata zilizopo hapo sio kuhesabu moja kwa moja .
Kuna tatizo kubwa sana nadhani waislam wana agenda mbaya sana na Taifa hili, yetu macho dalili ni nzito sana huko mbeleniHii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986912
Source: Wenye Nchi Wananchi
Hakuna chuki yoyote hapo. Ulinzi na Usalama wa mtu yeyote huanzia na yeye mwenyewe. Tahadhari kabla ya hatari.Hizi chuki hazuwezi kutufukisha popote lazima tujitafakari sanaa kwanini tuwe hasi kwa watu fulani wenye imani yao.
Mkuu; Kwa uzoefu tulionao juu ya hawa Jamaa, hawahitaji kuwa umewatendea kitu chochote bali siku isiyo na jina wanaliamsha tuu. Ni watu washari sana by nature.Ujinga kama hu hauwezi kuacha hi nchi salama, kwanini unakua na hofu kiasi hiki, kuna mambo mliwatendea waislamu mpaka kuwa ogopa kiasi hiki kwamba watalipiza kisasi?.........hamba watu wa oga kama wakristo wa nchi hi sijui ni kwasbb ya ubadhilfu wao dhidhi ya wsislamu wana ishi kwa hofu kubwa, kama kuna mlicho watenda wa ombeni samaha
Maneno huumba, jambo likirudiwa rudiwa sana hata kama si kweli baadhi ya watu watafikiria ni kwel. Lisu ni mwanasiasa, na wanasiasa husema chochote kile ambacho wanakiona kitawapa faida katika harakati zao za kisiasa.Islam phobia, ubaya si Namna unavyotafsiri, na kupreach, huenda hitajio ni kimkakati lakini mchafuzi akachafua, kwani lisu akitaja Wazanzibari anakosea?
Huna akili.Wanafunzi hawa waliopo mashuleni kuanzia primary mpaka secondary hasa katika shule hizi za umma wana utaratibu wanafundishwa masomo ya dini either bibble knowledge au Islamic knowledge, wa shule ya msingi wanafundishwa ijumaa (au siku nyingine yoyote iliyoamuliwa na shule) masomo hayo ya dini, kila dini hutuma walimu wao inaowaamini kwenda kuwafundisha watoto hao masuala yanayohusu dini zao, hawa wa secondary hufundishwa pia masomo hayo ya dini na huyafanyia mpaka mtihani wa taifa masomo hayo yaani bible knowledge na islamic knowledge.
Na ukumbuke hakuna walimu waliograduate bachelor of education in islamic knowledge au bible knowledge isipokuwa walimu wanaowafundisha hawa watoto wanajitolea. Sasa kama kuna michepuo ya dini imeanzishwa, kuna ubaya gani watu wa dini husika kuomba kwenda kuwatambua walimu wenye dini fulani na watoto wa dini fulani ili kuweka pengine kuweka utaratibu wa jinsi ya kuwafundisha na kuwaandaa au pengine kuwaomba tu walimu waliotayari na wenye uwezo wa kufundisha masomo hayo washiriki katika kufundisha?
Mkurugenzi hana kosa alichofanya ni kuruhusu hao watu na kuomba wapewe ushirikiano sidhani kama kuna kosa au shida yoyote.
Ni kweli .Tanzania Haina usawa,Kuna gepu kubwa sana Kati ya walionacho na wasionacho.
Ninaamini Kuna jambo linapikwa kupitia udini,na muungano.
Haya mawingu ni mosh utakao chini.
Acha uwake tu.