Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Shule zaandikiwa Barua kutoa takwimu za Idadi ya wanafunzi wa Kiislamu shuleni

Hamia burundi mbuzi nyie
Mnatengeneza uongo ili kujifariji
Uongo wale wamasai wamempisha nani kule ngorongoro?

Hapo bandarini ni taifa gani limepewa kazi ya kuendesha bandari?

Au unataka tu kuwashiana moto na mtu asubuhi asubuhi? [emoji848]
 
Jamaa ulisoma shule kweli? Somo la physic ni option kuanzia form 3 na hapo panakuwa na takwimu za kufanya somo hilo hata idadi inajulikana mpaka mtihani wa form four , kuna comb za biashara na art ambazo kuanzia form 3 hawasomi physics.

Takwimu ni muhimu ni muhimu.
Waliwahi kuja shuleni kwenu watu wanakusanya takwimu za watu wanaosoma Fizikia?
 
Waliwahi kuja shuleni kwenu watu wanakusanya takwimu za watu wanaosoma Fizikia?
Fikizia wanafanya wote kwa form 1&2 , 3&4 aswa sayansi na takwimu zao zipo haswa baadhi hawasomi kuanzia 3&4 wanaenda art au biashara , mitihani ya dini inepelekwa baraza kupitia wanaotunga hata wanaosahihisha ni watu wa dini husika.

Takwimu wanaofanya somo hilo zipo mpaka baraza ndio maana kuna attendance ya kusaini .

Swali lako halina logic!
 
Kuna watu wanajichetua sana
Mimi naona wakristo ni watu wanafiki sana ,yaani wanajifanya kukemea mambo kumbe wao ndio watendaji wakuu wa hayo wanayoyapigia kelele
Mtu anaulizia lini elimu ya dini imeingizwa kwenye mtaala ,Sasa huyo kama sio mnafiq ni nani, Ina maana hajafika hata kidato cha kwanza ? Au hakuwahi kusikia kuhusu bible knowledge kipindi chote alichosoma
Yaani mtu anakua na chuki mpaka anapitiliza
Kipindi nasoma advance ilikua ikifika ijumaa tunaenda swala ya ijumaa misikiti ya mjini ,hadi turudipo shuleni tunakuta wameshakula chakula cha mchana, tukaomba kua watuhifadhie chakula maana mara nyingi ilikua tunakosa kama hukumuagiza rafikiako akuchukulie ila cha ajabu ilipigwa zengwe balaa tena kiongozi wa chakula alikua kiongozi wa kwaya sijui dhehebu
Watu wana roho mbaya sana hawa

Jamaa wana chuki za ajabu sana
 
Fikizia wanafanya wote kwa form 1&2 , 3&4 aswa sayansi na takwimu zao zipo haswa baadhi hawasomi kuanzia 3&4 wanaenda art au biashara , mitihani ya dini inepelekwa baraza kupitia wanaotunga hata wanaosahihisha ni watu wa dini husika.

Takwimu wanaofanya somo hilo zipo mpaka baraza ndio maana kuna attendance ya kusaini .

Swali lako halina logic!
Hizo takwimu zilipatikana je?
 
Hizo takwimu zilipatikana je?
Zinakusanywa ! Kwani ukisikia watu wanakusanya data unajua , wakati wenzio wanasoma pirmary na secondary data kweny research ulikuwa wapi?

Wanaweza kwenda kuchukua hata zilizopo hapo sio kuhesabu moja kwa moja .
 
Uongo wale wamasai wamempisha nani kule ngorongoro?

Hapo bandarini ni taifa gani limepewa kazi ya kuendesha bandari?

Au unataka tu kuwashiana moto na mtu asubuhi asubuhi? [emoji848]
Huo upupu wa ngorongoro na bandarini unahusiana nini na hii mada
Mlitaka wawape kina nani, sababu wazungu hata kama mnaona ni wagalatia wenzenu hawataki kufanya kazi na mijitu miesi wenye akili nzito kama ute wa mlenda, na ni wazembe, wavivu, na wezi, na pia hawana dau la kubid kushindana na waarabu, waarabu ndio wanasafirisha dunia nzima sasa na ndege zao sasabu hela wanazo.
 
Zinakusanywa ! Kwani ukisikia watu wanakusanya data unajua , wakati wenzio wanasoma pirmary na secondary data kweny research ulikuwa wapi?

Wanaweza kwenda kuchukua hata zilizopo hapo sio kuhesabu moja kwa moja .
Dah! Ndugu yangu, ni wazi hukielewi unachozungumza.
 
Hii ni sawa ? kwamba kuna dini zinatakiwa kujua kuna wanafunzi wangapi mashuleni bila kueleza nini kinataka kufanyika? maana kama ni suala la waumini sio lazima kwenda shuleni unawapata kwenye nyumba zote za ibada inaweza pata takwimu, lakini hii ina malengo gani kusema kuna takwimu za wanafunzi wa dini hii na inakwenda kufanyika shuleni wanafunzi wote wanaona, shule hapo wanafunzi wanakuwa wamepata ujumbe gani?
View attachment 2986912


Source: Wenye Nchi Wananchi
Kuna tatizo kubwa sana nadhani waislam wana agenda mbaya sana na Taifa hili, yetu macho dalili ni nzito sana huko mbeleni
 
Hizi chuki hazuwezi kutufukisha popote lazima tujitafakari sanaa kwanini tuwe hasi kwa watu fulani wenye imani yao.
Hakuna chuki yoyote hapo. Ulinzi na Usalama wa mtu yeyote huanzia na yeye mwenyewe. Tahadhari kabla ya hatari.
 
Ujinga kama hu hauwezi kuacha hi nchi salama, kwanini unakua na hofu kiasi hiki, kuna mambo mliwatendea waislamu mpaka kuwa ogopa kiasi hiki kwamba watalipiza kisasi?.........hamba watu wa oga kama wakristo wa nchi hi sijui ni kwasbb ya ubadhilfu wao dhidhi ya wsislamu wana ishi kwa hofu kubwa, kama kuna mlicho watenda wa ombeni samaha
Mkuu; Kwa uzoefu tulionao juu ya hawa Jamaa, hawahitaji kuwa umewatendea kitu chochote bali siku isiyo na jina wanaliamsha tuu. Ni watu washari sana by nature.
 
Ila hawa jamaa sometimes wana mambo ya kindezi sana
 
Islam phobia, ubaya si Namna unavyotafsiri, na kupreach, huenda hitajio ni kimkakati lakini mchafuzi akachafua, kwani lisu akitaja Wazanzibari anakosea?
Maneno huumba, jambo likirudiwa rudiwa sana hata kama si kweli baadhi ya watu watafikiria ni kwel. Lisu ni mwanasiasa, na wanasiasa husema chochote kile ambacho wanakiona kitawapa faida katika harakati zao za kisiasa.
 
Wanafunzi hawa waliopo mashuleni kuanzia primary mpaka secondary hasa katika shule hizi za umma wana utaratibu wanafundishwa masomo ya dini either bibble knowledge au Islamic knowledge, wa shule ya msingi wanafundishwa ijumaa (au siku nyingine yoyote iliyoamuliwa na shule) masomo hayo ya dini, kila dini hutuma walimu wao inaowaamini kwenda kuwafundisha watoto hao masuala yanayohusu dini zao, hawa wa secondary hufundishwa pia masomo hayo ya dini na huyafanyia mpaka mtihani wa taifa masomo hayo yaani bible knowledge na islamic knowledge.

Na ukumbuke hakuna walimu waliograduate bachelor of education in islamic knowledge au bible knowledge isipokuwa walimu wanaowafundisha hawa watoto wanajitolea. Sasa kama kuna michepuo ya dini imeanzishwa, kuna ubaya gani watu wa dini husika kuomba kwenda kuwatambua walimu wenye dini fulani na watoto wa dini fulani ili kuweka pengine kuweka utaratibu wa jinsi ya kuwafundisha na kuwaandaa au pengine kuwaomba tu walimu waliotayari na wenye uwezo wa kufundisha masomo hayo washiriki katika kufundisha?

Mkurugenzi hana kosa alichofanya ni kuruhusu hao watu na kuomba wapewe ushirikiano sidhani kama kuna kosa au shida yoyote.
Huna akili.
Kwa nini msiitane huko misikitini mkachukue takwimu?Wapi umeona wa dini zingine wakichukua takwimu kwa mfumo mnaotaka kuuamzisha?
 
Tanzania Haina usawa,Kuna gepu kubwa sana Kati ya walionacho na wasionacho.
Ninaamini Kuna jambo linapikwa kupitia udini,na muungano.
Haya mawingu ni mosh utakao chini.
Acha uwake tu.
Ni kweli .
Kuna pesa nyingi sana zinaletwa na matajiri wa Kizungu na Waarabu .
Wazungu wanapitia misaada Kwa lengo kupata fursa za kuwashawishi watawala wagawe rasilimali za nchi Kwa mabeberu na masuala mazima ya Ushoga na usagaji. Zamani walianza kupitia kwenye dini ya kikristo Sasa Wazungu wanapitia kwa watawala na ma NGOs na Demokrasia.

Lakini Pia Kuna mapesa mengi sana yanayotoka Kwa waarabu kupitia dini ,ugaidi na madawa ya kulevya . Haya mapesa yanapitia Kwa wafanya Biashara wenye asili ya Asia kushirikiana pia na watawala yanaingizwa ambao wanageuka kuwa washishirika wao . Hapa pia dini ni kigezo.

Uchochoro unanza taratibu mwishowe unakua njia.


Pesa haijawahi kuiacha afrika na Dunia salama.
Lengo la matajiri wa kiarabu ni kushika uchumi wa Dunia kupitia rasilimali za Afrika kama walivyo wazungu.
Lakini Lengo la watawala wa Afrika ni kukaa mdarakani Kwa namna yoyote na kujilimbikizua Mali na familia zao. Uatasikia mitano Tena. Yaani Afrika mtu akawa makama wa Rais miaka sita na Rais miaka minne Jumla kumi lakini bado hatosheki anatafuta Kila mbinu na kuuza rasilimali zote za nchi ili tu apate pesa za kampeni na kushinda uchaguzi tuu.

Lakini Pia kulingana na umaskini wa Waafrika wengi na kutotambua kuwa Kila jamii duniani imewekwa sehemu yake na Mwenyezi Mungu Kwa lengo maalumu Waafrika wameaminishwa kuwa Dini za wazungu na Waarabu ni suluhisho la matatizo Yao huku wakiwa wanafarakana na kubaguana na kuchukiana na hata kuuana Kwa kugombania nafasi za Ahadi ya Kwenda mbinguni .
Mbaya zaidi matajiri na watawala wakishapata pesa za kutosha wanaamini kuwa wataenda pepoponi Kwa kufadhili harakati za kidini ziwe mbaya au nzuri.

Tusipokuwa na Katiba Bora inayowapa wananchi fursa ya kuchagua viongozi Bora Kwa manufaa ya Nchi yetu na Watu wetu hakika ipo siku tutachaguana Kwa misingi ya dini na makabila Kwa sababu watawala kupitia CCM wanachoangalia ni kutawala tu . Akiwa Rais Mkristo wanajifanya wapo bega Kwa bega na Wakristo na kuwafarakanisha kupitia Ukatoliki na ulokole.

Akiwa muislam CCM itatoa mpaka Ahadi ya Mahakama ya kadhi na Sasa wanawaahidi kuwa waarabu wakijaa hapa Tanganyika basi watu watapata vibarua au Kazi za kitumwa. Kutokana na umaskini watu wanawapa kura na wao wanafadhiliwa Kwa khanga na tishrt za chagua CCM Kazi iendelee.
 
Back
Top Bottom