Si sahihi kumpa maagizo Waziri Mkuu hadharani, si kila kiongozi anaweza kupewa maagizo hadharani

Anachokifanya Makonda ndicho haswa alichoteuliwa kukifanya.

Makonda ni mithili ya udongo, unamfinyanga vile unataka awe.

Makonda ni mouthpiece ya waliomteua ili aongee yale wasioweza kuyaongea kwa wanaotakiwa kufikishiwa ujumbe.
Umeongea point sana watu hawajui kazi ya makonda yupo kwa ajili ya kuludisha chama matumaini kwa wananchi watu mnamuona kama vile anamsema waziri mkuu ila nikama maigizo hayo wanafanya wana ccm ili muone kama chama hakiwaogopi viongozi ili wananchi muludishe Imani kwa chama
 
Waziri Mkuu ana majukumu makubwa na mengi. Anafanya kazi kubwa na nyingi. Anafanya kazi za chama chake-CCM na Serikali yetu. Tumheshimu Waziri Mkuu wetu....asitwezwe kwa mgongo wa chama na maagizo ya chama.
Sasa wewe mtu km ana uwezo wa kuwakata makofi mawiziri wakuu wastaafu (Mheshimiwa sana Jaji Joseph Sinde Warioba) bila uoga atashindwa nini kuwakata makofi mawiziri wakuu waliopo madarakani (Mheshimiwa Majaliwa Kasim Majaliwa)?
 
Watanzania wanapenda kuona watumishi wanateseka sijui hii wivu imetoka wapi .wakisikia hawaongezi mishahara wanashangilia kabisa .watumishi wanahaki ya kufanya kazi wakiwa wanaenjoy kuwa serikalini .nenda dunia nzima uone watumishi mpaka hapo kenya wanawekewa party kila mwezi wakifikia malengo.ndo maana vijana wenye akili mingi wanaingia serikalini miaka 5 wanatoka wanaanzisha kampuni za sheria serikali inashindwa kesi inapoteza mabilion .mkono advocate anaajiri best students wa sheria anawalipa mil 5 kwa mwezi na gari na kuwapangia mikochen kila 2 yrs wanaenda Soma nje wanarudi .siku bakhresa anabishana na tra anaajir mkono advocate wanaenda kukutana na maofisa tra wanaolipwa 1.3mil .ambao et hata wakipwa sitting allowance wanaonewa wivu na wananchi.bakhresa anashinda anaitia serikali hasara ya bil 30 ambazo zingetosha kujenga hospital za kisasa 6
 
Nampenda sana Makonda kwa ule uthubutu wake, ila ni lazima ajali anayoyaongea anaposhika mic. Wakubwa wake wamueleze wazi ni mambo gani aongee na yapi aachie vikao vya chama. Ni lazema apewe ABCs, asiachwe hivi hivi. Mambo mengine yanaongeleka kwenye vikao vya chama.
 

Na akisema aondoke pia itakuwa nongwa, ataonekana amesusa, ametangaza vita na hao wanaomuandama. Busara ni kusubiria muda wake ufike (awamu iishe), basi astaafu.
 
Mama Samiah naye mnafiki, alisahuriwa na TLS ateue Waziri Mkuu Mpya Kama ni awamu mpya akakataa, Sasa hivi anatumia njia ndefu kumtoa, mara huku dotto kule Makonda, kesho sijui atakuja na Nini.
Na waziri mkuu nae kin'gan'gizi balaa kama kupe!![emoji2]
 
Hata hapo Malawi ilifanyika hivyo !
Rais alianzisha Chama chake akiwa Ikulu !
 
Mtafaruku Chamani !! 2025 inaleta mazonge πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
Ngoja Tusubiri tuone β€œKarma” !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…