Siasa ni mchezo mchafu sana, waachwe wanaoujua Waucheze

Siasa ni mchezo mchafu sana, waachwe wanaoujua Waucheze

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi, Lissu, Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna, kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi na Madaraka huchukuliwa. Hapa ndipo kuna kuiba kura, kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu, Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
 
Mkuu kwa sasa hivi hakuna mtu mwenye akili asiejua kuwa Mbowe ni mwanakitengo maalum. Kabla ya kuanza ziara za ikulu enzi za Kikwete na sasa hivi mama, watu wengi walikuwa wanajua kuwa jamaa ni mpinzani madhubuti, lkn Mungu si Athumani taraatibu akaanza kumuonesha rangi yake halisi kupitia wakati ule wa JK, tukasogea na kukutana na tukio lingine la kihistoria 2015, la kuuwa ndoto za upinzani kuingia ikulu kwa kumkaribisha mwana kitengo mwenzie aje aharibu mipango ya wale waliokuwa wapinzani wa kweli.

Baada ya hapo watu wakaanza kushtuka likatengenezwa zogo sijui la kuharibiwa shamba, mara ugaidi huku, dakika za mwisho eti kesi ya ugaidi inafutwa ghafla anaenda kuonana na mkuu wa nyumba. So mpaka hapo wenye akili wanafahamu kinachoendelea.

Hivyo hivyo kwa Zito, Lipumba nk.
 
Mkuu kwa sasa hivi hakuna mtu mwenye akili asiejua kuwa Mbowe ni mwanakitengo maalum. Kabla ya kuanza ziara za ikulu enzi za Kikwete na sasa hivi mama, watu wengi walikuwa wanajua kuwa jamaa ni mpinzani madhubuti, lkn Mungu si Athumani taraatibu akaanza kumuonesha rangi yake halisi kupitia wakati ule wa JK, tukasogea na kukutana na tukio lingine la kihistoria 2015, la kuuwa ndoto za upinzani kuingia ikulu kwa kumkaribisha mwana kitengo mwenzie aje aharibu mipango ya wale waliokuwa wapinzani wa kweli. Baada ya hapo watu wakaanza kushtuka likatengenezwa zogo sijui la kuharibiwa shamba, mara ugaidi huku, dakika za mwisho eti kesi ya ugaidi inafutwa ghafla anaenda kuonana na mkuu wa nyumba. So mpaka hapo wenye akili wanafahamu kinachoendelea. Hivyo hivyo kwa Zito, Lipumba nk.
Ujue watu wanaumiza vichwa kwa vitu ambavyo watu wanapanga na wanajua vitaishaje .
 
Ni hapa Tanzania tu mkuu ila huko dunia ya kwanza watu wanakwenda na principles tu.

Watu wamejawa na uzalendo kila mtu anaipigania nchi yake.

Tofauti hapa wanasiasa wanapigania maslahi yao tu na familia zao.
 
Ni hapa Tanzania tu mkuu ila huko dunia ya kwanza watu wanakwenda na principles tu.

Watu wamejawa na uzalendo kila mtu anaipigania nchi yake.

Tofauti hapa wanasiasa wanapigania maslahi yao tu na familia zao.
Ni sehemu chache sana watu wanafuata principles
 
Ni hapa Tanzania tu mkuu ila huko dunia ya kwanza watu wanakwenda na principles tu.

Watu wamejawa na uzalendo kila mtu anaipigania nchi yake.

Tofauti hapa wanasiasa wanapigania maslahi yao tu na familia zao.
Ni sehemu chache sana watu wanafuata principles
 
Ni hapa Tanzania tu mkuu ila huko dunia ya kwanza watu wanakwenda na principles tu.

Watu wamejawa na uzalendo kila mtu anaipigania nchi yake.

Tofauti hapa wanasiasa wanapigania maslahi yao tu na familia zao.
Wanasiasa hawawezi kutupigania kama sisi wenyewe watanzania hatujipiganii.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
Sijui una umri gani lakini hizi ni kauli za kitoto hebu achana nazo. Kama ni mtu mzima (yaani mwenye watoto) naamini kuna wakati unafika unachoka kuongozwa na unapenda na wewe uwe kiongozi. Utakapofikia hali hiyo ingia kwenye siasa, utauona mchezo ukoje. Ni wa kawaida tu, wanaoumia ni wale wanaoshupaza sana shingo kabla ya wakati.

Mfano kama uko nje ya CCM tambua kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa. CCM ni dola. Kwa hiyo iheshimu CCM na ujue kuwa mwisho wako ni wapi. Mwisho kwenye upinzani ni ubunge tu, ukitaka zaidi ya ubunge inabidi uhamie CCM. Vyama vya upinzani jukumu lao ndo hilo la kuwa wapinzani na si zaidi ya hapo.

Ukiamua kufanyia siasa zako ndani ya CCM ni vizuri zaidi. Siasa ni maisha tu ya kawaida utayaona wenzako wanafanyeje na wewe utaiga na kujiongeza kidogo. Haya maneno uliyoandika ni maneno ya kitoto, siku ukiwa tayari kuongoza badala ya kuongozwa utayaacha.
 
Sijui una umri gani lakini hizi ni kauli za kitoto hebu achana nazo. Kama ni mtu mzima (yaani mwenye watoto) naamini kuna wakati unafika unachoka kuongozwa na unapenda na wewe uwe kiongozi. Utakapofikia hali hiyo ingia kwenye siasa, utauona mchezo ukoje. Ni wa kawaida tu, wanaoumia ni wale wanaoshupaza sana shingo kabla ya wakati.

Mfano kama uko nje ya CCM tambua kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa. CCM ni dola. Kwa hiyo iheshimu CCM na ujue kuwa mwisho wako ni wapi. Mwisho kwenye upinzani ni ubunge tu, ukitaka zaidi ya ubunge inabidi uhamie CCM. Vyama vya upinzani jukumu lao ndo hilo la kuwa wapinzani na si zaidi ya hapo.

Ukiamua kufanyia siasa zako ndani ya CCM ni vizuri zaidi. Siasa ni maisha tu ya kawaida utayaona wenzako wanafanyeje na wewe utaiga na kujiongeza kidogo. Haya maneno uliyoandika ni maneno ya kitoto, siku ukiwa tayari kuongoza badala ya kuongozwa utayaacha.
Kwa hiyo tuwe na Chama kimoja ?
 
Sijui una umri gani lakini hizi ni kauli za kitoto hebu achana nazo. Kama ni mtu mzima (yaani mwenye watoto) naamini kuna wakati unafika unachoka kuongozwa na unapenda na wewe uwe kiongozi. Utakapofikia hali hiyo ingia kwenye siasa, utauona mchezo ukoje. Ni wa kawaida tu, wanaoumia ni wale wanaoshupaza sana shingo kabla ya wakati.

Mfano kama uko nje ya CCM tambua kuwa CCM ni zaidi ya chama cha siasa. CCM ni dola. Kwa hiyo iheshimu CCM na ujue kuwa mwisho wako ni wapi. Mwisho kwenye upinzani ni ubunge tu, ukitaka zaidi ya ubunge inabidi uhamie CCM. Vyama vya upinzani jukumu lao ndo hilo la kuwa wapinzani na si zaidi ya hapo.

Ukiamua kufanyia siasa zako ndani ya CCM ni vizuri zaidi. Siasa ni maisha tu ya kawaida utayaona wenzako wanafanyeje na wewe utaiga na kujiongeza kidogo. Haya maneno uliyoandika ni maneno ya kitoto, siku ukiwa tayari kuongoza badala ya kuongozwa utayaacha.
Umeandika vyema sana, ila naomba kuuliza, unawaongeleaje watu kama kina Zitto kabwe ambao wako nje ya chama, Je wako ndani ya chama tawala ila wanaficha ficha ama ni nini?! Zitto kabwe ni mtu imara tu kwa maoni yangu, au kuna sehemu nachanganya sielewi?!
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Umeandika vyema sana, ila naomba kuuliza, unawaongeleaje watu kama kina Zitto kabwe ambao wako nje ya chama, Je wako ndani ya chama tawala ila wanaficha ficha ama ni nini?! Zitto kabwe ni mtu imara tu kwa maoni yangu, au kuna sehemu nachanganya sielewi?!
Umemuuliza vyema
 
Huwezi kuacha kuji
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
Hushiaha
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
Siasa ni Pana sana,ni zaidi ya uchaguzi,vyama vya Siasa, ubunge, nk. Siasa za nchi ndio zinashawishi taasisi gani za kiuchumi zianzishwe, na zitende vipi. Siasa ndio zinaamua nani awe na nguvu ya kiuchumi, na kwa eneo lipi,Siasa ndio Zina control njia za uchumi, na kuamua wananchi wawe maskini au matajiri, usifikili Samsung na hyundai kutokea Korea ya kusini badala ya kaskazini ni jambo la bahati tu, mazingira ya kisiasa yaliyopo kusini ni wezeshi kwa ujasiliamali kuliko Yale ya kaskazini kwenye ujamaa wa kidikiteta usiotaka private ownership wa njia za kiuchumi.

Kenya kuwa na uchumi mkubwa na makampuni mengi kuliko sisi, sio bahati. Siasa zilifanya hivyo,ujamaa wetu haukutaka ubunifu binafsi, na mtu mmoja mmoja kumiliki njia za uchumi, Kenya ubepari ulipewa nafasi,watu waliruhusiwa kushika njia za kiuchumi na kukusanya ukwasi kadri wawezavyo.

Kwahiyo ukiacha kujihusisha na Siasa, unakuwa unataka kufa na kuzikwa. Siasa sio ccm na Chadema, NCCR na Samia, na ubunge, ni zaidi, ni maisha ya kila siku.
 
Back
Top Bottom