Siasa ni mchezo mchafu sana, waachwe wanaoujua Waucheze

Siasa ni mchezo mchafu sana, waachwe wanaoujua Waucheze

Huwezi kuacha kuji

Hushiaha

Siasa ni Pana sana,ni zaidi ya uchaguzi,vyama vya Siasa,ubunge,nk,Siasa za nchi ndio zinashawishi taasisi gani za kiuchumi zianzishwe,na zitende vipi,,Siasa ndio zinaamua nani awe na nguvu ya kiuchumi,na kwa eneo lipi,Siasa ndio Zina control njia za uchumi,na kuamua wananchi wawe maskini au matajiri,usifikili Samsung na hyundai kutokea Korea ya kusini badala ya kaskazini ni jambo la bahati tu,mazingira ya kisiasa yaliyopo kusini ni wezeshi kwa ujasiliamali kuliko Yale ya kaskazini kwenye ujamaa wa kidikiteta usiotaka private ownership wa njia za kiuchumi.
Kenya kuwa na uchumi mkubwa na makampuni mengi kuliko sisi,sio bahati,Siasa zilifanya hivyo,ujamaa wetu haukutaka ubunifu binafsi,na mtu mmoja mmoja kumiliki njia za uchumi,Kenya ubepari ulipewa nafasi,watu waliruhusiwa kushika njia za kiuchumi na kukusanya ukwasi kadri wawezavyo.
Kwahiyo ukiacha kujihusisha na Siasa,unakuwa unataka kufa na kuzikwa,Siasa sio ccm na Chadema,nccr na Samia,na ubunge,ni zaidi,ni maisha ya kila siku.
Sikatai kujihusisha
 
Umeandika vyema sana, ila naomba kuuliza, unawaongeleaje watu kama kina Zitto kabwe ambao wako nje ya chama, Je wako ndani ya chama tawala ila wanaficha ficha ama ni nini?! Zitto kabwe ni mtu imara tu kwa maoni yangu, au kuna sehemu nachanganya sielewi?!
Zitto Kabwe anaonekana anaelewa kuwa nafasi yake yeye ni Mpinzani. Sio kukamata dola.

Siasa zetu zinafanana na zile za China. Ila akili zetu ndo hazifanani na China. Bunge la China lina vyama nane na wabunge wasio na vyama. Ila kila mtu anajua chama dola ni Chama cha Kikomunisti, hawakisumbui.
 
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
"Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao"

Mkuu! Umechnganya maji na mafuta....... unahitaji Elimu ya uraia. Una hoja lakini, ni muhimu kufahamu nafasi ya maji na nafasi ya mafuta. Nani kasema tunatafuta kiongozi wa kuleta unga au mchele majumbani. Hii maanake unataka kusema hatuhitaji kuwa na viongozi na hata swala la uchaguzi na upigaji kura kuchagua viongozi halina tija na maana yoyote kwa Taifa.

Kufanya kazi ni msingi wa maisha ya binaadam tangu enzi na ni muhimu, na upande mwingine uongozi upo tangu enzi na una nafasi na umuhimu wake. Ninachokiona unahitaji kujielemisha kujua wajibu na majukumu ya uongozi ambao unaanzia kwako binafsi, familia, jamii, Taifa hadi dunia nzima.

Kama wewe ni mvivu na mzembe inabaki kuwa liability kwako na jamii. Natarajia kumuona mtu mwenye bidii ya kazi na mwenye kuhamasisha wengine kufanya kazi aweze kutambua umuhimu wa uongozi na msingi wake katika kuleta ufanisi kwa wenye bidii kazini kwao.

Una hoja lakini pengine uwasilishaji wa hoja yako labda unachnganya mambo.
 
"Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao"

Mkuu! Umechnganya maji na mafuta....... unahitaji Elimu ya uraia. Una hoja lakini, ni muhimu kufahamu nafasi ya maji na nafasi ya mafuta. Nani kasema tunatafuta kiongozi wa kuleta unga au mchele majumbani. Hii maanake unataka kusema hatuhitaji kuwa na viongozi na hata swala la uchaguzi na upigaji kura kuchagua viongozi halina tija na maana yoyote kwa Taifa.

Kufanya kazi ni msingi wa maisha ya binaadam tangu enzi na ni muhimu, na upande mwingine uongozi upo tangu enzi na una nafasi na umuhimu wake. Ninachokiona unahitaji kujielemisha kujua wajibu na majukumu ya uongozi ambao unaanzia kwako binafsi, familia, jamii, Taifa hadi dunia nzima.

Kama wewe ni mvivu na mzembe inabaki kuwa liability kwako na jamii. Natarajia kumuona mtu mwenye bidii ya kazi na mwenye kuhamasisha wengine kufanya kazi aweze kutambua umuhimu wa uongozi na msingi wake katika kuleta ufanisi kwa wenye bidii kazini kwao.

Una hoja lakini pengine uwasilishaji wa hoja yako labda unachnganya mambo.
Sawa mkuu
 
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
UTAFANYA KAZI WAKATI SIASA NI CHAFU?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kwa sasa hivi hakuna mtu mwenye akili asiejua kuwa Mbowe ni mwanakitengo maalum. Kabla ya kuanza ziara za ikulu enzi za Kikwete na sasa hivi mama, watu wengi walikuwa wanajua kuwa jamaa ni mpinzani madhubuti, lkn Mungu si Athumani taraatibu akaanza kumuonesha rangi yake halisi kupitia wakati ule wa JK, tukasogea na kukutana na tukio lingine la kihistoria 2015, la kuuwa ndoto za upinzani kuingia ikulu kwa kumkaribisha mwana kitengo mwenzie aje aharibu mipango ya wale waliokuwa wapinzani wa kweli.

Baada ya hapo watu wakaanza kushtuka likatengenezwa zogo sijui la kuharibiwa shamba, mara ugaidi huku, dakika za mwisho eti kesi ya ugaidi inafutwa ghafla anaenda kuonana na mkuu wa nyumba. So mpaka hapo wenye akili wanafahamu kinachoendelea.

Hivyo hivyo kwa Zito, Lipumba nk.
Mateso yote ya JELA kayakubali kalipwa nini? Kama ni wa kitengo vipi na Zitto kwanini Ateswi kama Mbowe?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mateso yote ya JELA kayakubali kalipwa nini?Kama ni wa kitengo vipi na Zitto kwanini Ateswi kama Mbowe?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Siku waliokushikia akili yako watapoirudisha, ndo utajua kwamba mchezo wa kufungwa au kunyang'anywa nyumba ili kuifubaza jamii ni la kawaida tu. Afu watu wa kitengo wana njia nyingi sio lazima njia wanazozitumia kwa Mrema ndo hizo hizo wazitumie kwa Mbatia. Wakifanya hivyo itakuwa rahisi kuwagundua, ndo maana wao wana njia tofauti ambazo mtu kama wewe hauwezi kuzing'amua kama unavyoonesha katika comment yako. Pole sana kwa kuchelewa kuelewa mambo ya mfumo kijana. Na hili ndio watu wa vitendo wanalolitaka asilani.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Siku waliokushikia akili yako watapoirudisha, ndo utajua kwamba mchezo wa kufungwa au kunyang'anywa nyumba ili kuifubaza jamii ni la kawaida tu. Afu watu wa kitengo wana njia nyingi sio lazima njia wanazozitumia kwa Mrema ndo hizo hizo wazitumie kwa Mbatia. Wakifanya hivyo itakuwa rahisi kuwagundua, ndo maana wao wana njia tofauti ambazo mtu kama wewe hauwezi kuzing'amua kama unavyoonesha katika comment yako. Pole sana kwa kuchelewa kuelewa mambo ya mfumo kijana. Na hili ndio watu wa vitendo wanalolitaka asilani.
Mambo mengi ni planned
 
Siku waliokushikia akili yako watapoirudisha, ndo utajua kwamba mchezo wa kufungwa au kunyang'anywa nyumba ili kuifubaza jamii ni la kawaida tu. Afu watu wa kitengo wana njia nyingi sio lazima njia wanazozitumia kwa Mrema ndo hizo hizo wazitumie kwa Mbatia. Wakifanya hivyo itakuwa rahisi kuwagundua, ndo maana wao wana njia tofauti ambazo mtu kama wewe hauwezi kuzing'amua kama unavyoonesha katika comment yako. Pole sana kwa kuchelewa kuelewa mambo ya mfumo kijana. Na hili ndio watu wa vitendo wanalolitaka asilani.
MAWAZO FINYU HAYO NI KICHAA TU NDIO ANAWAZA UWAZAVYO MNADANGANYWA VIJIWENI

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
Naona MATAGA mnajitekenya wenyewe na kuchekaaa!
Saivi umma wa Watanzania hawadanganyiki tena!
 
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
Unamawazo ya kizamani ya enzi ya ujima na propaganda za kisoshalisti.
Soma alama Zama zimebadilika.
 
Mambo mengi ni planned
Ndio maana yake mkuu. Inashangaza mpaka karne hii ya 21 mtu na akili zake anashindwa kung'amua dalili na matendo ya mtu wa kitengo ni yapi. Mtu wa kitengo ni sawa sawa na mchawi ambae yuko radhi kuuwa mtoto wake mwenyew ili apate cheo. Hivyo hivyo mtu wa kitengo yuko radhi kufungwa na kuteswa "kimchongo" au kuharibiwa chochote kilicho chake "kimchongo" lakini mwisho wa siku cheo chake kinaongezeka, mshahara wake unaongezeka na heshima yake pia ndan ya kitengo hicho cha siri inaongezeka kwa kufanikisha mission yao kupitia yeye.
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-

1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...

2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..

3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.

Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao

Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
This is the best thread on JF ever
 
  • Thanks
Reactions: RNA
Ndo maana yake mkuu. Inashangaza mpaka karne hii ya 21 mtu na akili zake anashindwa kung'amua dalili na matendo ya mtu wa kitengo ni yapi. Mtu wa kitengo ni sawa sawa na mchawi ambae yuko radhi kuuwa mtoto wake mwenyew ili apate cheo. Hivyo hivyo mtu wa kitengo yuko radhi kufungwa na kuteswa "kimchongo" au kuharibiwa chochote kilicho chake "kimchongo" lakini mwisho wa siku cheo chake kinaongezeka, mshahara wake unaongezeka na heshima yake pia ndan ya kitengo hicho cha siri inaongezeka kwa kufanikisha mission yao kupitia yeye.
Uko sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom