Kalunya
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 13,322
- 18,609
Serikali iondoe vikwazo vya watu kufanikiwaTanzania Bado kuna Fursa nyingi tuondoe tu akili za kusubiri serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali iondoe vikwazo vya watu kufanikiwaTanzania Bado kuna Fursa nyingi tuondoe tu akili za kusubiri serikali
Andika vizuri, hupo ndio nini?Huko vijiweni mnadanganyana Sana sijui hupo Kijiji gani?
Uimara wake uko wapi? ,nahisi wewe ni mgeni kwenye siasa za nchi hiiUmeandika vyema sana, ila naomba kuuliza, unawaongeleaje watu kama kina Zitto kabwe ambao wako nje ya chama, Je wako ndani ya chama tawala ila wanaficha ficha ama ni nini?! Zitto kabwe ni mtu imara tu kwa maoni yangu, au kuna sehemu nachanganya sielewi?!
Unauliza maswali magumu sanaUimara wake uko wapi? ,nahisi wewe ni mgeni kwenye siasa za nchi hii
Dunia ipi hiyo ?Ni hapa Tanzania tu mkuu ila huko dunia ya kwanza watu wanakwenda na principles tu.
Watu wamejawa na uzalendo kila mtu anaipigania nchi yake.
Tofauti hapa wanasiasa wanapigania maslahi yao tu na familia zao.
Utajibiwa USADunia ipi hiyo ?
hakika mwisho wake utasikitisha wengiTuendelee kupiga makofi na kwa suala la kina Mdee liko patamu
kwamba tunsahau haraka sana au ?nawakumbusha
Linafikirisha sana kwa kweliMkuu kwa sasa hivi hakuna mtu mwenye akili asiejua kuwa Mbowe ni mwanakitengo maalum. Kabla ya kuanza ziara za ikulu enzi za Kikwete na sasa hivi mama, watu wengi walikuwa wanajua kuwa jamaa ni mpinzani madhubuti, lkn Mungu si Athumani taraatibu akaanza kumuonesha rangi yake halisi kupitia wakati ule wa JK, tukasogea na kukutana na tukio lingine la kihistoria 2015, la kuuwa ndoto za upinzani kuingia ikulu kwa kumkaribisha mwana kitengo mwenzie aje aharibu mipango ya wale waliokuwa wapinzani wa kweli.
Baada ya hapo watu wakaanza kushtuka likatengenezwa zogo sijui la kuharibiwa shamba, mara ugaidi huku, dakika za mwisho eti kesi ya ugaidi inafutwa ghafla anaenda kuonana na mkuu wa nyumba. So mpaka hapo wenye akili wanafahamu kinachoendelea.
Hivyo hivyo kwa Zito, Lipumba nk.
Sometimes ukweli lazima usemwe bila kujali utamuathiri kiasi gani mhusika.Linafikirisha sana kwa kweli
kwa mazingira haya ngumu sana kupata upinzani wa kweliSometimes ukweli lazima usemwe bila kujali utamuathiri kiasi gani mhusika.
Kweli kabisa mkuu, wala haujakosesea.kwa mazingira haya ngumu sana kupata upinzani wa kweli
hakikaKweli kabisa mkuu, wala haujakosesea.
Na dunia ndivyo ilivyo.Mambo mengi ni planned
au ndio ile upinzani wa kweli utatoka CCM ?kwa mazingira haya ngumu sana kupata upinzani wa kweli
Kwaiyo kama siasa mchezo mchafu tuwaachie wachezee maisha yetu?Kwenye Siasa kuna vitu vitatu ambavyo wnasiasa huwa wanakuwa navyo kichwani na vinaenda kwa pamoja kama ifuatavyo :-
1. Lazima kucheza michezo mchafu ,hapa ndio kuna matukio kama ya kina Mbowe -kesi,Lissu ,Sabaya yanatengenezwa kwa Faida ya mtu mwingine (si ajabu kusikia Lissu alipigwa na Chadema wenyewe )hapa kuna ,kuteka au kutumia propaganda kumchafua mtu kwa faida ya Mtu mwingine na nk...
2. Madaraka Hayaombwi
na Madaraka huchukuliwa
Hapa ndipo kuna kuiba kura ,kuteka mawala na nk..
3. Hakuna Rafiki na Adui wa kudumu ,Hapa tunacheza na fursa tu ndio unaona Lowassa alie imbwa fisadi na CHADEMA anapeperusha bendera ya CHADEMA na kurudi CCM.
Hivyo watanzania hakuna kiongozi anaeweza kuja kukuletea Unga au Mchele Nyumbani ,tufanye kazi kwa kujituma tuweze kujikwamua na Umaskini tulio nao
Na kwa kifupi Matukio mengi tunayofuatilia ni planned na ndio maana mwisho wake unakatisha Tamaa sana .
Una msongo wa mawazo baada ya Jiwe kufaMkuu kwa sasa hivi hakuna mtu mwenye akili asiejua kuwa Mbowe ni mwanakitengo maalum. Kabla ya kuanza ziara za ikulu enzi za Kikwete na sasa hivi mama, watu wengi walikuwa wanajua kuwa jamaa ni mpinzani madhubuti, lkn Mungu si Athumani taraatibu akaanza kumuonesha rangi yake halisi kupitia wakati ule wa JK, tukasogea na kukutana na tukio lingine la kihistoria 2015, la kuuwa ndoto za upinzani kuingia ikulu kwa kumkaribisha mwana kitengo mwenzie aje aharibu mipango ya wale waliokuwa wapinzani wa kweli.
Baada ya hapo watu wakaanza kushtuka likatengenezwa zogo sijui la kuharibiwa shamba, mara ugaidi huku, dakika za mwisho eti kesi ya ugaidi inafutwa ghafla anaenda kuonana na mkuu wa nyumba. So mpaka hapo wenye akili wanafahamu kinachoendelea.
Hivyo hivyo kwa Zito, Lipumba nk.