Polepole kichwa we acha tu
Daah! Dalali na mchuuzi wa wabunge na madiwani wa upinzani vs goli la mkono. KWELI CCM NI WAHUNITuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Sasa Elimu gani anatoa polepoleWakati Polepole anatoa elimu Nape anatoa msuto
Anzisha mtandao wako kama hautaki TagHujalazimishwa kuyasoma
Kama hayakupendezi pita kimyakimya[emoji188][emoji188][emoji188] na uache kunitag na kuniquote[emoji114]
Sawa eeeh!?
Kwa hiyo Polepole Ndio think tank ya Lumumba? No wonder Magufuli alivyovurunda nchi.Kuweka neno IQ kubwa na kumuweka Nape, ni kulikosea heshima neno IQ,
Usilinganishe shabiki na 'think tank', hata kama unamchukia polepole.
Bulembo unamjua?JPM ndiyo kaja kumvuruga na kumpa v8 na Ukatibu Mwenezi lakini before hapo alikuwa mtu na nusu ila kwasasa ni mchumia tumbo ,opportunist.
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Discuss issues jamani achana na watu. Tujadili tunaondoaje "uhuni" unaojaribu kutukwamisha kama nchi.
Mmoja kiroboto na mwingine Chawa.Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Wote viroboto tu! Sema kiroboto mwendapole ndo anaye uwawa kwa sasa!Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Wananchi gani yupo nao kenge huyo aliua demokrasia? Wacha ajifie kifo cha mendePolepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .
Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)
Polepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .
Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)
kama manaraIli uwe think tank kwanza lazima uwe una msimamo,huyumbishwi kisiasa hata upepo uvume mkali.
Sasa huyo kibwengo anakosa sifa hiyo, wakat wa JK alikuwa kindaki ndaki katiba mpya, alipopewa v8 akayakana mawazo yake yooote ya awali.
Ni ngumu sana kupata mwanasiasa mwenye msimamo Africa kwa sababu ya njaa
Sawa!Uhun is a term representing people's characters! People must be discussed
Wanawake 20 walilala kifudifudi na Nape akapita juu ya migongo yao! Sijuhi lilikuwa tambiko ama nini...ndio mchango wa Nape kwa Taifa ninaokumbuka!Hivi Nape ashawahi toa mchango gani wa kizalendo katika nchi hii zaidi ya kuchumia tumbo lake ? Bora HP mara Mia zaidi ...
Kama ungeuliza ni nani kati yao ni opportunist zaidi ya mwenzie ? Hapo swali lako linge make sense zaidi !!Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:
1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u