Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

Siasa pembeni, Polepole Vs Nape? Nani kichwa

Nimemsikiliza Polepole mara kadhaa,anazo hoja zenye mashiko.
Tunatakiwa kushambulia hoja na sio mtu.Hoja za Polepole ni wanasiasa wachache sana wanaweza kuzijibu.Polepole anajua kujenga hoja.Nape anaongea mipasho,vijembe,mijisifu na kuzomea, hakuna cha zaidi.Tofauti ya Polepole na Nape kisiasa,ni sawa kuifananisha mbingu na ardhi! Polepole (mbingu),Nape(Ardhi).
 
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Daah! Dalali na mchuuzi wa wabunge na madiwani wa upinzani vs goli la mkono. KWELI CCM NI WAHUNI
 
Hujalazimishwa kuyasoma

Kama hayakupendezi pita kimyakimya[emoji188][emoji188][emoji188] na uache kunitag na kuniquote[emoji114]

Sawa eeeh!?
Anzisha mtandao wako kama hautaki Tag
 
Kuweka neno IQ kubwa na kumuweka Nape, ni kulikosea heshima neno IQ,
Usilinganishe shabiki na 'think tank', hata kama unamchukia polepole.
Kwa hiyo Polepole Ndio think tank ya Lumumba? No wonder Magufuli alivyovurunda nchi.
 
Wote ni walinda tumbo tu
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
 
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Mmoja kiroboto na mwingine Chawa.
Wote wawili ni vidudu vinyonya damu na vinapenda Kagandia madaraka ili vitavune KODI zetu. Hawana faida wala maana yeyote kwa Tanzania.
Wote ni MaCCM na yanastahili kufukiwa yakiwa hai.
 
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Wote viroboto tu! Sema kiroboto mwendapole ndo anaye uwawa kwa sasa!
 
Polepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .

Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)
Wananchi gani yupo nao kenge huyo aliua demokrasia? Wacha ajifie kifo cha mende
 
Polepole yupo na wananchi ndiyo maana viewers ni wengi sana kwake .

Nape na Makamba wanajulikana ni timu msoga ( wapigaji)

Wasukuma mna shida sana haki,, yule jamaa yenu alikwisha sepa, hamna chenu tena!!!
 
Ili uwe think tank kwanza lazima uwe una msimamo,huyumbishwi kisiasa hata upepo uvume mkali.
Sasa huyo kibwengo anakosa sifa hiyo, wakat wa JK alikuwa kindaki ndaki katiba mpya, alipopewa v8 akayakana mawazo yake yooote ya awali.
Ni ngumu sana kupata mwanasiasa mwenye msimamo Africa kwa sababu ya njaa
kama manara
 
Hivi Nape ashawahi toa mchango gani wa kizalendo katika nchi hii zaidi ya kuchumia tumbo lake ? Bora HP mara Mia zaidi ...
Wanawake 20 walilala kifudifudi na Nape akapita juu ya migongo yao! Sijuhi lilikuwa tambiko ama nini...ndio mchango wa Nape kwa Taifa ninaokumbuka!
 
Wote ni walewale wapuuzi kama magodfather wao tu.
 
Tuweke Kila Kitu pembeni , Yani tuwe Kama wachambuzi wa soka, uchama pembeni, nataka Leo tumalize utata wa nani mkali na Ana akili na IQ kubwa Kati ya Nape na Pole Pole , Achaneni na mambo yaliyofanyika huko nyuma wafanyieni assement Kama neutral candidate, tujikite katika mambo yafuatayo:

1. Uchambuzi wa hoja mbalimbali za kiuchumi , siasa, historia, dunia Kiujumla.
2. Elimu , nani kasoma sana na muelewa zaidi.
3. Unahisi nani mzalendo zaidi na yupi mwenye uthubutu.
4. Nani anafaa Kama ungeambiwa uchague rais wa nchi Kati yao.
5. Any other opinion from u
Kama ungeuliza ni nani kati yao ni opportunist zaidi ya mwenzie ? Hapo swali lako linge make sense zaidi !!
 
Back
Top Bottom