Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Nimemsikiliza Polepole mara kadhaa,anazo hoja zenye mashiko.
Tunatakiwa kushambulia hoja na sio mtu.Hoja za Polepole ni wanasiasa wachache sana wanaweza kuzijibu.Polepole anajua kujenga hoja.Nape anaongea mipasho,vijembe,mijisifu na kuzomea, hakuna cha zaidi.Tofauti ya Polepole na Nape kisiasa,ni sawa kuifananisha mbingu na ardhi! Polepole (mbingu),Nape(Ardhi).
Tunatakiwa kushambulia hoja na sio mtu.Hoja za Polepole ni wanasiasa wachache sana wanaweza kuzijibu.Polepole anajua kujenga hoja.Nape anaongea mipasho,vijembe,mijisifu na kuzomea, hakuna cha zaidi.Tofauti ya Polepole na Nape kisiasa,ni sawa kuifananisha mbingu na ardhi! Polepole (mbingu),Nape(Ardhi).