Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meko msipoangalia ataweza kuhutubia huku anakunywa kvantUkiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Hoja hiyo ilishakosa mashiko, no one buys such a foolish propaganda!Haogopi njaa wapi, labda useme tu ana backup ya mabeberu, akimaliza kazi aliyotumwa anarudi huko ubelgiji kura matunda ya usaliti.
Bado nasisitiza Mwenyekiti wetu angewekeza muda kuelezea yapi aliyofanya miaka mitano na kwa sasa matatizo gani haswa waliyonayo watanzania ambayo yanapaswa kushhulikiwa kuondoa umaskini wa mtanzania mmoja mmojaUkiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Sio watu wa aina ya Lissu na Mbowe. Hawa hawana tabia ya kuitandikia njaa jamvi!Ngoja tuone bwashee!
Yule mzee ni muongo na ni kigeugeu, tulianza kutafukua nukuu zake watakimbia hapa.Kuna muongo zaidi ya mzee pombe?
Haogopi njaa wapi, labda useme tu ana backup ya mabeberu, akimaliza kazi aliyotumwa anarudi huko ubelgiji kura matunda ya usaliti.
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Magufuli atashindwa uchaguzi huu vibaya sana labda kuliko mgombea yeyote duniani aliyewahi kuwa Rais , na atajuta kumfahamu Lissu , hatokuwa na uwezo wa kuteua mtu yeyote maana viongozi hawateuliwi na mtu wa kijiweniUkiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Jibuni kwanza Maswali yakeUkiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Mbuzi Jike mnapenda sana Kuyataja taja Ma beberuHaogopi njaa wapi, labda useme tu ana backup ya mabeberu, akimaliza kazi aliyotumwa anarudi huko ubelgiji kura matunda ya usaliti.
Ishiiii wee jamaa.. Hii inaonyesha vijana wengi wa Lumumba, mnaishi na kuoshabikia ccm sababu ya njaaaUkiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Aweke akiba ya maneno sio kuropokaropoka ovyo. Nimemsikia akibeza hiyo ofa eti magufuli awaokote wale maprofesa wa jalalani. Baada ya uchaguzi bila shaka yeye na chadema watashindwa vibaya mabwana zake watabaini kibaraka wao hana faida watambwaga atakosa hela ya kula.Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Umejibu mipasho. Rudi kwenye pointMagufuli mbele ya yule mzungu alisema Accasia ni wanaume sio mabeberu
Kwenye siasa lolote linawezekana!Ni vigumu kupingana na wewe moja kwa moja kwenye hili. Kama Dr Slaa alifika bei lolote linawezekana mkuu.
Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!
Na hii ndo shida kubwa ya Magufuli na CCM. Yaani mnawafanya watanzania wajinga na wapumbavu kiasi kwamba mnafikiria kila mtanzania atakuwa na bei!!Ukiondoa akina Christopher Kasanga Tumbo wale wapinzani wa kabla ya CCM hakuna mpinzani wa sasa ( hawa wa 1992) mwenye jeuri ya kukataa ofa ya uteuzi wa Rais.
Sina shaka baada ya uchaguzi Tundu Lisu atamkumbusha Rais Magufuli kuhusu ahadi hii ya uteuzi. Tulimwona Prof. Kitila alivyowaponda maproffesa wenzake kuacha taaluma na kukimbilia teuzi lakini ilipofika zamu yake kuteuliwa siku ya kuapishwa alikuwa mtu wa kwanza kuingia ukumbini.
Lissu jiwekee akiba hii ahadi.
Maendeleo hayana vyama!