Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Well then, do what feels right to you.I'm old enough young lady, just talking to the weak @$$ dudes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Well then, do what feels right to you.I'm old enough young lady, just talking to the weak @$$ dudes
Dhihirisha uanaume wako kwa kufaitia familia yako. Achana na habari ya urithi au bahati. Faitia majukumu yako ili utunze familia yako au upambame kiume wachana na hanari ya kitonga. Hivi nyie madogo wa kizazi hiki mna shida gani?Oa mwanamke anayetoka familia tajiri na sio familia ya kukumbatia kumbatia umasikini...famila ambayo itakuwa ni mzigo na lawama kwako!
Hakuna sehemu niliyosema watu waoe matajiri ili wapate mchongo wa kutoboa kimaisha ..!
Relax mkuu!
Tatizo mkuu una jazba sana !Bwege wewe. Dhihirisha uanaume wako kwa kufaitia familia yako. Achana na habari ya urithi au bahati. Faitia majukumu yako ili utunze familia yako au upambame kiume wachana na hanari ya kitonga. Hivj nyie madogo wa kizazi hiki mna shida gani?
Sifa muhimu za kuoa kuanzia 2021 na kuendelea, awe bikra ,atoke familia isiyo masikini na awe chini ya 26yrs!
Mwanamke ambaye ana experience zaidi ya miaka kumi kwenye mahusiano na wanaume tofuti tofauti huyo hafai kuwa kwenye ndoa.!
Unatakiwa uoe mwanamke mgeni wa mapenzi , bikra!
Kuwa kwenye mahuasiano ya kimapenzi na mwanamke anyetoka familia ya masikini wa mali na masikini wa akili na fikra ni mbaya sana !
Kwanza familia itataka wakuuzie huyo mke wako kwa mahali kubwa wakiamnini ,hizo pesa za mahali zitatua shida zao?
Pili kutoka ukoo wao ukiwa kama mtu wenye uwezo basi baada a nfoa jukumu la wakwe ndugu shnagazi na wajomba matatizo yao utayabeba wewe, na ukigoma kuwasaidia tayari unahatarisha ndoa yako na mahusiano ya familia yako..
Hivyo basi hakikisha unaona mwanamke anetoka familia tajiri(familia ya watu wenye roho za kitajiri, isiyo tegemezi, isyokumbatia umasikini) usije ukabebeshwa lawama za kijinga jinga.
Atlist vigezo hivuo hapo vitakufanya uwe safe katika ndoa za sasa hivi na mahusiano
Nia thabiti ya kuanzisha familia yenye upendo furaha na amani. Na kuendeleza ukoo
Akili za kidangaji hizi siku hizi zime hamia mpaka kwa wanaume.Sifa muhimu za kuoa kuanzia 2021 na kuendelea, awe bikra ,atoke familia isiyo masikini na awe chini ya 26yrs!
Mwanamke ambaye ana experience zaidi ya miaka kumi kwenye mahusiano na wanaume tofuti tofauti huyo hafai kuwa kwenye ndoa.!
Unatakiwa uoe mwanamke mgeni wa mapenzi , bikra!
Kuwa kwenye mahuasiano ya kimapenzi na mwanamke anyetoka familia ya masikini wa mali na masikini wa akili na fikra ni mbaya sana !
Kwanza familia itataka wakuuzie huyo mke wako kwa mahali kubwa wakiamnini ,hizo pesa za mahali zitatua shida zao?
Pili kutoka ukoo wao ukiwa kama mtu wenye uwezo basi baada a nfoa jukumu la wakwe ndugu shnagazi na wajomba matatizo yao utayabeba wewe, na ukigoma kuwasaidia tayari unahatarisha ndoa yako na mahusiano ya familia yako..
Hivyo basi hakikisha unaona mwanamke anetoka familia tajiri(familia ya watu wenye roho za kitajiri, isiyo tegemezi, isyokumbatia umasikini) usije ukabebeshwa lawama za kijinga jinga.
Atlist vigezo hivuo hapo vitakufanya uwe safe katika ndoa za sasa hivi na mahusiano
Well saidWewe haujawahi kutoa bikra za kina dada na ukaachana nao??
Sionagi ishu za bikra kama ni sensitive, as long as nimeshatoa bikra na sikuoa.
Tumetofautiana vigezo na mitazamo mkuu, usitake dunia yote iamini katika jambo unaloliamini wewe. Wengi sana wamekua na bikra na tumezitoa wakiwa na umri wa zaidi ya 26 na bado hatujawaoa, na mengine mengi.Nimetaja suala la
Ubikra,
Umri,
Na familia anayotoka huyo mke wako ni vitu vya msingi sana..!
Hakuna sehemu ambayo nimesema watafute "wanawake wenye pesa" ila nimweaonya kwa karne ya sasa hivi wasioe wanawake wanotoka familia zinazokumbatia na kuusujudu umasikini!
Kama untaka ndoa yako idumu na uwe na familia imara... !
Hakuna shule iliyowahi kufanikiwa kufundisha mapenzi haipo, kila mtu aliumbwa na perfect match yake umri hauwezi kuwa limiting factor kama mmeunganishwa na upendo, kiufupi watu wanapitia mambo mengi katika maisha na hubarika for good.Huo upendo wewe ndio utamfundisha at 45yrs?
Maumivu aliyoyapata huko nyuma na mambo aliyopitia .. nikushauti tafuta mwanasaikolojia labda ataweza wasaidia
Sawa sawa... lakini uioe kwa kukimbzana na umri kama mipango yako na malengo hayakufanikiwa sio lazima kuoa !Unayosema ni kweli ila utaoa ukiwa umechoka sana, unampata bikra familia yake imekumbatia umaskini, unampata wa familia isiyokumbatia umaskini bikra hana na umri umeenda maana umri umepotelea kwenye masuala ya shule na huko wazee waashatingisha sana, ni wewe tu kuamua sasa kusuka ama kunyoa, ila ma ex wanatesa sana ndoa zetu kama ukioa asiejitambua na ujinga ujinga mwingi!