Mwanafalsafa
Platinum Member
- Jun 24, 2007
- 673
- 865
Zambia hakuna bahari. Nchi ambayo haina bahari haiwezi kuwa wajanja kama nchi yenye bahari. Ufedhuli huwa unaanzia baharini.
Hata sisi Tanzania watu huwa wanaharibika wakishafika Dar.
Hahahaha.. nasikia jamaa kwa ndumba hawajambo na haswa ukizingatia wanapeana mpaka na Congo, na huku kwetu wanapakana na Sumbawanga 😂😂😂😂Jaribu kuwapora au uwafanyie ujanjaujanja.Aisee,utalogwa uwe chizi au kifo kibaya kitafuata.Cha mtu kiheshimu kama ambavyo jasho la mtu haliliwi bila ruhusa.
Hahaha huko usalama nje nje ndugu yang, hakunaga na hakujawahi kuwa na panya road wala paka road.Uzi wako mtamu sana kaka natamani kwenda zambia kutalii siku moja nikiwa na kibunda
Wale ni "Wasumbawanga" pyuwaa walio nje ya Sumbawanga.😂Hahahaha.. nasikia jamaa kwa ndumba hawajambo na haswa ukizingatia wanapeana mpaka na Congo, na huku kwetu wanapakana na Sumbawanga 😂😂😂😂
Ongeza Nigeria hapoOngezea na Namibia, Botswana, Ushelisheli
Kwa kweli hizo cases sizijui sababu si dereva. Pengine tufumbue macho zaidi tuone shida iko wapi? Maana isjie ikawa madereva wetu wanapeleka mambo ya " kitanzania" huko.Hivi ni hawa hawa askari wa kutoka Nakonde to kasumbalesa ndio mnaowasifia humu?
Nina clip nyigi tu za madereva wetu juu ya manyanyaso wanayoyapata huko zambia.
Kama unapita na basi hayo hauwezi kuyajua wala kuyaona.
Bila shaka ni utani huu 😂Ongeza Nigeria hapo
Unataka kubishana tu,wote tunajuaKwa nnachoamini kila nchi ina kitu chakr ambacho imebalikiwa, wao yawezekan wamebarikiwa ilo lakin in other hand yawezekan huo ushuhuda wako hauna uhakika 100% kwasababu hujaweka wazi ni kwa muda gani umekaa uko kwajil ya utafiti huo na malengo ya utafiti wako yalikuwa ni yapi na je majibu uliyoyapata tunaweza kuyathibitisha vipi katika muktadha wa tafiti. Lakin kwa Tanzania niseme tu wazi hali ya usalama imeimarika sana kwa siku za hivi karibuni matukio kam uliyoyatolea mfano hapo kariakoo kuna baadhi ya maeneo matukio hayo hayapo kabisa.
Kwaiyo huwezi kutumia eneo mmoja kujustify kwamba Tanzania hakuna usalama ndugu yangu. Labda ungesema hali ya usalama nchini bado inakumbwa na changamoto ivyo mamlaka ziongeze nguvu ili kuhakikisha usalama unakuwepo kwa 100%.
We mjinga,ilinibidi nicheke sanaUko Zambia nje na lusaka miji mingine asbhi kifungua kinywa ni ugali na washa washa, mchana mlo ni huo huo jioni pia yani ni kama dozi ya maleria
Roho za kimasikini kama yako utakufa hivyohivyo huwezi kuwa na moyo kama wako ukafanikiwa Hilo sahauUshamba mzigo kufika hapo Nakonde (border town) unaona umeyapatia!
Ile huduma yao ya kupokea kutuma pesa na kupokea,we tuma pokea hata mln 200 utapewa..
Sasa waliigaga wabongo wanaoishi China kko....shnz typ pesa akituma mtu mpokeaji hku mpk akupe blhblh
Maneno mengi uhuni tu...
Ova
DRC bahari wanayo japokuwa sio wengi wanaofika huko kutokana na Kinshasa kuwa ndani.Uganda na DRC hawana bahari,
Namibia wana bahari.
[emoji3526][emoji3526][emoji16][emoji16]Kuna watu Wana moyo sanaKuna siku pale magomeni kanisani palikuwa na foleni. Kuna abiria mwenzetu aliagiza maji kwa wale wanaopitisha madirishani, kabla hajamkabidhi hela daladala likaondoka.
Yule abiria akamwomba dereva apunguze mwendo ili ampe yule muuzaji hela yake, licha ya kuwa dereva alichomoa kwamba pale sio kituo tena, lakini abiria wa karibu waligeuka wote kumwangalia yule ni abiria wa namna gani.
Kufika mapipa akashuka tukaona anarudi (tulihisi anaenda kumpatia hela muuzaji), mle kwenye basi ukawa mjadala kwamba inawezekana yule sio mtanzania maana sisi watz kwa tunavyojuana uaminifu ni sifuri kabisa asilimia kubwa.