Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

Sijawahi kuona nchini yenye amani na usalama kama Zambia

Hao wanaofanya business za hela NI wakinga , na ndiyo walioko hata Zambia , je unaweza iba hela ya mkinga ukaishi? Kwa hiyo usalama WA eneo haupimwi Kwa vitu hivyo peke yake, maana hata pale Tunduma border hela ziko nje nje tena zinawekwa chini kwenye box kama karanga nenda kaibe uone.
 
Ushamba mzigo kufika hapo Nakonde (border town) unaona umeyapatia!

Siasa za Bachelor of Education (Adult & Community Education)

Wapi amesema maisha ameyapatia?? Uzi unazungumzia usalama nchini Zambia wewe na makasiriko yako unamuita mleta uzi mshamba.


Acha makasiriko, njaa iko kwa kila mtu sio kwako peke yako ndugu mwalimu.
 
Habari zenu wana JF wenzangu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Katika zunguka zunguka yangu yote katika nchi mbali mbali nikianza na nyumbani Tanzania, kwa kweli sijawahi kuona nchi yenye amani na usalama wa hali ya juu kama Zambia.

Kwa wale wenzangu waliowahi kuikanyaga nchi hii bila shaka wataleta ushuhuda wa hiki ninachoongea. Zambia ndio nchi ambayo unaweza kununua kitu njiani huku basi linakwenda, cha ajabu kama ulitangulia kumpa muuzaji hela kubwa, basi muuzaj atalikimbilia hilo basi hadi ahakikishe amekurudishia chenji yako, kitu ambacho kwa nchi nyingi including Tanzania hakipo. Yani ukinunua kitu ukatangulia kutoa hela na basi likaanza kwenda, basi uhesabu ushapigwa, maana muuzaji hatokupa chenji yako, badala yake atakimbia zake akijua hauna uwezo wa kutoka ndani ya basi linalotembea ili umkimbize yeye.

Hiyo tisa, kumi ni pale unapofika Lusaka katika ile stand yao kuu inayoitwa Kaunda bus terminal. Aisee pale utakuta wale jamaa wanaochenji hela wakiwa na maburungutu ya dola za mia mia, hamsini hamsini nk wameziweka mezani kwa ajili ya kuwachenjia wasafiri mbali mbali wanaoshukia pale kutoka nchi mbali mbali. Lile soko liko wazi masaa 24, na hakuna anaeingia kuwasumbua au kuwaibia wale wanao anika madola yao hadharani kwa ajili ya chenji. Kwa Tanzania ukiwa na sh laki 1 ukienda kariakoo kununua kitu, basi muda wa kulipa inabidi usogee kona kidogo ndo uchomoe hela, tena kimagutu magutu unaangalia huku na kule ili usije fatwa na vibaka. Kwa Zambia hiyo haipo.

Kuna siku nilishuka pale na mzigo wa maana, kwa vile nina mjomba wangu anaishi pale ikabidi na mimi nichukue hata wiki moja ili niuze mzigo wangu mdogo mdogo. Aisee nilishangaa kuona jamaa amekuja na zaidi ya dola 2500 tena kaziweka mfukoni tu, hana wasi wasi wowote mpaka pale town lilipo duka la mjomba wangu, akanipa changu na mimi nikamkabidhi mizigo yake akaita gari akapakia akaondoka.

Mimi mcheche ukanishika nikifikiri labda kuna watu wametuona kwahiyo wanaweza kuja kutupora yale madola aliyoniachia jamaa, mjomba wangu akacheka na kuniambia kuwa hapa watu huwa wanatembea mpaka na dola elf 7 town, itakuwa mimi wa dola elf 2 bwana.

Ki ukweli style ya maisha ya pale niliipenda sana haswa kwa upande wa usalama, sema ndo hivyo sehemu ambayo haukuanzia maisha ukisema uende kuanza tena itachukua muda kutoka.

Hizi nchi zetu zingine usalama ni zero, mpaka inafika kipindi wengi wetu tunakuwa tunatembea na kadi za bank tu mifukoni, ili kuepusha wizi wa fedha unaoweza kutokea wakati wowote. Mpaka sasa sijajua ni mbinu gani wanayotumia hawa jamaa kudhibiti wizi na ujambazi katika maeneo mbali mbali ya mji wa Lusaka na Zambia yote kwa ujumla.
Nchi za Kidemokrasia ndio zilivyo , hamna kutekana wala kusingiziana uhujumu uchumi

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kingine kinacho fanya waheshimu hela ya mtu ni hofu ya kulogwa. Kama ujuavyo Zambia ni road kuu ya kupitisha mizigo na biashara kwenda KONGO.
Huko nyuma wakongo wengi walikuwa wanatapeliwa sana pesa na mizigo yao wakaamua kutoa fundisho kwa kuloga.
Sidhani kama kuna ukweli. Bongo mtu akishikwa wizi anapigwa mawe mpaka anakufa mbona hatuogopi? Na kama ni mambo ya uchawi basi hakuna nchi yenye watu wanaoamini na kuogopa uchawi kama Tanzania. Tabia ya uaminifu hailetwi na watu kuogopa bali ni makuzi ya tangu utoto.
 
Sasa Kwanini mnachukiana na kuuana wenyewe kwa wenyewe?

Na mbona Tanzania Jela na na magerezani wengi ni waislamu? Wauza madawa ya kulevya wengi ni waislamu? Misikiti mingi ni wao wamejenga na hela ya madawa?

Na huko Zambia, Mauritius, Botswana, Namibia ni waislamu? Na sheria zao siyo za kukatwa mikono ukiiba na kuuliwa ukiiba lakini Kuna amani hakuna wizi na siyo Waislamu na hawataki uislam japo wako wachache.

Tunaona waislamu wengi wanatoroka nchi zao kwenda kuomva ukimbizi nchi za wakristo kwasababu makwao japo ya hayo mafundisho yenu ya kurani mnayojisifia ni umwagaji damu tu na kuchukiana. Mnakimbilia nchi za wakristo kujaza vyoo tuu.

Najua utakuja kujibu tatizo ni Wayahudi na WA marekani.
Ipo wazi,
Hayo uliyotaja sikatai wapo wakengeufu wanayafanya.Lakini kwa tathmini ya haraka tunaona kuwa upande mwingine wakengeufu wanofanya hayo ni wengi zaidi!
Hata hivyo msimamo wangu siyo msaafu,kama kuna hoja zaidi naweza kukubaliana nazo.
 
Ipo wazi,
Hayo uliyotaja sikatai wapo wakengeufu wanayafanya.Lakini kwa tathmini ya haraka tunaona kuwa upande mwingine wakengeufu wanofanya hayo ni wengi zaidi!
Hata hivyo msimamo wangu siyo msaafu,kama kuna hoja zaidi naweza kukubaliana nazo.
Mnakera na iyo dini yenu yakuiga. Mudi angeanzisha uislam kivyake huko kama Hindu na budha. Badala ya kkucopy kupaste na kuformat kutoka kwa wayahudi na wakristo. Mtu unaibuka miaka mia sita baadaye na kuanza saundi na fiksi. Hii haikubaliki kabisa.
 
Nimekumbuka kitu kutokana na mchango huu!!

Ndugu zetu Waislam asilimia kubwa hujitahidi kuyaishi wanayofundishwa tofauti ki % na upande mwingine.(naomba nisishambuliwe ni mtazamo wangu)
Sio kweli kwa Tanzania hata viatu msikitini wanaiba waislamu ukiacha viatu vizuri nje ya msikiti huvikuti

Ukienda msikitini hata uwe Zanzibar mwezi wa Ramadhani kwenye waislamu wengi duka lazima ufunge vinginevyo utakoma

Tanzania mmmmmmm tuwe wakweli

Tuwape tu heko wasomali kwa uaminifu wa pesa tu.huko wako vizuri narudia kwenye uaminifu wa pesa tu huko uislamu wanautendea haki kwingine Hawako vizuri

Mfano Somalia wote waislamu lakini wanauana kama kuku .Alshabab waislamu swala tano wanaua kila siku waislamu wenzao swala tano Somalia

Waislamu kwa waislamu wanauana Somalia sema ikifika swala ya kwenda msikitini hawashambuliani hadi swala iishe.Ikiisha wanaanza kuuana.

Nawapongeza tu kwa uaminifu kwenye pesa kwingine hapana Hawako vizuri
 
Huyo mzee mwenye kampuni ya kwanza yenye branches zaidi ya 500 duniani
Yaani [emoji636] tu anazo 130
Alianzia Abu Dhabi enzi za ujana alikuwa akiwa anasafiri anawauliza jamaa zake kama kuna mtu anataka kuwatumia ndugu na familia hela
Nao walikuwa wakimpa na hii sio peke yake bali wengi tu walikuwa wanafikisha kwa usalama kabisa BURE

Ila mwisho akajiongeza akawa anawalipisha hela kidogo ya kuwabebea hela zao

Iliendelea hivyo mwisho akaweka mtu wa kuwalipa huko huku akimuachia hela nyingi za kuwalipa watu

Leo ni multi M akiwa na wafanyakazi zaidi ya 2000 duniani

Mwingine nae ni kijana mdogo alietokea [emoji631] na kuhamia [emoji636] baada ya kufukuzwa kazi kwa hiyani Umoja wa Mataifa NY
Aliwashtaki na kufungua kesi na kupata $200k kama pole
Ni Msomali nae akaja [emoji636] na kwa msaada wa Mo Ibrahim alipokutana nae akampa idea [emoji362]
Ndipo akafungua WorldRemit na leo ina trend dunia nzima na mimi nikiwa mdau

Mswahili anawaza kuiba wakati wa interview
Long time enzi hizo wadogo ila tuna hustle kimtindo...kuna msomali mmoja alikuwa anakaa kupitia kino mvungi hospital alikuwa na bakery pale..tulikuwa tunapiga videiwaka tunapata pocket money
Nakumbuka yule mzee wao pale alikuwaga kwenye serikali hko Somalia ila alihamia tz.
Hela zetu tulikuwa tunawachiaga watuweke,kuna bibi mmja wa kisomali alikuwa anatuwekea kama anatusevia
Ilikuwa siku akitupa ilikuwa sherehee kwetu
Asili ya dhuluma hawana,ila sisi sasa
Utanfanyisha kazi hela humpi, mikwala mingi yaani matatizo tu juu ya matatizo
Nlijifunza mambo mengi sana kwao

Uaminifu kwa sisi sifuri kabisa

Ova
 
Back
Top Bottom