Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Kataa ndoa haina mahusiano na kuzaa.

Adam na Eva walituzaa nje ya Ndoa, hawakutaka Stress..

Ronaldo CR7 Ana Familia ila hana ndoa.

Ogopa sana mkataba wa kutenganishwa na KIFO...
Wewe unaweza jifananisha na Adam au CR7 πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Vijana acheni kusikiliza watu wasio na hoja.Hivi kuna KATAA NDOA kasema mtu asichape ukuni???Atuonyeshe wapi kwenye katiba yetu tumekataza watu kuwa na watoto???

Vijana mnaojielewa jipendeni nyie kwanza achaneni na hawa wazee mufilisi wamerogwa na kupigwa malimbwata na wake zao.

Wazee wa namna hii ndo unawakuta wako rafu hawajipendi hawavai wakapendeza siku ya siku wanagongewa wake zao kisa kutokuwa smart au kuwapa wake zao muda,unawakuta segerea au wameji-RIP.
 
Nina ushuhuda na hili teacher mmoja hakuoa alikufa ovyo sana cos hakupata huduma ya karibu walimu wenzake wameenda kupiga gongo mtaani yeye anakabiliana na kutokwa roho wanataarifiwa wanafika mwamba hana dk 20 mbele yaani wanambeba mita 200 tu wanarudi kwamba kashadead
Siutaki ubachela kamwe hata nikiachana na niliyenaye sasa nitatafuta mwingine nioe ili anifariji tu no way out
Unakufa kwa njaa na pesa unayo
 
Rafiki yangu material yako ni mazuri, tatizo utamuoa nani. Unachoeleza ni inavyotakiwa kuwa, lakini unakutana na hali tofauti kabisa. Bahati mbaya hata mwenye maono kama yako anaweza kushindwa kuyasimamia akawa kituko tu.
 
Sidhani kama watu wote wanazeeka na wenza wao. Na.mara nyingi ulizeeka unahitaji msaada wa ndugu jamaa. Hakuna mtu anaweza kujitunza au kutunzwa na mwenza pekee anapozeeka au kuwa mgonjwa mahtuti.
Leteni hoja zenye mantiki.Yaani unaingia kwenye ndoa kisa ukizeeka upate mtu wa kukuvalisha pampers are you nuts!!!

Hivi unashindwa nini kujitengea hela like a trust fund kiasi kwamba ukizeeka beyond huwezi kujihudumia unawalipa watu tena professionals wakutunze.Manesi kibao huko wanataka hizo kazi za kulea wazee.Nyie mazezeta badilikeni dunia inaenda kasi acheni kulala.
 
Ndoa ina uhusiano gani na hela, viko direct proportional?...kama ndio hivyo kwanini the wealthiest wako single ?....
 
Kwahiyo hali aliyekuwa nayo unahisi angekuwa na mke angezuia kifo chake.

Hivi huwa mnafikiri na kuwazua kabla hamjacomment.Kwa akili hizi wewe lazima mwanamke akusumbue.Pona pona yako KATAA NDOA!!!!
 

Tena anabahati alikufa akionekana na watu. Wengine hufia ndani na kugundulika baada ya zaidi ya siku tatu! mbaya sana... kisa upweke! Tuoane tu kwa faida yetu wenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…