Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Sikio la Kufa halisikii dawa - Wakataa ndoa wote

Usitumie nguvu kwa watoto wa afumbili wanaishi kwa double chance
Ni kweli. lakini ukweli waambiwe. Wapo wanaojielewa na wanamaendeleo mazuri sana! wale wanaojifanya bangi ndio hao hasara tupu
 
Kuzaa ni upendo sio malipo Yani zaa ukiwa inatarajia moyo wako utakuwa na upendo na utaapendwa hata. Ikitokea usipopendwaa na wanao sio shida
Ukitaka uone tofaut ishi na watu wazima wenzio sikutatu then mchukue mwanao kaeni siku Tatu pekeyenu uone utavojisikia
Kwenye equation ya ndoa za zamani variable muhimu iliyokiwa ikiishikilia ndoa ni UPENDO,kwani upendo huvumilia,upendo ndani yake unahuruma,unamatumaini nk.Siku hizi hamna mabinti wenye sifa kama wanawake wa zamani unawatafuta kwa tochi.

Siku hizi ndoa nyingi zimeshikiliwa na fedha,uchumi ukiteteleka ndoa hamna. Hiyo haitoshi hata wanawake tunao waoa hawana usichana wao wamefungamana na roho nyingi, ndio maana anapokutana na magumu yoyote anaaza kuwakumbuka Maex wake na ndio maana Ulaya ndoa nyingi kwa asilimia zaidi ya sabini huvunjwa na wanawake. Juzi mwananchi wameripoti kwa hata hapa TZ ndoa nyingi huvunjwa na wanawake.

Ndio maana siku hizi hata wanaume wameanza kuwa na vitega uchumi vya vya siri, ujue zamani wazee walikuwa wanawaficha watoto wa nje,ila mali zake mke na watoto watazijua.Ila siku hizi wanaume wanaficha vitega uchumi vyao,sababu wanaamini hela ndio itakayo Walea baadae na si wanawake au watoto. Hii yote imesababishwa na ubinafsi wa wanawake chao chao cha mmewe chake.

Yaani siku hizi kupata mke mwaminifu, atakaye kuheshimu katika vipindi vyote vya hali yako ya kiuchumi, atakaye kuonesha upendo bila kuangalia fedha ulizo nazo bila kusahau hofu ya Mungu ndani yao ni ngumu kumpata na tena siku hizi hamna watu wanaongoza kuvunja ndoa kama Maex,ndio maana hata Mungu alituambia tusijuane kabla ya ndoa aliyajua hayn.Ndio maana siku hizi utasikia anabwawa,kibamia,kimoja chali,hana pumzi,K imekaa kama utumbo wa ng'ombe nk vurugu tupu,ila kama msingejuana huko msingefika. Ukija tena usawa wa kijinsia na 50/50 ambao unawapa viburi wanawake ,heshima hawana watu siku hizi wanaamua kupiga na kusepa.

Haafu kingine dada zangu mnaamini sana kwenye fedha,ila hamna kitu kilicho rahisisha upatikanaji wa ngono kama fedha,inafikia kipindi mpaka inawazalilisha,fedha imewaweka kwenye grade,hata yule anayejishaua kwamba yy anahongwa laki kesho nae atahongwa Msimbazi,siku hizi ngono inapatikana hata kwa buku,buku tano au kumi unapata binti ana kila kitu na tamaa yenu ya fedha imesababisha ndoa kuonekana haina maana. Halafu siku hizi wengi wa mabinti mnakuja kukumbuka ndoa wakati umri ushawatupa,mshatumika sana na wengine mpaka kuzalishwa wakati mda huo soko mnakuwa hamna.

Mimi siku hizi si mlaumu mtu kutokuoa au kuchelewa kuoa. Ila hamna kitu kinauma kama kuona ndoa imevunjika hasa ile iliyo barikiwa kupata watoto, halafu ukija kusikia sababu utagundua ndoa ilikuwa haina upendo ndani yake na ndio maana wameshindwa kuvumiliana.
 
Kwa nini unaingilia uhuru wa watu kuamua kuwa single?

Kwani kuna aliyeingilia uhuru wako wa kuingia ndoani?
 
S
Wakati unashawishika na watu waliovuta bangi zao, waliojikatia tamaa ya kuishi, wasiotaka ndoa kwa kuwa wao si wanaume wala si wanawake... hawajielewi, waliotingishika akili baada ya kutendwa kwenye mapenzi; waliolelewa nje ya famili na wakachukia familia; kaa chini utafakari. Hapa si quote mstari wowote wa vitabu vitakatifu, hapa nakupa makali live.

Jaribu kufikiria, ulilelewa na familia na sasa unajitegemea. Kwa nini uishi peke yako? Wakati ukiwa na familia yako ndio waliokuwa wakipa huduma zote ulizohitaji wakati wa furaha na wakati wa magumu sasa iweje leo uwe mwenyewe? Huo ubinafsi wa kuishi peke yako unautoa wapi? kwa nini usioe? kwa nini nawe usisimame kama baba ukiienjoy na mke na watoto wako?

Hivi kesho ukihitaji huduma za kuhospitali nani atakuogesha? nani atakufariji? Najua una ndugu zako, nao watakuwa bize na familia zao; utashirikiana nao katika mambo ya nje na si ya ndani. Hivi usiku unajikumbatia peke yako kama mchawi na hata wachawi wanaoa! Hata kama utanunua wanawake... utachoka... hutapata amani na faraja ambayo ungeipata kwa mke. Kwani nini uishi kiunyongee?

Jaribu kuangalia walioishi peke yao..... hakuna aliyekuwa na furaha ya dhati, waliishia kuwa walevi na wanunua papuchi mwisho walifia ndani na kukutwa wamepasuka. Ndoa ni muhimu kwa binadamu. Changamoto za ndoa zinaweza kuwa solved lakini ukiwa na upweke si vya kukimbilia. Najua kuna wanaojifariji eti nitazalisha huko nje na kuchukuwa watoto wangu.

AMKA jipange kutafuta familia uitunze ikutunze. Hao wanaokudanganya humu hutakuwa nao na utakufa kibudu.

Ndo nshasema.. wakataa ndoa wote hawajielewi... wakajicheki afya ya akili na kama ukitaka kuwaiga usithubutu.

Mapovu ruksa.... ndoa zidumu na zitadumu milele na milele.
Ijasoma yote nimeishia kwenye " kwanini uishi peke ysko" kwani kukataa ndoa kuna uhusiano gani na kuishi peke yako kwani nikiishi na watoto wangu na ndugu zangu na wafanyakazi wangu kuna shida ni wangapi wana wake na wana waume mmoja kafariki amebaki mjane au mgane je kuwa mjane au mgane ni kuishi peke yako
 
Hamisi ananyongwa kisa ni NDOA.

""Nilikutana na wewe mke wangu ukiwa ni mwanachuo katika chuo cha Mwalimu Nyerere kigamboni.

Tukaanzisha mahusiano ya kimapenzi.

Mimi ni muislamu

Lakini mwaka 2008 nikaamua kukuoa kwa ndoa ya kikistru kanisa la Assemblies of God Upanga

Bila ya shaka nimefanya hivi kwa kuwa nakupenda sana mke wangu.

Tunaishi maisha mazuri, tunafanikiwa kumiliki nyumba kadhaa na magari manne.

Ninakufungulia biashara ya duka la kuuza madawa huku mimi nikiendelea na biashara yangu ya kununua na kuuza viwanja.

Tunapata mtoto mmoja aitwaye Gracious

Mke wangu unabadilika.

Unaanza kuninyima haki yangu ya ndoa bila sababu za msingi.

Hali inaendelea hadi inafikia hatua tunalala vyumba tofauti katika nyumba yetu ya ghorofa mimi chumba cha juu wewe cha chini.

Inafikia hatua mimi naanzisha mahusiano nje na wewe unaanzisha ya kwako.

Unaweza kulala nje bila taarifa na mimi vivyohivyo.

I and you deny each other conjugal rights (horizontal engagement)

Jambo hili linajulikana kwa wazazi wa pande mbili.

Hata majirani wanajua mambo unayonifanyia kama kunimwagia maji machafu, kunipiga na fagio na hata kunivuta makende yangu mbele ya mama yangu mzazi.

Mke wangu,

Kuna siku ulinichoma na kisu mkononi

Nikaenda Polisi lakini wakanirudisha kuwa tumalizane wenyewe.

Yote nilivumilia.

Kila wakati unani provoke kuwa nikupige nikuue lakini sifanyi hivyo.

Nilishakuomba twende mahakamani tuvunje hii ndoa yetu lakini ukakataa.

Ikafikia hatua sili wala siogi nyumbani kwangu kwani naogopa usije niwekea sumu.

Ndipo kuna siku niliondoka nyumbani bila kurudi kwa muda wa siku tano.""

Story juu, imepatikana kwenye maelezo ya onyo (Cautioned statement) ya Hamisi Saidi Luwongo

Maelezo haya aliyatoa mbele ya mpelelezi kituo cha polisi Temeke

NA HIZI NDIO NDOA ZENU.

View attachment 3251653View attachment 3251654

#YNWA
#YANGA_BINGWA
Ngoja akanyee debe
 
S

Ijasoma yote nimeishia kwenye " kwanini uishi peke ysko" kwani kukataa ndoa kuna uhusiano gani na kuishi peke yako kwani nikiishi na watoto wangu na ndugu zangu na wafanyakazi wangu kuna shida ni wangapi wana wake na wana waume mmoja kafariki amebaki mjane au mgane je kuwa mjane au mgane ni kuishi peke yako
hao ndugu zako wao hawaoi wala kuolewa? na wanao je? hujui kuna siku watoto wote wataenda anza maisha yao? au ndo itabidi uwang'ang'anie wabaki hapo home? Isuue ya ugane na ujane haiingi kwenye kataa ndoa.
 
Kwenye equation ya ndoa za zamani variable muhimu iliyokiwa ikiishikilia ndoa ni UPENDO,kwani upendo huvumilia,upendo ndani yake unahuruma,unamatumaini nk.Siku hizi hamna mabinti wenye sifa kama wanawake wa zamani unawatafuta kwa tochi.

Siku hizi ndoa nyingi zimeshikiliwa na fedha,uchumi ukiteteleka ndoa hamna. Hiyo haitoshi hata wanawake tunao waoa hawana usichana wao wamefungamana na roho nyingi, ndio maana anapokutana na magumu yoyote anaaza kuwakumbuka Maex wake na ndio maana Ulaya ndoa nyingi kwa asilimia zaidi ya sabini huvunjwa na wanawake. Juzi mwananchi wameripoti kwa hata hapa TZ ndoa nyingi huvunjwa na wanawake.

Ndio maana siku hizi hata wanaume wameanza kuwa na vitega uchumi vya vya siri, ujue zamani wazee walikuwa wanawaficha watoto wa nje,ila mali zake mke na watoto watazijua.Ila siku hizi wanaume wanaficha vitega uchumi vyao,sababu wanaamini hela ndio itakayo Walea baadae na si wanawake au watoto. Hii yote imesababishwa na ubinafsi wa wanawake chao chao cha mmewe chake.

Yaani siku hizi kupata mke mwaminifu, atakaye kuheshimu katika vipindi vyote vya hali yako ya kiuchumi, atakaye kuonesha upendo bila kuangalia fedha ulizo nazo bila kusahau hofu ya Mungu ndani yao ni ngumu kumpata na tena siku hizi hamna watu wanaongoza kuvunja ndoa kama Maex,ndio maana hata Mungu alituambia tusijuane kabla ya ndoa aliyajua hayn.Ndio maana siku hizi utasikia anabwawa,kibamia,kimoja chali,hana pumzi,K imekaa kama utumbo wa ng'ombe nk vurugu tupu,ila kama msingejuana huko msingefika. Ukija tena usawa wa kijinsia na 50/50 ambao unawapa viburi wanawake ,heshima hawana watu siku hizi wanaamua kupiga na kusepa.

Haafu kingine dada zangu mnaamini sana kwenye fedha,ila hamna kitu kilicho rahisisha upatikanaji wa ngono kama fedha,inafikia kipindi mpaka inawazalilisha,fedha imewaweka kwenye grade,hata yule anayejishaua kwamba yy anahongwa laki kesho nae atahongwa Msimbazi,siku hizi ngono inapatikana hata kwa buku,buku tano au kumi unapata binti ana kila kitu na tamaa yenu ya fedha imesababisha ndoa kuonekana haina maana. Halafu siku hizi wengi wa mabinti mnakuja kukumbuka ndoa wakati umri ushawatupa,mshatumika sana na wengine mpaka kuzalishwa wakati mda huo soko mnakuwa hamna.

Mimi siku hizi si mlaumu mtu kutokuoa au kuchelewa kuoa. Ila hamna kitu kinauma kama kuona ndoa imevunjika hasa ile iliyo barikiwa kupata watoto, halafu ukija kusikia sababu utagundua ndoa ilikuwa haina upendo ndani yake na ndio maana wameshindwa kuvumiliana.
Ni kweli kabisa
 
Nina ushuhuda na hili teacher mmoja hakuoa alikufa ovyo sana cos hakupata huduma ya karibu walimu wenzake wameenda kupiga gongo mtaani yeye anakabiliana na kutokwa roho wanataarifiwa wanafika mwamba hana dk 20 mbele yaani wanambeba mita 200 tu wanarudi kwamba kashadead
Siutaki ubachela kamwe hata nikiachana na niliyenaye sasa nitatafuta mwingine nioe ili anifariji tu no way out
Unakufa kwa njaa na pesa unayo
Kwa hiyo walioko kwenye ndoa huwa wanakufa vizuri sio?!
 
Ni sawa hawataki kufunga ndoa rasmi. Na hasara yake ni kwamba unakuwa hauna mtu committed pale utakapoingia kwenye changamoto yoyote iwe kuacha kazi au kufirisika, kuugua au kuzeeka atakukimbia. Na anaweza ondoka kwako muda wowote. hiyo ni hasara. Ukiamua kuoa ... oa mazimaaaa. Kwa walio wajanja atakuibia na atatengeneza mambo yake kwa siri kwa kuwa anajijua mguu ndani mguu nje. Hii haitakusaidia usinyanyasike. Mnavyokataa kuwaoa rasmi ndio mnawafanya wawe manundaa zaidi
Unazungumzia wanawake wapi wewe? Tena hawa wa sasa atabaki na wewe ukifilisika wakati wengi wenu mnafuata hela? Hata hawa wanawake walio kwenye ndoa wakiwa na kipato wengi wanafanya mambo yao kwa siri. Kwa hiyo kuoa sio guarantee ya hayo uliyosema
 
Kuzaa kupo kuishi nao kupo tunachokataa ni ule mkataba wa kitapeli



KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
NDO NI MKATABA WA MATESO
 
Kataa ndoa haina mahusiano na kuzaa.

Adam na Eva walituzaa nje ya Ndoa, hawakutaka Stress..

Ronaldo CR7 Ana Familia ila hana ndoa.

Ogopa sana mkataba wa kutenganishwa na KIFO...
Sasa CR 7 hata akiachana na huyo alienae leo wale wanae unadhani watahangaika??

Kataa ndoa ni ubinafsi wa wanaume walio wengi, yaani unataka uchovye kutimiza haja zako, mtoto akizaliwa alelewe na mama bila uwepo wako kabisa.
 
hao ndugu zako wao hawaoi wala kuolewa? na wanao je? hujui kuna siku watoto wote wataenda anza maisha yao? au ndo itabidi uwang'ang'anie wabaki hapo home? Isuue ya ugane na ujane haiingi kwenye kataa ndoa.
Ukiwa mwema uwezi kukosa wa kukaa nao hata wajukuu...mwisho wa siku hata mwenye mke ufiwa mna mkewe pia na kubaki kama kataa ndoa
 
Hauwezi kumshawishi mwanaume yeyote asietaka ndoa atake ndoa. Tunao wajomba wengi wana miaka 50 wanaranda randa bar hawana ndoa masenior bachelor, wengi wanaishia kufa kwajili ya matumizi mabovu ya pombe (figo) au magonjwa ya zinaa. Wakataa ndoa mwisho wao wote ni mmoja, wakiumwa wakiishiwa hamna familia kuwajali. Waache ndio maisha waliochagua, bado sijaona mwanaume aliefanikiwa kimaisha na yupo mwenyewe. Ukweli ni kwamba hamna jamii inaamini mwanaume asie na majukumu ya kifamilia kama ni cheo hutapata wala
Heshima eneo lolote. Utabali hivo hivo
 
Back
Top Bottom