Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

Siku aliyozaliwa Yesu bado Kitendawili

Hahahaaa niguse link ya nini kitu Kiko wazi,ya Eliza Nia ya Eliza na ya Maryam na yesu ni ya Maryam na yesu
Usilazimishe uelewa wako kwenye dini nyingine , imeanza kutajwa miezi 5 na ikakaja miaezi SITA , mimba ya Elizabeth
Kasome kisa chote upate elimu na pia soma translation tofauti nimekuwekea , soma pia commentary za wakristo
 
Usilazimishe uelewa wako kwenye dini nyingine , imeanza kutajwa miezi 5 na ikakaja miaezi SITA , mimba ya Elizabeth
Kasome kisa chote upate elimu na pia soma translation tofauti nimekuwekea , soma pia commentary za wakristo
Endelea kusherehekea sikukuu za wapagani,Imani yenyewe Ina misingi ya ushirikina wa kirumi,kila la heri
 
... kwani wakristo wanasemaje kuhusu huyo Yesu? Mbona mnawawekea maneno midomoni?

Anyway, la muhimu kuliko yote ni kwamba Yesu alitwaa mwili, akazaliwa, akaa kwetu akitufundisha njia sahihi ya wokovu. Hapa hata Shetani amekwama kupinga! Hayo mengine sijui tarehe sijui nini ni blah blah tu.
Nakazia. Kuijua tarehe halisi aliyozaliwa Yesu Kristo sio kitu muhimu sana kwa ajili ya wokovu wako.Ww zingatia/shika kikamilifu yale aliyotufundisha.
 
Endelea kusherehekea sikukuu za wapagani,Imani yenyewe Ina misingi ya ushirikina wa kirumi,kila la heri
Wewe subiria mda mchache waislamu wakikuwishi miaka 2023 toka Yesu aondoke duniani, na kaa kwa kutulia Dunia mfumo kristo ndio unaiendesha
 
Nimetazama huu mjadara naona wengi kuna kitu bado hamjakielewa. Yesu ni roho. Ilimlazimu avae mwili sababu duniani sio sehemu ya roho. Kuanzia maisha yake mpaka kifo ilikuwa ni mission ya Mungu kuwakomboa wanadamu kupitia agano la damu. Walioandika biblia waliongozwa na Roho mtakatifu sio akili zao. Ndio maana biblia hupaswi kusomea bali unapaswa kumuomba roho mtakatifu akufundishe
 
Kwa jicho la kiroho siku ya bethdei ya yesu haina umuhimu kihivyo, siku aliyokufa na kufufuka ndio msingi wa ukristo.

Mhubiri (7 - 1) "Jina zuri ni bora kuliko mafuta mazuri, na siku ya kufa ni bora kuliko siku ya kuzaliwa."
 
Biblia ni kitabu cha fasihi kilichoandikwa kwa ustadi mkubwa na kilikuwa na nia nzuri tu ya kuwafanya wanadamu wajitambue na kujua wananguvu kiasi gani,kila mtu anaweza kuwa kama yesu,jiulize kwanini mabuddha wamefukuzwa india na vitabu vyao vimechomwa na ndo huku yesu alipokuwako toka udogoni?kwa maana wanaijua siri ya kweli na dunia inapenda ufahari na utawala na sio watu kuwa huru.ndo hivyo wakatokea wahuni wengine wakabadilisha nyaraka,wengine wakaedit,wengine wakaongeza yao wengine wakachana ,wakatengeneza mfumo wa hierachy yani viongozi na watumishi ilikuwa ni siasa ndo maana wanapenda sadaka bila sadaka hakuna kanisa broh,hivi si ukichaa biblia unayo eti unaenda kanisani kusomewa aya tatu,unajisalisha pale we mwenyewe,unatoa kibunda halafu unarudi home..kwanini usinunue samaki wako fresh ukamuunga halafu ukashukuru tu kimoyomoyo kuliko kupoteza muda
Wengi wanaoabudu wanaishi na hofu ya kifo.....ya kuwa akifa spate kuzikwa na padre au mchungaji other wise watu hawana imani kabisa!
 
20 years to come kama hizi historia hazitatunzwa (hata yale masalia) basi hakuna atakayejua ukweli

Ama waikatae dini au waendelee kuburuzwa kama mazombi
Miaka ya 40s,50s ,60s 70s na 80s watu wengi walikua wanasali sana kwa sababu siri nyingi sana kuhusu dini zilikuwa hazijafichuka. Aliyejua chochote alibaki nacho kwa sababu hakukuwa na namna ya kumueleza mwingine.Now days Internet imesambaza siri nyingi sana zilizokuwa maktaba nje ya bibilia na msahafu wa uislam.Kwa mawazo yangu maendeleo ya dini yanaenda -ve kadiri Siku zinavyoenda.Hivyo nahisi karne moja ijayo dini zitaachwa kabisa na ulimwengu utakuwa uwanja wa maasi.Ki ukweli Dini zinasaidia sana Ku maintain AMANI.Fikiri kama Duniani kusingekuwa na Dini ingekuwaje kwa masuala ya amani?.Dini pia inawasaidia watawala kuweza kuitawala Dunia vinginevyo Dunia isingetawalika!
 
Back
Top Bottom