Siku Dkt. Bashiru, Prof. Kabudi au Balozi Polepole wakisimama dhidi ya CCM nitaogopa sana lakini Lissu, Lema na Mbowe hawana maajabu

Wamekusikia ila subiri Mwl wa sheria aje tarehe 25 ndio utaelewa kwa nini tuliiba wimbo wa taifa mahali fulani
 
Siku zote matokeo ya kushindwa kwenye siasa yanaumiza sana na maumivu yake ni kama yale ya mechi kufungwa inafikia mahali wengine wanashindwa kuyavumilia.

Kituko kinakuja pale wanaposhinda wanasema tume ni huru na wanaposhindwa ndio wanapiga kelele tume sio huru. Hiki wanachofanywa ni kushindwa kuvumilia maumivu ya kushindwa kabisa.
 
Hao pamoja na wengine wengi wanaungana ndani ya chama kuimarisha chama na kujenga serikali yenye nguvu.

Hawawezi fanana na walioamua kuwa wakimbizi na kwenda kuishi ughaibuni huku wakitaka madaraka Tanzania

Chama chetu Cha Mapinduzi chajenga nchi
Ndiyo nchi hii haiendelei, Chama kilichopo madarakani haina uwezo wa kujenga nchi.
 
Mjenga hoja ndiye yule alisema watatumia dola kibaki madarakani? Au mimi pia sijaelewa?
 
Hao pamoja na wengine wengi wanaungana ndani ya chama kuimarisha chama na kujenga serikali yenye nguvu.

Hawawezi fanana na walioamua kuwa wakimbizi na kwenda kuishi ughaibuni huku wakitaka madaraka Tanzania

Chama chetu Cha Mapinduzi chajenga nchi
Unaweza kuta kuna watu au mtu anakuita na wewe mama
 
Upinzani unahitaji watu wenye kariba ya hao niliowataja usonge mbele ,kizazi Cha lema ,lissu na Mbowe kinaurudisha nyuma sana upinzani
Sasa kwanini usiende wew kuwa mpinzani au wewe unawashwa wapi kama wew siyo mpinzani?
 
Yani wakikataa kulea familia zao ndiyo utawaamini.Great Fool Of All Times!
 
Alishindwaga lowasa basi hakuna wakuitetemesha CCM, jamani CCM ni limbuyu likubwa.
 
Safi sana hii
 
Sukuma gang wapo, ni watu kaliba ya Bushiri, Ndungoi, Slow Slow, Kabundi na wengineo. Sukuma gang siyo kabila ni tabia. Kwani Saambaya au Ndungoi ni wasukuma? Lakini ni Sukuma gang members
 
Hao ndio masalia ya Nyerere chamani,

Nyerere hakuanzisha chama Ili viongozi walambe asali wakati wananchi wanaramba shubiri.

Wavamizi ndani ya chama ndo wafurushwe, hivyo sioni sababu ya Polepole na kabudi Kutoka ndani ya CCM!!!
Kabudi yule aliyesema katoka jalalani?
 
So ccm kama ina watu makini ilikuwaje mtu kama Jiwe akapata nafasi ya kuwa Rais wa nchi? Au na yeye ni moja ya watu makini huki kwenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usisahau laptop kwa Walimu na 50 ml kwa kila kijiji, mwisho wa siku akaishia kuiba uchaguzi, ila tuseme ukweli hakuna Rais muovu kama Jiwe
 
Kweli chajenga nchi kwa deni kuongezeka mpaka trilioni 92

Wale chadema waliotuambia pesa ya kuendesha nchi wangeenda kuchukua ulaya sasahivi deni lingekua trillion 92×10

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hasan
 
Sukuma gang wapo, ni watu kaliba ya Bushiri, Ndungoi, Slow Slow, Kabundi na wengineo. Sukuma gang siyo kabila ni tabia. Kwani Saambaya au Ndungoi ni wasukuma? Lakini ni Sukuma gang members
Hakuna kitu kama hicho, ni IMAGINATION tu.

Kuna kundi kubwa la wananchi Kwa maelfu wenye njaa ya HAKI, wanapambana kupata mkate Kutoka kundi dogo la wevi na waovu!!!!
 
Magufuli ndio alitengeneza matabaka CCM. Usikatae.
Yalianza zamani makundi, lakini Awamu ya 004 yalikarikaribia kukizamisha chama ndo akaletwa jiwe Ili kubalance.

Umesahau wanamtandao na wapiga deal enzi zile, Ukiwa na mzigo bandarini na hutaki ulipe Kodi unaenda Kwa mtoto wa mkubwa Fulani,

Ulikuwa Bado mdogo enzi hizo au unajitoa ufahamu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…