Siku hizi hakataliwi mtu, unaombwa pesa mwisho wa siku unakimbia mwenyewe

Siku hizi hakataliwi mtu, unaombwa pesa mwisho wa siku unakimbia mwenyewe

Mkuu unaweza ukawa sahihi kinadharia ila kuwa makini!
Tambua kuwa fedha na zawadi zikitolewa kimkakati ni vigumu sana binadamu kupindua. Ukipokea pesa au zawadi kwa mtu zaidi ya mara tatu nafsi yako ukunjuka, ubadilika na kutamani kuweka mazingira ya kudumu ya kupata pesa kutoka katika chanzo husika na baadaye bila kujijua unageuka kuwa tegemezi hatimaye mtumwa wa hiyo pesa. PESA ina nguvu.
Pesa inaweza sababisha mwanaume akawa mwanamke kwa hiari yeke na mwanamke akaolewa na mwanamke mwenzake.
Ndio mzazi makini huwa anamkanya mtoto wa kiume mara kwa mara asiwe na tamaa na asipende vya bure. YESU aliuzwa kwa Pesa. babu zetu waliuza falme na utu wao kwa zawadi za wazungu kama wine n.k
Hivyo ukikutana na mtu mwenye Pesa hata awe na kasoro gani akiamua tu kutumia nguvu ya pesa kupindua ni ngumu.
kwa sababu ya pesa Nasibu ni Handsome, Monize Handsome, sugu anagombewa, Remi alikuwa na watoto wa nje ya ndoa kama wote, Feruzi handsome n.k Mr Nice na Dud baya wanaoneka wasomeki wakati zamani walikuwa habari ya mjini sababu wamepoteza pesa.
 
Ndege mjanja unasa kwenye tundu bovu, siku yako ya kuyatimba bado haijafika,
Usiache hizo mambo endelea mpaka siku yako ifike.
Ngoja siku ale hela la yule jamaa aliemchomaga demu na mkaa kule kigamboni ndio atajua hajui, au akale hela ya alex masawe, papa musofe au ayoub kiboko au hata hela ya kinje tu ndio atajua kwamba wengine hawana marinda sio kwakupenda ila ni arrangements mbaya za maisha yao zilizo jeopardize ndogo zao. kuna siku atapigwa gang bang moja ya hatari....
 
Ngoja siku ale hela la yule jamaa aliemchomaga demu na mkaa kule kigamboni ndio atajua hajui, au akale hela ya alex masawe, papa musofe au ayoub kiboko au hata hela ya kinje tu ndio atajua kwamba wengine hawana marinda sio kwakupenda ila ni arrangements mbaya za maisha yao zilizo jeopardize ndogo zao. kuna siku atapigwa gang bang moja ya hatari....
Kabisa aisee atajichanganya sehem mbaya wamfunze dunia inakwendaje
 
Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!

Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!

Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂

''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Usipokee kitu cha mwanaume kama hauna mpango naye, vitakutokea puani, unapopokea unajifungamanisha naye katika ulimwengu wa roho, hivyo usijidanganye, kwa kupokea vitu vyake tu unakuwa umefungua mlango wa uharibifu. Jihadhari sana
 
Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!

Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!

Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂

''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Hapo kwenye Dhahabu atakufa 😅😅😅 kama 20000 tu anakimbia.
 
Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!

Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!

Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂

''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Hata sisi tunajua, ukiomba pesa najua hunitaki nasepa zangu.
 
Sawa kabisa na nyinyi mkijipenekeza sehemu msiyopendwa wanaume piga miti tia mimba akalee mtoto wake mbele huko, si hamtaki uungwana sawa mlie pesa zake alafu huyo unayejidai umempenda atamlipia ukalee mtoto mbele, tangu lini wanawake wakashindana na wanaume?
Akalee mtoto wake au wako 😅😅😅
 
Back
Top Bottom