Msumari Wa Shaba
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 344
- 464
Pesa utapata ila na wewe icho kipochi manyoya lazima utatoa tu,
Sheria ndio hiyo nipe nikupe.
Sheria ndio hiyo nipe nikupe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba atakuwa anaombwa mwaka mzima?Hakuna mwanaume anaemudu kutoa pesa kila siku!
Ndege mjanja unasa kwenye tundu bovu, siku yako ya kuyatimba bado haijafika,Labda akutane na wakuja. Sie watoto wa mujini tunakulia pesa yako na hakuna kitu utatufanya!
Una uhakikaHakuna mwanaume anaemudu kutoa pesa kila siku!
Sema hujawai kukutana nao,usiseme hawapo.Hakuna mwanaume anaemudu kutoa pesa kila siku!
Ngoja siku ale hela la yule jamaa aliemchomaga demu na mkaa kule kigamboni ndio atajua hajui, au akale hela ya alex masawe, papa musofe au ayoub kiboko au hata hela ya kinje tu ndio atajua kwamba wengine hawana marinda sio kwakupenda ila ni arrangements mbaya za maisha yao zilizo jeopardize ndogo zao. kuna siku atapigwa gang bang moja ya hatari....Ndege mjanja unasa kwenye tundu bovu, siku yako ya kuyatimba bado haijafika,
Usiache hizo mambo endelea mpaka siku yako ifike.
Upo sahihi kabisa, lakini ujanja wao ni wa muda mfupi mwisho wa siku huwa wanaingia kwenye 18 wenyewe.Wanaume tuwe makini hasa na hawa wadada wavaa suruali na rasta unaweza kuliwa hela na hupati chochote
Kabisa aisee atajichanganya sehem mbaya wamfunze dunia inakwendajeNgoja siku ale hela la yule jamaa aliemchomaga demu na mkaa kule kigamboni ndio atajua hajui, au akale hela ya alex masawe, papa musofe au ayoub kiboko au hata hela ya kinje tu ndio atajua kwamba wengine hawana marinda sio kwakupenda ila ni arrangements mbaya za maisha yao zilizo jeopardize ndogo zao. kuna siku atapigwa gang bang moja ya hatari....
noma, kuna watu ni ma Ghosts, they are everywhere, hawakimbiliki...option ni mbili tu, urudishe hela ya watu au utoembwe baasi. Wanawake weng dar wameliwa token sababu ya maamuz ya kijinga kama hayoKabisa aisee atajichanganya sehem mbaya wamfunze dunia inakwendaje
Hapana ameanza kuharibu ataharibiwa, humtaki mtu kuwa mstaarabu mweleweshe siyo umlie pesa zakeKwaiyo nyi ndo waungwana? 😁
Usipokee kitu cha mwanaume kama hauna mpango naye, vitakutokea puani, unapopokea unajifungamanisha naye katika ulimwengu wa roho, hivyo usijidanganye, kwa kupokea vitu vyake tu unakuwa umefungua mlango wa uharibifu. Jihadhari sanaMwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Hapo kwenye Dhahabu atakufa 😅😅😅 kama 20000 tu anakimbia.Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Hata sisi tunajua, ukiomba pesa najua hunitaki nasepa zangu.Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Kuna mwenzio alifanya hivyo nilitombaaa hatokuja kusahau then nikapiga chiniSiku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa!
Akalee mtoto wake au wako 😅😅😅Sawa kabisa na nyinyi mkijipenekeza sehemu msiyopendwa wanaume piga miti tia mimba akalee mtoto wake mbele huko, si hamtaki uungwana sawa mlie pesa zake alafu huyo unayejidai umempenda atamlipia ukalee mtoto mbele, tangu lini wanawake wakashindana na wanaume?
Kabla ya kupewa lazima utombwe kwanzaHapo kwenye Dhahabu atakufa 😅😅😅 kama 20000 tu anakimbia.
Ndo atajua zile pesa alokula zake au zanguAkalee mtoto wake au wako 😅😅😅