Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni hamnahamna wengine wanaishia kufirwakabisa na hajampenda anaemfiraAkalee mtoto wake au wako 😅😅😅
Jenga familia ya kitajiri au oa kwenye familia ya kitajiri zaa na mwanamke wa familia ya kitajiriKatika kitu nakiogopa ni binti yangu aje kuwa mkubwa halafu ndio iwe katokea familia maskini 🤔
Yaani utese mbegu zako kwa sababu ya pesa 😅Ndo atajua zile pesa alokula zake au zangu
Mwanamke hawezi kuwa mtoto wa mjini labda awe kunguru au paka la baa na huwa yanakomesheka fresh tuLabda akutane na wakuja. Sie watoto wa mujini tunakulia pesa yako na hakuna kitu utatufanya!
Katika vitu mwanaume unatakiwa kuhakikisha unakufa huku binti zako ukiwaachia uchumi wa kutosha.Jenga familia ya kitajiri au oa kwenye familia ya kitajiri zaa na mwanamke wa familia ya kitajiri
Utakuwa bwege maana dalili huonekana mapema tu chukua hatuaWanaume tuwe makini hasa na hawa wadada wavaa suruali na rasta unaweza kuliwa hela na hupati chochote
Watoto wa kizazi hiki unaweza kufanya yote na bado akawa binadamu wa hovyo. Ila nakubaliana na wewe, tujitahidi kuwapa mahitaji yao, wasijekuwa kunguru wa mjini.Katika vitu mwanaume unatakiwa kuhakikisha unakufa huku binti zako ukiwaachia uchumi wa kutosha.
Na siku umejichanganya Kwa unayedhani anakufaa anakutia mimba na ngoma juu kudadadekiMwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Usinichagulie umekula pesa umeliwa na wewe, kwani mbegu zikitoka zinateseka? Acha kula pesa za watu kuwa muungwana utakula kwa ridhaa ya mtu mpaka utachoka humtaki ukijifanya mjanja utajanjuliwa RealmamyYaani utese mbegu zako kwa sababu ya pesa 😅
Umeandika upumbavu , wenye ujinga na akili za kitoto!Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondokwa kwa kukimbia ata nyumba hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Hii ni kwel nilishuhudia kwa jmaa yngu alimpangia demu chumba demu akaja kuzingua pmj na kumshauri asamehe jamaa aligoma kabisa kilichomkuta yule binti km ni kweli sababu ilikuwa ni yule jamaa yngu baada ya kwenda kwa washirikina huko nyinyi mnaiata waganga basi ni htariMwanamke chukua tahadhari tena sana ,Dunia ya leo si kila mwanaume utakula pesa yake ukabaki salama hasa mwanaume mwenye pesa ya mawazo au mwingine akili yake haiko sawa. Majuzi club demu kanywa savanna za mtu anataka amkimbie jamaa..si akachaniwa nguo na chupi...
HÃ po sawa dada, umeturahisishia. Kumbe mkiomba hela mnakuwa hamtupendi!Mwanaume akikufata kutaka uwe nae kama ujampenda ata usijisumbue kumkataa kumvunja moyo na kauli za oh sio type yangu sijui nina mtu wangu blah blah blah!!
Siku izi mwanaume akikutaka alaf ujampenda we mkubalie tu alaf siku ya pili muombe pesa! Tena pesa ya maana 😀 wanaume wengi awapendi kuombwa pesa. Kitendo cha kumuomba pesa tayari utakua umeshamfukuza mwanaume hatarudi tena!
Akijifanya kidume akituma pokea alaf baada ya siku moja muombe tena pesa. Safari hii muombe pesa nyingi zaidi na kama inawezekana muombe na vitu vingine kama nguo, simu, dhahabu na viatu! Hapa utakua umemaliza kazi uyo mwanaume harudi tena! Ataondoka mwenyewe kiroho safi kabisa tena ataondoka kwa kukimbia ata nyuma hatogeuka kuangalia 😂
''Humpendi, omba pesa na vitu vya thamani kadri unavoweza'' hii ndo sheria ya kuwakataa hawa viumbe! watoto wa mujini tunaita law of dissipation!
Mbona umegeuzia mimi kibao tena 😅Usinichagulie umekula pesa umeliwa na wewe, kwani mbegu zikitoka zinateseka? Acha kula pesa za watu kuwa muungwana utakula kwa ridhaa ya mtu mpaka utachoka humtaki ukijifanya mjanja utajanjuliwa Realmamy
Wewe si umesimama kwa niaba yake?Mbona umegeuzia mimi kibao tena 😅
Wewe ndo mpumbavu, mtu anakwambia ukweli wewe unamwona mpumbavu?Umeandika upumbavu , wenye ujinga na akili za kitoto!