chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Atakuwa anamzidi ingekuwa tofauti TRA wangenyoka nayeHata mm sijawah kuelewa yule mzee wa copy and paste anamzidi aje? Angekuwa na vingamuzi na hili angeiga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa anamzidi ingekuwa tofauti TRA wangenyoka nayeHata mm sijawah kuelewa yule mzee wa copy and paste anamzidi aje? Angekuwa na vingamuzi na hili angeiga
Kwani takwimu za walipa kodi nchini zinaonyesha kampum zake zinaongoza mkuu?Atakuwa anamzidi ingekuwa tofauti TRA wangenyoka naye
Ila mkojani ananifurahisha sna jmnWapumzike sasa kumuweka Mkojani
Wanasema mwamedi Ana mashamba ya mkonge mengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
HV mkuu mbna sijaona Uzi wako wowte wa mam j au mmeachna rasmi kbsaa mnk kitambo ujatoa mrejeshoMnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Mbona una akili, leo umezipeleka wapi?Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Gulion kabisaaImagine huku goal na yeye afanye goal Yan sio magengeni ni akhera mnadani [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi naona tubaki na mfumo huu huu tu wasukuma ni wasumbufu sana kwenye Tv aisee watataka waangalie mieleka mpaka wafike
Baresa ni 'kibabu' na Mwamedi ni kijana.Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa
Hapo kuna uhuni toka kwa hao jamaa wa lile jarida laoMnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Sasa hata hili LATRA wahusike? tuache uzembe aiseee, yani abiria wakimwambia dereva atagoma au? paka LATRA wahusike kwenye vitu vidogo hivi?Na waache kutuwekea akina Mkojani et. all, wacheza 'uchi', minyinbo ya kishetani, ma-vampire, ....
Kila nikiwaza safari, nakwazika na hayo mauchafu.
LATRA tusaidie!
KunA siku nilisikia mwamedi anasema ana kiwanda kina uwezo wa kutengeneza kitambaa kinachoweza kuzunguka dunia nzimaMnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
On top of that ana viwanda 40 Tanzania.KunA siku nilisikia mwamedi anasema ana kiwanda kina uwezo wa kutengeneza kitambaa kinachoweza kuzunguka dunia nzima
Ngoja nikupe sababu zinazopelekea mwamedi kumzidi Mzee ni kwamba product karibia zote anazozalisha mzee, mwamedi nae anazalisha
Pia mwamedi ana mashamba ya kutosha ya mikonge,kiujumla mwamedi ana maasset mengi yasiyoshuka thamani kama ardhi
Bado mwamedi ni agent wa bidhaa mbali mbali za umeme na mapikipiki kutoka nje
Taja viwanda alivyonavyo Mo ili uiweke hiyo hesabu yako ya 20k na Bakhresa na hayo mambo mengine.....weka ufafanuzi mzuri tukueleweDewji ameaajiri ajira rasmi kwa watanzania 20k wakati Bakhresa ni 8k.
Dewji ana viwanda vingi sana Tanzania na anayo bidhaa ya kila aina.
Tena ni the biggest importer wa mafuta Tanzania.
Inshort hakuna uongo na mnaoshangaa Dewji kuwa tajiri namba moja basi hamna taarifa zaidi.