Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

Pikipiki zote za Boxer Tanzania zimeletwa na Dewji na kampuni inayofanya vizuri kuliko zote ya insuarance ni ya Dewji.
Dewji ni mtengenezaji na exporter wa nguo nje ya Africa.
Kiwanda kikubwa cha vitenge morogoro ni cha kwake.
Siwezi kutaja viwanda kimoja kimoja viwanda viko 40.
Hizi taarifa zipo kwenye website ya MeTL group na Bakhresa group.
Na pia ni statistics ambazo unaweza zipata website za serekali.

Dewji pia anafanya hivyo.
Unajua kuwa Dewji anabiashara tofauti 126?
 
Bakhresa ni tajiri Na. 4 hapa Tanzania baada ya Ally Awadh wa LAKE OIL wakifungana kwa utajiri wa $600 Mil kila mmoja wakati Mo ni Na. 1 kwa utajiri wa $1,500 Mil ($1.5 Bil) akifuatiwa na Rostam Aziz; maandazi huwa hayana faida sana[emoji1787]
 
Mkuu unafahamu Bakhresa anauza bidhaa zake karibu nchi zote za East Africa, na kote huko kaajiri watu, au mapato yake yanayotoka kwenye nchi nyingine tofauti na Tanzania hayahesabiki kwenye utajiri wake
Bakhresa ana uza bidhaa A.mashariki lakini Mo amewekeza kwenye zaidi ya nchi 20 barani Africa.

Alafu ukitaka kujua ni nani tajiri nenda TRA uone ni nani anaye lipa kodi kubwa, na ni nani aliye ajili watu wengi.
 
Si ndio mtaje ni bidhaa zipi za Mo zinazouza zaidi kuliko za Bakhresa kuanzia hapa Tanzania mpaka hizo nchi jirani, mnatuambia habari za mashamba na viwanda kwani Bakhresa hana hivyo vitu, mtuambie bidhaa za Mo ni hizi na hizi na zinauza zaidi kuliko za Bakhresa
Sasa mkuu kwani Mo akimzidi Bakhareesa ww una pungukiwa nn ? Mbona una ubishi usio na maana.

Kinacho tuambia kuwa Mo ni tajiri namba moja Tz ni takimu zilizo tolewa na vyanzo vya kuaminika vinavyo fuatilia masuala ya kifedha na uchumi vya kimataifa mpaka na vya kiserikali.

Kama serikali yako inamtambua kama tajiri namba 1 tz ww unabisha kama nani au ww una akili kuliko serikali yako?


Mo sio tajiri namba 1 Tz tu bali ni tajiri namba 1 Afrika mashariki na kati nzima.
 
Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Mwamedi huwa ana appear kama tajiri kijana.

Kama ingekuwa kwenye ball Mwamedi anakuwa kwenye category ya golden boy.

Lkn hata hivyo kwa mujibu wa takwimu East Africa bado hatuna billionaire in terms of $$$$
 
Sasa mkuu kwani Mo akimzidi Bakhareesa ww una pungukiwa nn ? Mbona una ubishi usio na maana.

Sasa mkuu kwani Mo akimzidi Bakhareesa ww una pungukiwa nn ? Mbona una ubishi usio na maana.

Kinacho tuambia kuwa Mo ni tajiri namba moja Tz ni takimu zilizo tolewa na vyanzo vya kuaminika vinavyo fuatilia masuala ya kifedha na uchumi vya kimataifa mpaka na vya kiserikali.

Kama serikali yako inamtambua kama tajiri namba 1 tz ww unabisha kama nani au ww una akili kuliko serikali yako?


Mo sio tajiri namba 1 Tz tu bali ni tajiri namba 1 Afrika mashariki na kati nzima.

.
Yaani unaulizwa kitu kingine,unajibu kingine.
Wapi kasema anapungukiwa chochote?


Na wapi amebishana na serikali
Yaani anakuambia taja vitu ,wewe unamuandikia habari za serikali.
 
Mwamedi huwa ana appear kama tajiri kijana.

Kama ingekuwa kwenye ball Mwamedi anakuwa kwenye category ya golden boy.

Lkn hata hivyo kwa mujibu wa takwimu East Africa bado hatuna billionaire in terms of $$$$
Mkuu according to Forbes Tanzania tunao dollar billionaires wawili Mo Dewji na jambazi Rostam Aziz, by the way wakisema tajiri kijana basi hata Yusuf Bakhresa anatakiwa aingie kwenye hiyo list na siyo baba yake, sababu sasa hivi anaendesha Azam GoC ni Yusuf Bakhresa kama ambavyo Mo Dewji anaendesha MeTL GoC na wote hao wamerithi na kuendeleza biashara za baba zao siyo self made
 
Mkuu according to Forbes Tanzania tunao dollar billionaires wawili Mo Dewji na jambazi Rostam Aziz, by the way wakisema tajiri kijana basi hata Yusuf Bakhresa anatakiwa aingie kwenye hiyo list na siyo baba yake, sababu sasa hivi anaendesha Azam GoC ni Yusuf Bakhresa kama ambavyo Mo Dewji anaendesha MeTL GoC na wote hao wamerithi na kuendeleza biashara za baba zao siyo self made
Kweli kabisaa
 
Waarabu na wahindi tu...sisi huwa tunafeli wap
Tulikuwa nao Reginald Mengi na Ali Mufuruki ila wote walishatangulia mbele za haki, huko siasani ndio tunao wengi sana ila huwa hawajiweki wazi maana wanajua namna walivyoupata utajiri wao, ila kwa sasa acha tuendelee kujivunia hao hao waarabu na wahindi kikubwa uhai tu
 
Back
Top Bottom