Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

Siku hizi mabasi ya abiria yanafungwa ving’amuzi vya Azam TV

Hakuna tena kukosa mechi au vipindi vya AzamTv ukiwa safarini.

Baada ya AzamTv kuleta ving’amuzi ambavyo unaweza ukafunga kwenye magari, mabasi ya mikoani yamechangamkia fursa.

Mabasi kama Mallesa, Achimwene na Shabiby yashafungwa na wateja wana enjoy.

Tumpe mzee Bakhressa maua yake ayanuse angali hai.

View attachment 2818129
Huu ni ubunifu mzuri sana, Kongole kwa Mzee Bakhressa, ila vipi mawasiliano hayakati kweli??😂

Sio kwa ubaya ila nina dishi hapa la 'burudani kwa wote' jipyaaaaaa, ila ukivuma upepo tu chaneli chali😔

Sasa wakati wa mvua ndio balaa, kama upo home bora uweke tu flash maana dishi chaneli zote zinakata!!!
 
Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Ukitaka kujua kati ya bakhresa na Mo nani ni tajiri angalia wafanyakazi wao. Mfano Kuna kampuni moja ya azam kima Cha chini Cha mshahara ni laki nne na nusu(450,000/=) hiyo ni take home baada ya makato yote, nenda Kwa Mo utahuzunika. Mo analipa laki na nusu
 
Ukitaka kujua kati ya bakhresa na Mo nani ni tajiri angalia wafanyakazi wao. Mfano Kuna kampuni moja ya azam kima Cha chini Cha mshahara ni laki nne na nusu(450,000/=) hiyo ni take home baada ya makato yote, nenda Kwa Mo utahuzunika. Mo analipa laki na nusu
Sasa ulitaka kusemaje?
Kwamba anayelipa mshahara mkubwa ndiye tajiri mkubwana anayelipa mshahara mdogo ni tajiri mdogo.
Kama ndiyo hivyo huoni kuwa huyo anayelipa mshahara mdogo ndiye anatengeneza faida kubwa?
Wachina wanalipa mishahara midogo sana jiulize kwa kulipa mishahara midogo kunawafanya wachina waonekane masikini
 
Haha mkuu ulikuwa unatafuta nini hadi ukasearch hiyo sentensi, lakini sishangai sana google nayo kuna wakati huwa inakuwa fed some wrong data, kuna kipindi ilikuwa ukigoogle top ten ya most beautiful women in the world unakuta jina la Justin Bieber liko namba sita
kwan huko google wanaandika chura si watu kama ww braza afu unajua nini
 
Ukitaka kujua kati ya bakhresa na Mo nani ni tajiri angalia wafanyakazi wao. Mfano Kuna kampuni moja ya azam kima Cha chini Cha mshahara ni laki nne na nusu(450,000/=) hiyo ni take home baada ya makato yote, nenda Kwa Mo utahuzunika. Mo analipa laki na nusu
Hivi kibarua pale Azam malipo kiasi gani kwa siku?

Na kibarua pale 21 century malipo kiasi gani kwa siku?
 
Yaani unaulizwa kitu kingine,unajibu kingine.
Wapi kasema anapungukiwa chochote?


Na wapi amebishana na serikali
Yaani anakuambia taja vitu ,wewe unamuandikia habari za serikali.
Hapa hoja sio bidhaa, hoja hapa ni nani tajiri kuliko mwingine na mm nimemjibu kuwa Mo takwimu kutoka vyanzo vyote vya kiserikali vinaonesha kuwa ana utajiri tena zaidi ya mara mbili ya Bakhresa sasa nyinyi kinacho fanya mtilie mashaka utajiri wa mo ni kitu gani hasa?
 
Mudi ni muuza sura. Yupo tayari alipe kina forbes wamuandike kwa takwimu za kubuma ili azidi kuuza sura.

Mudi Kanjibhai ni mjanja mjanja tu wa town anaebebwa na rangi yake.
Acha chuki za kifala hata serikali yako inamtambua Mo kama tajiri namba 1 Tz.

Sasa sijui ww unacho bisha ni nn?
 
Bakhresa ni tajiri Na. 4 hapa Tanzania baada ya Ally Awadh wa LAKE OIL wakifungana kwa utajiri wa $600 Mil kila mmoja wakati Mo ni Na. 1 kwa utajiri wa $1,500 Mil ($1.5 Bil) akifuatiwa na Rostam Aziz; maandazi huwa hayana faida sana[emoji1787]
Huu ungekuwa mkeka ningesema zimechana timu zote 4. Yaani;
1. Siamini bakhresa kama ni tajiri namba 4 tanzania
2. Siamini kama Ally Awadh pia kama ni tajiri namba 4 sawa na Bakhresa.
3. Siamini kama Rostam anamzidi Bakhresa
4. Siamini kama Mwamedi ni namba 1 na anawazidi Bakhresa na Ally Awadh utajiri wao ukijumlishwa kwa pamoja.
Hata ukiniambia nilete takwimu zangu basi, sina. Yaani ni hisia tu kwa mtazamo wangu kwamba Mwamedi hawezi kuwa tajiri namba 1.
 
Back
Top Bottom