Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulishajiuliza hili swali miaka miaka sana.Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Na ndio ukweli wenyewe.Huwa naconsider bidhaa zote za Mo ni low quality 🤣🤣🤣
Yaani kuna zile pasta / tambi za Mo. Hahaaa ujinga mtupu.Huwa naconsider bidhaa zote za Mo ni low quality [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Mtanzania anajua kubishana mno, tatizo akiambiwa aweke vielelezo anaishia kuisingizia google.Naona mada ya kuweka vingamuzi kwenye mabasi imehamia kwenye nani tajiri
Dereva lazima awabwage😂😂Alafu ndo tupigwe 5 km zile wee
Mwambie akawaulize TRA wanaokusanya kodi.maana maswali mengine ya wabongo yanasikitisha sana.mtu anataka ujue kila kitu cha mtu mwingine wakati mamlaka zenye kutoa taarifa sahihi zipo.Duuuh, sioni hiyo sababu maana inakuwa kama mabishano wakati bidhaa zinaonekana au nenda kwenye duka la mangi uhesabu bidhaa.
Alafu isitoshe kama unaona Bakhresa yupo juu ya Dewji ni sawa pia.
Tatizo letu hatutaki kuvuna pesa kwenye kitu ambacho sie ni bora kuliko watu wote duniani.....kugegedanaWaarabu na wahindi tu...sisi huwa tunafeli wap
Hiz takwimu za akina mwamedi usiziamini kabisa ni mchongo tu mwamedi sio wa kumzidi ssb utajiri azam ana viwanda uganda malawi mozambique rwanda south africa na tanzania mwamedi kawekeza tanzania tu tena kimchongo mchongo wale forbes hawana tofauti na twawezaMnifafanulie mwamedi uwa anamzidi vipi utajiri baresa, au mi ndo sielewi[emoji848]
Eh kwanini nampa ratiba tu umnyime mtu aende kanisani kwanini napenda sana mtu aende kanisani amalize kazi yake aende hata mara tano mbona waslamu mnaenda msikitini mara 7 kwa siku nyani haoni malizia mwenyeweWakristo hasa walokole ni jamii ya watu wa ovyo , wewe kwenye biashara yako unaweza ajiri watu wanaenda kanisani kila siku?
Ukizila usiku, asubuhi unajisaidia mzigo una harufu kali sana hadi unajiangalia mara mbili mbili, hiki kitu kimetoka mwilini mwangu. Mwamedi atakuja atuue na kukopi kopi kwakeYaani kuna zile pasta / tambi za Mo. Hahaaa ujinga mtupu.
Wewe unaweza kutaja mali zote anazomiliki Bakhresa.Yaani unaulizwa kitu kingine,unajibu kingine.
Wapi kasema anapungukiwa chochote?
Na wapi amebishana na serikali
Yaani anakuambia taja vitu ,wewe unamuandikia habari za serikali.
Hivi hua haiwezekani mtu akawa na ukwasi mkubwa ila akamiliki kampuni yenye thamani ndogo na akawa na ukwasi mdogo ila akamiliki kampuni yenye thamani kubwa? Nadhani wengi tunapotelea hapaSasa mkuu kwani Mo akimzidi Bakhareesa ww una pungukiwa nn ? Mbona una ubishi usio na maana.
Kinacho tuambia kuwa Mo ni tajiri namba moja Tz ni takimu zilizo tolewa na vyanzo vya kuaminika vinavyo fuatilia masuala ya kifedha na uchumi vya kimataifa mpaka na vya kiserikali.
Kama serikali yako inamtambua kama tajiri namba 1 tz ww unabisha kama nani au ww una akili kuliko serikali yako?
Mo sio tajiri namba 1 Tz tu bali ni tajiri namba 1 Afrika mashariki na kati nzima.