Siku hizi naogopa sana Wanasiasa Wakongwe wanaozindua Vitabu vyao, kwani wengi Wao wakishazindua tu basi Huaga dunia ndani ya muda mfupi

Siku hizi naogopa sana Wanasiasa Wakongwe wanaozindua Vitabu vyao, kwani wengi Wao wakishazindua tu basi Huaga dunia ndani ya muda mfupi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wengi mnamfahamu Mzee Yussuf Makamba kwa misemo na nukuu zake za vitabu, ni miongoni mwa wanasiasa mashuhuri nchini na amewahi kuhudumu nyadhifa tofauti ikiwemo kuwa katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi

Mzee Makamba ambaye kwa sasa amejikita katika uandishi wa vitabu amekuja na kitabu chake kipya kiitwacho cha Kale ni Dhahabu chenye kueleza visa na mikasa vilivyomsibu katika utumishi wake.

Chanzo: azamtvtz

Ninaowajua Mimi mpaka sasa walivyotoa tu Vitabu wakafariki japo kuna Mmoja katoa ila Hirizi za Pwani zinamlinda.
 
Usipoandika historia yako basi subiri kuandikiwa na mawazo ya muandishi.
 
Duh kaandika kwa kiswahili kabisa. Mbona yeye tunavyomjua hakuwahi kupata misukosuko ya kisiasa mpaka akastaafu, au ni pale wastaafu walipoambiwa wanawashwawashwa wakae kimya kwenye ule utawala ? Maudhui yako mengi kila mstaafu anaweza kuandika kitabu si lazima iwe ni mambo ya kisiasa tu. Wengine watunge michezo, utamaduni, sanaa, uchumi, elimu, afya na sheria kuna wapo watavutiwa kuvisoma vitabu hivyo
 
Back
Top Bottom