saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
We kweli mshamba ni mwalimu gani atashindwa kukunua gari? gari la sh 12 Milioni. Acha kuendekeza umaskiniNimepita sehemu fulani mitaa ya Madale kuna shule moja ya secondari ya kata, nimekuta magari kama 20 hivi yamepaki nje.
Nikajaribu kuuliza kama hayo magari ni ya walimu au wazazi wamekuja kuhudhuria vikao vya shule, nikajibiwa ni ya walimu.
Kumbe walimu mambo mazuri siku hizi eeh?
Mitano tena kwa mama yetu.
😂😂😂😂si tulikubaliana walimu hawana maisha mazuri imekuaje tena mna wasifia..?
wengine mnasema walimu wa kike ndio wanamilik hayo magari ya waume zao... 😂 cha ajabu wew mwenyew nyumban kwako umeshindwa kumuachia mkeo hata hela ya nusu kilo ya nyama, mnakula mboga za majan kilasiku kama ng'ombe...
Nyie si mlisoma sociology b/administration psychology h/resources marketing I/relation accounting banking 😂 vipi hali zenu huko nyumban kwa waume za dada zenu... Mwsho wa siku unaajiliwa kwenye kibanda cha Airtel Money mtu mzima Degree holder... Pumbav zenu kuweni na exposure ya maisha yajayo, vijana hamna Career Guidance mkifeli maisha mnaanza kuona wivu na maendeleo ya watu
Imeshakuwa basic need🤣🤣🤣Kwa hiyo,mtu akiwa na gari ndo ana maisha mazuri?
Ukiona upo kwenye taifa ambalo kumiliki Raum ni kipimo cha utajiri basi ujue hiyo nchi wananchi wake wana hali ngumu sana.Nimepita sehemu fulani mitaa ya Madale kuna shule moja ya secondari ya kata, nimekuta magari kama 20 hivi yamepaki nje.
Nikajaribu kuuliza kama hayo magari ni ya walimu au wazazi wamekuja kuhudhuria vikao vya shule, nikajibiwa ni ya walimu.
Kumbe walimu mambo mazuri siku hizi eeh?
Mitano tena kwa mama yetu.
Unashiriki mapenzi ya jinsia moja ?Wake zetu hao kalaghabao!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwaiyo zipo kwenye kundi la vikombe siyo!?
Kama kwenu mnaoa wa jinsia moja.Unashiriki mapenzi ya jinsia moja ?
Naijua kumbe,na ofisi za kata ziko hapo hapoMbezi ya Kimara njia ya Zone kama ushawahi sikia.
Ewaaa, mkuu kumbe unapita hapo? Utakuwa sio mgeni wa Zone, Kwa makaranga, Kwa bonge hadi Njeteni weye!!Naijua kumbe,na ofisi za kata ziko hapo hapo
[emoji16][emoji16][emoji16]Yale sio magari.. passo, ist, spacio, sijui visuzuki nayo ni magari?? Hivyo ni vyombo vilivyofungwa mota
Kwetu wapi ?Kama kwenu mnaoa wa jinsia moja.
Ina maana walimu wote hawana miradi ya kutengeneza mitonyo tofauti na kutegemea mshahara ?Ni kweli kuwa walimu hawqna maisha mabaya kama vile jamii inavyosema ila kwa siku za usoni kumekuwa na jambo jipya kwa walimu ambalo sidhani kama ni afya kwao , nalo ni kuchukua mikopo mikubwa na kununua magari ya kifahari ambayo mpaka uwezo wa kuyaendesha kila siku ni ngumu mpka siku za mshahara
Wito wangu kwa hawa walimu ninaowaheshimu sana , ni kheri kuchukua mkopo na kuwekeza ukala hasara ila kuliko kununua gari la milioni kumi na tano na kushindwa kumudu mafuta the whole month huku ukisubili siku moja liwe screpar .
Nawapenda walimu
Ushauri tu [emoji120][emoji120][emoji120]TEKERI
Huna hata uwezo wa kununua bodaboda hapo ulipoHao ni wake zetu sisi tumewanunulia.
Pia hayo magari mengi unayoyana sio ya anasa ni ya kawaida chini ya 25M.
Ukiona mwalimu wa kike kanunua gari mwenyewe kwa pesa yake na anahudumia gari kwa pesa yake lazima awe na michepuko isiyopungua minne.
Mkopo wa miaka mingapi mkuu?Mwalimu aliyetumikia zaidi ya miaka 15 kazini ana fursa ya kukopa benki mpaka zaidi ya milioni 50
Mkuu unawafahamu kiundani aisee.Siyo kihivyo boss,walimu wengi wa Minaki wenye magari wanaishi hapo hapo kwenye nyumba za shule,Chungu na walimu wake wako hapo.ukimuondoa Samson anayekaa Ulongoni wengine ni wanawake.Na hawaendi nayo kila siku.