kumbe πππIliyokosa sukari
Ndo maana yake π€£π€£π€£π€£
Najua ungekuwa mke mdomo ungeuvuta siku tatu kwa lugha usiyoijua π€£π€£π€£kumbe πππ
nivute mdomo sura ikose nuruππ siwezi mimNajua ungekuwa mke mdomo ungeuvuta siku tatu kwa lugha usiyoijua π€£π€£π€£
..wewe ni newly recruited lover, hao wengine umewakuta, nadhani si mbaya, labda hatari ni moja tu, collabo ya kuambukizana VVU tu!Tulikaa vizuri mimi nayeye na alionesha kuridhia kuwa na mimi,
Wakati namtongoza nilimwambia najitafuta, akakubali maisha yangu, yeye akawa anafanya biashara ya kuuza duka la perfumes mainly (na cosmetics nyingine kwa ujumla)
Tumeishi kama miaka miwili kipindi hiko chote nilikuwa nampromise mambo yatakaa Sawa Sawa, anivumilie akawa anakibali tu, sometimes biashara yangu inadorola namwambia akiomba hela namwambia sina anavumilia hadi nikipata
πSasa picha linaanza nikaona kaanza kubadilika haniombi tena hela,nikawa Napita pale dukani nakuta wateja wengi nikahisi labda biashara yake inalipa maana alianza kupendeza sana
Siku moja, uvumilivu ukanishinda ikabidi Nimuulize mbona unapendeza sana, na huniombi hela kama zamani akajibu "B" biashara imekubali nikasema basi ni jambo jema.
Basi kuna msemo watu wanasemaga 'ipo siku utasahau kufuta message na utashikwa"π₯Ά
Siku moja nikamuomba simu yake, nimulikie uvunguni niliangusha laini kwa bahati mbaya nikaclick moja kwa moja WhatsApp "nikakutana na message inasomeka" - "Ata kama upo kwenye danger zone Usijali nitamwaga nje wewe njoo NYUMBANI" π₯Άmoyo ulipasuka pale pale Jina limeseviwa " daktari D"
......
Itaendelea
Unakivuta kama hivi siku 3 uso juu...ukiulizwa umeshindaje unajibu shombo tu πnivute mdomo sura ikose nuruππ siwezi mim
Nitafanya vyote ila nguvu ya kumwa nje sina, sina ujasiri huo.., hicho kitendo ukitaka kufanya hadi moyo unausikia unauma, sijui kwaniniOnan huyo aliuwawa hapo hapo mwanzo 38:8-9
Kwani angemwa ndani angepungukiwa nini, ukizingatia alishapewa go ahead? Roho mbaya hadi kwenye watoto, si uchawi huu?Onani nazani ndie binadamu wa kwanza kumwa nje
haha mkuu wanakwambia sharing is caringKumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
Sasa mnataka tuzae kama nguruwe??Kumwaga nje ni ushetani, hata kwenye biblia kuna yule jamaa aliombwa amzalishe mke wa ndugu yake, ila kwa roho yake mbaya hakutaka ndugu yake apate watoto, akawa anamwaga nje. Nasikia alilaaniwa
Huoni ni hadithi ya kitoto sana hiyo?
Mwanzo 38:9-Ni kitabu gani,ikiwezekana sura. Na mstari
πMungu kwanini anaua?