Siku niliyotumia dawa ya nguvu za kiume ilikuwa hatari; dont try!!

Da Hadi huruma Mzee, mi nilichojifunza kwenye mwili wangu nikiona kitu Fulani nakiwaza Sana mwili nao unasense unashangaa Moyo unauma akili inakuwa depressed nikiacha kuwaza nakuanza kuwaza positive Hadi akili yangu inatambua inafurahi Hadi Moyo unafurahi.

Nikifanya kitu kinataka kuzidi uwezo wangu akili inakuwa ya kwanza kushtuka alafu Moyo unafuata utadhani Kuna communication kwahivyo naacha.Nikiendelea ndyo madhara naweza nikayapata.

Mi niseme tu watu waheshimu mipaka Yao kama unaweza kula chakula na kufikia kikomo ambacho ukiendelea kula inakuwa karaha hiyo sasa ni kujikomoa na kujitafutia madhara.
 
[emoji81][emoji81]nli wahi jarbu o level kwa pisi ilkua kalii ,sasa ile hofu ya kuogopa kuja kutangazwa hostel niki zingua ,, siku ya tukio nme toka kifuani taizi nahisi kizunguzungu na moyo una enda mbioo dem ana niuliza vipi nikaenda bafuni nasikia mwagwi kama mababu wana niita wana niijia na baiskeli ya kupaaa


NB
USIWAHI JARIBU AYA MA VITU
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamaa umenichekesha sana haaa haaa
 
duuh wanawake muwe mnatulipa dadadeki yaani kumbe huwa mnaskikilizia hadi siku tatu!!
 
Wewe umesema kwamba nguvu za kiume ni pesa. Nimekwambia matajiri wengi wana hela ila wanagongewa kwa sababu hawana hizo nguvu za kiume. Yaani wana hela ila nguvu za kiume hawana.
Kwanza matajiri wengi unakuta wanamichepuko ata mi5 na yote anaihudumia na bado waifu home anahita huduma unakuta anapiga nje akirudi home kachoka shoo mbovu waifu ndo anaamua kuchepuka kwasbb yeye haridhiki

Au wewe ukisia nguvu za kiume unadhani nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…