The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Baki hapo na fikra zako za kitumwa. Warusi na wachina wako wapi na iyo English yako
Warusi na wachina wanauwezo wa kutengeneza vitu vyao Kwa lugha Yao, wameendelea mbali mno.
Sasa wewe lazimisha kiswahili au dharau kiingereza wakati Kila kitu au vitu vingi unatumia vimeandikwa kizungu.
Kwanza ingekua amri yangu shule zote kuanzia shule ya msingi zingefundisha Kwa kiingereza, hizi shule private wenyewe wangezifunga Kwa kukosa wateja.