Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule mchawi .Anaroga mpaka basiAbdallah Ulega kasomea nini??
Ndiyo maana nimekuambia punguza ujuaji wakishamba kwani huna unacho kifahamu .Unaendeshwa zaidi na papara,mhemko,jazba,hasira na chuki.Kama hizo taasisi zinafaidika na madudu ninayozungumzia hapa wewe utajuaje?
Itakuwa Botany na miziziology.Yule mchawi .Anaroga mpaka basi
.Kasomea Zoology.
Kabundi ndio nani tena mkuu...Kabundi si daktari bali doktari. Si profesa bali profedheha kama aliyemteua apendaye shahada za dezo na kujiita na kuitwa daktari wakati hana hiyo shahada moja ukiachia mbali vijvyeti vya kuungaunga.
Huyo Kabudi ambaye ni bundi kitaaluma na kimaadili 😀 😀 😀 😀 😀 😀Kabundi ndio nani tena mkuu...
Au ulimaanisha Kabudi?
Comment yako inafikirisha 😂😂😂Hahaha tatizo langu ni yofauti na la mleta mada.
Mimi sielewi kwanini tuna RECYCLE watu wale wale, wakati nchi ina watu milioni 60.
Kila kukicha tuna TAWALIWA na watu wale wale, halafu wachawi wana mloga SSH, kwanini msiwaloge hawa wanaobadirishwa kilasiku waao tu?
Kama marehemu wameandikishwa kupiga kura setikali za mitaa na wakapiga, basi JPM apewe wizara isiyo kuwa na wizara maalum, au arudishwe kwenye nafasi yake.
Viongozi wa juu wanaroga haswaaKumbe wachawi wapo kazini ndomaana Masauni bado anadunda tu 😀😀😀
Ushauri na usimshauri, Katiba inampa haki ya kufanya atakachoamua yeye.Hakuna raisi au kiongozi asieshauriwa, japo ni uamuzi wake kuukubali au kuukataa ushauri wa mtu yoyote.
HAo ndii wanga wenyewe, kila kukicha wanaamishwa wao tu, utadhani sisi wengine ni misukule.Comment yako inafikirisha 😂😂😂
Hakuna mtu aliesema kuwa katiba haimpi haki ya kufanya anachotaka. Na hakuna sehemu katiba inamkataza mtanzania yeyote asimshauri raisi.Ushauri na usimshauri, Katiba inampa haki ya kufanya atakachoamua yeye.
Dah aisee ni hatari sana 😀Mafisadi yote saiv yameenda kajificha CCM , yanampelekesha huku yakimwambia mitano tena
Tukienda na ukweli huyu mama kufikia kesho saa Saba mchana ilifaa awe ameshajiuzuru na PhD zake fake
Hii nchi haijawahi kupata kiongozi wa hovyo kama huyu mama
Mzee Mbowe na yeye kasomea nini?Abdallah Ulega kasomea nini??
UchawaAbdallah Ulega kasomea nini??