Sikubaliani na aina ya mabadiliko ya viongozi uliofanywa na Rais Samia. Washauri wake wamempoteza

Sikubaliani na aina ya mabadiliko ya viongozi uliofanywa na Rais Samia. Washauri wake wamempoteza

Leo mtu anatolewa hapa anapelekwa kule hakai miezi anahamishwa tenaa hao hao wanajirudia rudia hao haoa najiuliza tuko watu mil 60 hawa Mawaziri tuko nao wote kabisa mimi kwa maoni yangu hakuna anaegfanya kazi yake vizuri kwa kweli hawa wote walikua wa kuwafuta kama kweli una nia ya kujenga nchi kwa mwendo mpya wa kwenda mbele zaidi....
 
Niaje waungwana

Naona raisi Samia kaendelea kuvuruga serikali yake mwenyewe bila kujua madhara yanayoweza kutokea kutokana na uvurugaji wake huo.

Ni kama vile kocha asiejua nafasi za wachezaji wake uwanjani kiasi ya kwamba golikipa anampanga kwenye ushambuliaji, mshambuliaji anapangwa kwenye ukipa, halaf beki anapelekwa kwenye ushambuliaji, mnafikiri team hiyo itaweza kupata ushaindi kweli?!

Binadam tumeumbwa kila mtu na kipaji chake. Ndomaana wenzetu wazungu wakikuona wewe akili yako inaelekea kwenye elimu basi wazazi watakusomesha kwa juhudi na bidii kwa sababu wanajua kwamba huko ndiko Mungu alipoamua akili yako ielekee, hivyo wakiku force kwnye michezo au biashara itakuwa ni kupoteza pesa na muda bure, kwani result yake baadae itakuwa ni tofauti na kipaji chako.

Hiivyo watakuendeleza kwa kile wanachoona kinaendana na akili au kipaji chako. Hakunaga mambo ya kulazimishana au kujaribishana katika sehemu ambayo mtu hafiti wala hana uzoefu nayo.

Mfano UK waziri mkuu unakuta anamteua waziri wa michezo ambae anaijua vizuri michezo, ni mfuatiliaji wa michezo na pengine aliwahi kabisa kuwa mchezaji. Hivyo akipewa nafasi ya wizara ya michezo ana uwezo wa kufanya mambo makubwa katika michezo kwa sababu ya uzoefu wake na kipaji chake katika michezo.

Hivyo hivyo kwa Marekani, Canada, Ujerumani nk mtu anateuliwa katika sehemu ambayo ana uzoefu nayo ili kuondoa kuzorota kwa shughuli za wizara na serikali kwa ujumla, hivyo ni vigumu sana kukuta ujinga ujinga wizarani au mtu kuhamishwa hamishwa wizara nk.

Sasa sisi waafrika tumekuwa tukiwapa watu post ambazo hawana ujuzi wala uzoefu nazo. Tukiamini kwamba kwa vile mtu anaitwa Doctor au Professor basi popote utapomuweka atafiti, matokeo yake mtu anakaa wizarani miaka miwili, mitatu Hadi mitano bila kufanya lolote la maana, maana mtu amewekwa katika sehemu asiyoweza kuimudu na kwa utamaduni wetu mtu hauwezi kukataa post unayopewa na raisi, vile vile mtu hushindwa kumwambia raisi ukweli kwamba post aliyopewa hana uzoefu nayo au hatoweza kuimudu. Yeye atakaa kimya mpaka siku aliemteua atapoona hakuna anachofanya na kumtoa au kumhamisha. Najua kwamba kuna wengine wana vipaji vya ku handle sehemu yoyote wanayowekwa, lakini hao ni wachache sana alafu kibaya huwa hawatulizwi pale wapopaweza.

Mfano mpaka leo watanzania wengi hatuelewi sababu ya raisi Samia kumtoa mchapa kazi Slaa kutoka wizara ya ardhi na kwenda kumtupa kwenye usemaji, au Kabudi kutoka sheria kutupwa katika wizara isiyoendana na taaluma yake. Mwisho wa siku itaonekana kuwa alipopelekwa hakuna anachokifanya, kumbe tatizo na kupelekwa katika post asiyoifahamu.

Mimi ningekuwa raisi Samia basi mabadiliko haya yangemrudisha Slaa ardhi maana tayari kelele za watu kuzulumiwa nyumba, viwanja nk zishaanza kurudi tena upya, huku waziri husika mhe, Ndejembi akiwa hana mbinu yoyote ya kuwadhibiti wezi hao wa ardhi. Clinic za kushughulikia kesi za ardhi ambazo zilianzishwa na waziri Slaa zimekufa kibudu zote, huku wezi wa ardhi wakitembea vifua mbele bila hofu yoyote.

Pia Kabudi angebaki wizara ya sheria na katiba.

Masauni tupa nje na Ndejembi angepewa mambo ya ndani.

Lakini kwa aina ya uteuzi ulivyofanyika ni kama vile washauri wa raisi, raisi mwenyewe pamoja na KMK wanafanya betting katika mambo ya msingi alaf baada ya mwezi mmoja tu au miwili wakiona mambo hayaendi watengue na kuteua tena. Nchi yetu Sasa nafasi nyeti zimekuwa ni za kufanyiwa majaribio... It's very very SAD!

PIA SOMA
- Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Sema kumteua Professor wa Sheria tena Mzee wa Miaka 60+ kuwa waziri wa Michezo , Sanaa na Utamaduni haingii akilini kabisa

Japo Kabudi ni mzee wa hovyo na alichangia sana kwenye awamu ya tano kutunga Sheria kandamizi Ila haiingii akilini kabisa kuwa waziri wa Michezo.
 
Niaje waungwana

Naona raisi Samia kaendelea kuvuruga serikali yake mwenyewe bila kujua madhara yanayoweza kutokea kutokana na uvurugaji wake huo.

Ni kama vile kocha asiejua nafasi za wachezaji wake uwanjani kiasi ya kwamba golikipa anampanga kwenye ushambuliaji, mshambuliaji anapangwa kwenye ukipa, halaf beki anapelekwa kwenye ushambuliaji, mnafikiri team hiyo itaweza kupata ushaindi kweli?!

Binadam tumeumbwa kila mtu na kipaji chake. Ndomaana wenzetu wazungu wakikuona wewe akili yako inaelekea kwenye elimu basi wazazi watakusomesha kwa juhudi na bidii kwa sababu wanajua kwamba huko ndiko Mungu alipoamua akili yako ielekee, hivyo wakiku force kwnye michezo au biashara itakuwa ni kupoteza pesa na muda bure, kwani result yake baadae itakuwa ni tofauti na kipaji chako.

Hiivyo watakuendeleza kwa kile wanachoona kinaendana na akili au kipaji chako. Hakunaga mambo ya kulazimishana au kujaribishana katika sehemu ambayo mtu hafiti wala hana uzoefu nayo.

Mfano UK waziri mkuu unakuta anamteua waziri wa michezo ambae anaijua vizuri michezo, ni mfuatiliaji wa michezo na pengine aliwahi kabisa kuwa mchezaji. Hivyo akipewa nafasi ya wizara ya michezo ana uwezo wa kufanya mambo makubwa katika michezo kwa sababu ya uzoefu wake na kipaji chake katika michezo.

Hivyo hivyo kwa Marekani, Canada, Ujerumani nk mtu anateuliwa katika sehemu ambayo ana uzoefu nayo ili kuondoa kuzorota kwa shughuli za wizara na serikali kwa ujumla, hivyo ni vigumu sana kukuta ujinga ujinga wizarani au mtu kuhamishwa hamishwa wizara nk.

Sasa sisi waafrika tumekuwa tukiwapa watu post ambazo hawana ujuzi wala uzoefu nazo. Tukiamini kwamba kwa vile mtu anaitwa Doctor au Professor basi popote utapomuweka atafiti, matokeo yake mtu anakaa wizarani miaka miwili, mitatu Hadi mitano bila kufanya lolote la maana, maana mtu amewekwa katika sehemu asiyoweza kuimudu na kwa utamaduni wetu mtu hauwezi kukataa post unayopewa na raisi, vile vile mtu hushindwa kumwambia raisi ukweli kwamba post aliyopewa hana uzoefu nayo au hatoweza kuimudu. Yeye atakaa kimya mpaka siku aliemteua atapoona hakuna anachofanya na kumtoa au kumhamisha. Najua kwamba kuna wengine wana vipaji vya ku handle sehemu yoyote wanayowekwa, lakini hao ni wachache sana alafu kibaya huwa hawatulizwi pale wapopaweza.

Mfano mpaka leo watanzania wengi hatuelewi sababu ya raisi Samia kumtoa mchapa kazi Slaa kutoka wizara ya ardhi na kwenda kumtupa kwenye usemaji, au Kabudi kutoka sheria kutupwa katika wizara isiyoendana na taaluma yake. Mwisho wa siku itaonekana kuwa alipopelekwa hakuna anachokifanya, kumbe tatizo na kupelekwa katika post asiyoifahamu.

Mimi ningekuwa raisi Samia basi mabadiliko haya yangemrudisha Slaa ardhi maana tayari kelele za watu kuzulumiwa nyumba, viwanja nk zishaanza kurudi tena upya, huku waziri husika mhe, Ndejembi akiwa hana mbinu yoyote ya kuwadhibiti wezi hao wa ardhi. Clinic za kushughulikia kesi za ardhi ambazo zilianzishwa na waziri Slaa zimekufa kibudu zote, huku wezi wa ardhi wakitembea vifua mbele bila hofu yoyote.

Pia Kabudi angebaki wizara ya sheria na katiba.

Masauni tupa nje na Ndejembi angepewa mambo ya ndani.

Lakini kwa aina ya uteuzi ulivyofanyika ni kama vile washauri wa raisi, raisi mwenyewe pamoja na KMK wanafanya betting katika mambo ya msingi alaf baada ya mwezi mmoja tu au miwili wakiona mambo hayaendi watengue na kuteua tena. Nchi yetu Sasa nafasi nyeti zimekuwa ni za kufanyiwa majaribio... It's very very SAD!

PIA SOMA
- Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
unadhani hawajui wanachofanya? siasani mambo ni mengi muda mchache
 
Uwaziri ni kipaji jamani au ile ni platform tu ya kusemea yale uliotakiwa kusema na je usipoteuliwa kama kitu hujui nyamaza
Ndicho alichoongea mtoa mada angeteua kwa kuangalia vipaji,uzoefu au taaluma lakini hao walioteuliwa hawajazingatia vipaji.
Palamagamba ujuzi wake na kipaji chake ni sheria amewekwa kwenye sanaa wewe ulishawahi kumuona hata siku moja anafanya sanaa ya aina yoyote iwe ya kuimba au yoyote ile?
Yaani ni bora hata umteue mrisho mpoto anaweza akakupa strategies na kuleta matunda japo hajawahi kuwa kiongozi.
Kwa kifupi wanapuyanga tu.
 
Kwa ufupi tu zaidi ya 80% ya watumishi waliopo kwenye serikali ya Samia hawana maarifa, hawana ujuzi Wala ubunifu wa aina yoyote ile kwenye nafasi wanazoteuliwa na hata yeye mwenyewe pia Yuko kwenye kundi Hilo Hilo, she's far way from being presidential material...

Ni machawa tu na majizi/mafisadi ndio yanamuona Samia ana sifa za kuwa raisi, ila hata wao wenyewe deep down wanajua kabisa hapa hakuna raisi tuna geresha tu au kimvuli Cha raisi.

Kuhusu kuenguliwa kwa Jerry Slaa kwenye wizara ya aridhi, Hilo lilionekana mapema sana, kosa lake kubwa alikuwa ni mpenda haki na mchapa kazi kitu ambacho mwiko kwa hii serikali ya Sasa, hii serikali ya Sasa sifa kuu ya mtumishi inatakiwa uwe ni mtu wa rushwa sana na unawakingia kifua wadhulumati dhidi ya raia wanyonge...!! Acha mafisadi yaishi kwa Raha huku yakilambwa makalio na machawa.
Uzi ufungwe
 
Ndicho alichoongea mtoa mada angeteua kwa kuangalia vipaji,uzoefu au taaluma lakini hao walioteuliwa hawajazingatia vipaji.
Palamagamba ujuzi wake na kipaji chake ni sheria amewekwa kwenye sanaa wewe ulishawahi kumuona hata siku moja anafanya sanaa ya aina yoyote iwe ya kuimba au yoyote ile?
Yaani ni bora hata umteue mrisho mpoto anaweza akakupa strategies na kuleta matunda japo hajawahi kuwa kiongozi.
Kwa kifupi wanapuyanga tu.
Hizo sababu unazoziona hana kuteuliwa waziri wa michezo, pengine ndo kigezo cha kuteuliwa yeye kuwa waziri wa michezo. Tusichojua ni uhakika wa sbbu zipi zilizopelekea akateuliwa wizara hiyo, Ila elewa hakuna teuzi inafanywa kwa bahati mbaya kihivyo, kwani wao hawajui Prof ni mbobezi wa Sheria?! Sisi tuendelee kunywa mtori nyama tutazikuta chini jombaa
 
Waziri sio mtendaji Mkuu wa wizara kijana, kwa Mantiki hio Rais awe mtaalam wa vitu vyote?
Yes sio mtendaji, lkn yeye ndio mwenye mamlaka ya kufanya maamuzi ya mwisho kwenye wizara yake. So kama waziri ni kichwa panzi basi na wizara itakuwa inafanya mambo ya hovyo, kinyume na kile inachotakiwa kufanywa kwa faida ya taifa.
 
Kwa ufupi tu zaidi ya 80% ya watumishi waliopo kwenye serikali ya Samia hawana maarifa, hawana ujuzi Wala ubunifu wa aina yoyote ile kwenye nafasi wanazoteuliwa na hata yeye mwenyewe pia Yuko kwenye kundi Hilo Hilo, she's far way from being presidential material...

Ni machawa tu na majizi/mafisadi ndio yanamuona Samia ana sifa za kuwa raisi, ila hata wao wenyewe deep down wanajua kabisa hapa hakuna raisi tuna geresha tu au kimvuli Cha raisi.

Kuhusu kuenguliwa kwa Jerry Slaa kwenye wizara ya aridhi, Hilo lilionekana mapema sana, kosa lake kubwa alikuwa ni mpenda haki na mchapa kazi kitu ambacho mwiko kwa hii serikali ya Sasa, hii serikali ya Sasa sifa kuu ya mtumishi inatakiwa uwe ni mtu wa rushwa sana na unawakingia kifua wadhulumati dhidi ya raia wanyonge...!! Acha mafisadi yaishi kwa Raha huku yakilambwa makalio na machawa.
Nakubaliana na wewe kwa 100% mkuu.
 
Niaje waungwana

Naona raisi Samia kaendelea kuvuruga serikali yake mwenyewe bila kujua madhara yanayoweza kutokea kutokana na uvurugaji wake huo.

Ni kama vile kocha asiejua nafasi za wachezaji wake uwanjani kiasi ya kwamba golikipa anampanga kwenye ushambuliaji, mshambuliaji anapangwa kwenye ukipa, halaf beki anapelekwa kwenye ushambuliaji, mnafikiri team hiyo itaweza kupata ushaindi kweli?!

Binadam tumeumbwa kila mtu na kipaji chake. Ndomaana wenzetu wazungu wakikuona wewe akili yako inaelekea kwenye elimu basi wazazi watakusomesha kwa juhudi na bidii kwa sababu wanajua kwamba huko ndiko Mungu alipoamua akili yako ielekee, hivyo wakiku force kwnye michezo au biashara itakuwa ni kupoteza pesa na muda bure, kwani result yake baadae itakuwa ni tofauti na kipaji chako.

Hiivyo watakuendeleza kwa kile wanachoona kinaendana na akili au kipaji chako. Hakunaga mambo ya kulazimishana au kujaribishana katika sehemu ambayo mtu hafiti wala hana uzoefu nayo.

Mfano UK waziri mkuu unakuta anamteua waziri wa michezo ambae anaijua vizuri michezo, ni mfuatiliaji wa michezo na pengine aliwahi kabisa kuwa mchezaji. Hivyo akipewa nafasi ya wizara ya michezo ana uwezo wa kufanya mambo makubwa katika michezo kwa sababu ya uzoefu wake na kipaji chake katika michezo.

Hivyo hivyo kwa Marekani, Canada, Ujerumani nk mtu anateuliwa katika sehemu ambayo ana uzoefu nayo ili kuondoa kuzorota kwa shughuli za wizara na serikali kwa ujumla, hivyo ni vigumu sana kukuta ujinga ujinga wizarani au mtu kuhamishwa hamishwa wizara nk.

Sasa sisi waafrika tumekuwa tukiwapa watu post ambazo hawana ujuzi wala uzoefu nazo. Tukiamini kwamba kwa vile mtu anaitwa Doctor au Professor basi popote utapomuweka atafiti, matokeo yake mtu anakaa wizarani miaka miwili, mitatu Hadi mitano bila kufanya lolote la maana, maana mtu amewekwa katika sehemu asiyoweza kuimudu na kwa utamaduni wetu mtu hauwezi kukataa post unayopewa na raisi, vile vile mtu hushindwa kumwambia raisi ukweli kwamba post aliyopewa hana uzoefu nayo au hatoweza kuimudu. Yeye atakaa kimya mpaka siku aliemteua atapoona hakuna anachofanya na kumtoa au kumhamisha. Najua kwamba kuna wengine wana vipaji vya ku handle sehemu yoyote wanayowekwa, lakini hao ni wachache sana alafu kibaya huwa hawatulizwi pale wapopaweza.

Mfano mpaka leo watanzania wengi hatuelewi sababu ya raisi Samia kumtoa mchapa kazi Slaa kutoka wizara ya ardhi na kwenda kumtupa kwenye usemaji, au Kabudi kutoka sheria kutupwa katika wizara isiyoendana na taaluma yake. Mwisho wa siku itaonekana kuwa alipopelekwa hakuna anachokifanya, kumbe tatizo na kupelekwa katika post asiyoifahamu.

Mimi ningekuwa raisi Samia basi mabadiliko haya yangemrudisha Slaa ardhi maana tayari kelele za watu kuzulumiwa nyumba, viwanja nk zishaanza kurudi tena upya, huku waziri husika mhe, Ndejembi akiwa hana mbinu yoyote ya kuwadhibiti wezi hao wa ardhi. Clinic za kushughulikia kesi za ardhi ambazo zilianzishwa na waziri Slaa zimekufa kibudu zote, huku wezi wa ardhi wakitembea vifua mbele bila hofu yoyote.

Pia Kabudi angebaki wizara ya sheria na katiba.

Masauni tupa nje na Ndejembi angepewa mambo ya ndani.

Lakini kwa aina ya uteuzi ulivyofanyika ni kama vile washauri wa raisi, raisi mwenyewe pamoja na KMK wanafanya betting katika mambo ya msingi alaf baada ya mwezi mmoja tu au miwili wakiona mambo hayaendi watengue na kuteua tena. Nchi yetu Sasa nafasi nyeti zimekuwa ni za kufanyiwa majaribio... It's very very SAD!

PIA SOMA
- Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Kumbe kuna mabadiliko n hamsemi jaman
 
Leo mtu anatolewa hapa anapelekwa kule hakai miezi anahamishwa tenaa hao hao wanajirudia rudia hao haoa najiuliza tuko watu mil 60 hawa Mawaziri tuko nao wote kabisa mimi kwa maoni yangu hakuna anaegfanya kazi yake vizuri kwa kweli hawa wote walikua wa kuwafuta kama kweli una nia ya kujenga nchi kwa mwendo mpya wa kwenda mbele zaidi....
Raisi na kitengo chake kizima cha ushauri na uteuzi hawajui kabisa rekodi za wateuliwa. Ndomaana Leo anajaribiwa kuwekwa wizara hii, wakiona hafiti wanamuhamisha kungine, huko napo asipofit anarudishwa alipotoka nk.

Yani serikali inafanya majaribu katika mambo ya maana kitaifa. Mwisho wa siku awamu ya miaka mi5 inaisha bila lolote la maana kufanyika.
 
Sema kumteua Professor wa Sheria tena Mzee wa Miaka 60+ kuwa waziri wa Michezo , Sanaa na Utamaduni haingii akilini kabisa

Japo Kabudi ni mzee wa hovyo na alichangia sana kwenye awamu ya tano kutunga Sheria kandamizi Ila haiingii akilini kabisa kuwa waziri wa Michezo.
Noma sana aisee... Prof wa jalalani anadhalilishwa na elimu yake 😂😂😂
 
Niaje waungwana

Naona raisi Samia kaendelea kuvuruga serikali yake mwenyewe bila kujua madhara yanayoweza kutokea kutokana na uvurugaji wake huo.

Ni kama vile kocha asiejua nafasi za wachezaji wake uwanjani kiasi ya kwamba golikipa anampanga kwenye ushambuliaji, mshambuliaji anapangwa kwenye ukipa, halaf beki anapelekwa kwenye ushambuliaji, mnafikiri team hiyo itaweza kupata ushaindi kweli?!

Binadam tumeumbwa kila mtu na kipaji chake. Ndomaana wenzetu wazungu wakikuona wewe akili yako inaelekea kwenye elimu basi wazazi watakusomesha kwa juhudi na bidii kwa sababu wanajua kwamba huko ndiko Mungu alipoamua akili yako ielekee, hivyo wakiku force kwnye michezo au biashara itakuwa ni kupoteza pesa na muda bure, kwani result yake baadae itakuwa ni tofauti na kipaji chako.

Hiivyo watakuendeleza kwa kile wanachoona kinaendana na akili au kipaji chako. Hakunaga mambo ya kulazimishana au kujaribishana katika sehemu ambayo mtu hafiti wala hana uzoefu nayo.

Mfano UK waziri mkuu unakuta anamteua waziri wa michezo ambae anaijua vizuri michezo, ni mfuatiliaji wa michezo na pengine aliwahi kabisa kuwa mchezaji. Hivyo akipewa nafasi ya wizara ya michezo ana uwezo wa kufanya mambo makubwa katika michezo kwa sababu ya uzoefu wake na kipaji chake katika michezo.

Hivyo hivyo kwa Marekani, Canada, Ujerumani nk mtu anateuliwa katika sehemu ambayo ana uzoefu nayo ili kuondoa kuzorota kwa shughuli za wizara na serikali kwa ujumla, hivyo ni vigumu sana kukuta ujinga ujinga wizarani au mtu kuhamishwa hamishwa wizara nk.

Sasa sisi waafrika tumekuwa tukiwapa watu post ambazo hawana ujuzi wala uzoefu nazo. Tukiamini kwamba kwa vile mtu anaitwa Doctor au Professor basi popote utapomuweka atafiti, matokeo yake mtu anakaa wizarani miaka miwili, mitatu Hadi mitano bila kufanya lolote la maana, maana mtu amewekwa katika sehemu asiyoweza kuimudu na kwa utamaduni wetu mtu hauwezi kukataa post unayopewa na raisi, vile vile mtu hushindwa kumwambia raisi ukweli kwamba post aliyopewa hana uzoefu nayo au hatoweza kuimudu. Yeye atakaa kimya mpaka siku aliemteua atapoona hakuna anachofanya na kumtoa au kumhamisha. Najua kwamba kuna wengine wana vipaji vya ku handle sehemu yoyote wanayowekwa, lakini hao ni wachache sana alafu kibaya huwa hawatulizwi pale wapopaweza.

Mfano mpaka leo watanzania wengi hatuelewi sababu ya raisi Samia kumtoa mchapa kazi Slaa kutoka wizara ya ardhi na kwenda kumtupa kwenye usemaji, au Kabudi kutoka sheria kutupwa katika wizara isiyoendana na taaluma yake. Mwisho wa siku itaonekana kuwa alipopelekwa hakuna anachokifanya, kumbe tatizo na kupelekwa katika post asiyoifahamu.

Mimi ningekuwa raisi Samia basi mabadiliko haya yangemrudisha Slaa ardhi maana tayari kelele za watu kuzulumiwa nyumba, viwanja nk zishaanza kurudi tena upya, huku waziri husika mhe, Ndejembi akiwa hana mbinu yoyote ya kuwadhibiti wezi hao wa ardhi. Clinic za kushughulikia kesi za ardhi ambazo zilianzishwa na waziri Slaa zimekufa kibudu zote, huku wezi wa ardhi wakitembea vifua mbele bila hofu yoyote.

Pia Kabudi angebaki wizara ya sheria na katiba.

Masauni tupa nje na Ndejembi angepewa mambo ya ndani.

Lakini kwa aina ya uteuzi ulivyofanyika ni kama vile washauri wa raisi, raisi mwenyewe pamoja na KMK wanafanya betting katika mambo ya msingi alaf baada ya mwezi mmoja tu au miwili wakiona mambo hayaendi watengue na kuteua tena. Nchi yetu Sasa nafasi nyeti zimekuwa ni za kufanyiwa majaribio... It's very very SAD!

PIA SOMA
- Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Ila Slaa alikuwa anawezea jaman ile wizara, lakni kwa huyu wa sasa ni hamna kitu. Kuna ndg yangu kapata msaada kupitia huyo waziri Slaa. Mungu ambariki. Tunahitaji kurecorgnize kazi na umakini wa mtu na kumuacha aendelee kufanya kazi yake, kitengo cha kumtoa mchapakazi kumuweka mzembezembe ni kujiondolea credts wewe mwenyewe Rais,. Tuwekee Slaa jaman amesaidia wengi mmoja wapo ni ndugu yangu. Masauni mtoe jamani mpe hata wizara ya utamaduni huko
 
Yaani ni bora hata umteue mrisho mpoto anaweza akakupa strategies na kuleta matunda japo hajawahi kuwa kiongozi.
Kwa kifupi wanapuyanga tu.
Exactly mkuu, hiyo wizara angempandisha cheo mwana FA, ampe wizara kamili aisimamie.
 
Niaje waungwana

Naona raisi Samia kaendelea kuvuruga serikali yake mwenyewe bila kujua madhara yanayoweza kutokea kutokana na uvurugaji wake huo.

Ni kama vile kocha asiejua nafasi za wachezaji wake uwanjani kiasi ya kwamba golikipa anampanga kwenye ushambuliaji, mshambuliaji anapangwa kwenye ukipa, halaf beki anapelekwa kwenye ushambuliaji, mnafikiri team hiyo itaweza kupata ushaindi kweli?!

Binadam tumeumbwa kila mtu na kipaji chake. Ndomaana wenzetu wazungu wakikuona wewe akili yako inaelekea kwenye elimu basi wazazi watakusomesha kwa juhudi na bidii kwa sababu wanajua kwamba huko ndiko Mungu alipoamua akili yako ielekee, hivyo wakiku force kwnye michezo au biashara itakuwa ni kupoteza pesa na muda bure, kwani result yake baadae itakuwa ni tofauti na kipaji chako.

Hiivyo watakuendeleza kwa kile wanachoona kinaendana na akili au kipaji chako. Hakunaga mambo ya kulazimishana au kujaribishana katika sehemu ambayo mtu hafiti wala hana uzoefu nayo.

Mfano UK waziri mkuu unakuta anamteua waziri wa michezo ambae anaijua vizuri michezo, ni mfuatiliaji wa michezo na pengine aliwahi kabisa kuwa mchezaji. Hivyo akipewa nafasi ya wizara ya michezo ana uwezo wa kufanya mambo makubwa katika michezo kwa sababu ya uzoefu wake na kipaji chake katika michezo.

Hivyo hivyo kwa Marekani, Canada, Ujerumani nk mtu anateuliwa katika sehemu ambayo ana uzoefu nayo ili kuondoa kuzorota kwa shughuli za wizara na serikali kwa ujumla, hivyo ni vigumu sana kukuta ujinga ujinga wizarani au mtu kuhamishwa hamishwa wizara nk.

Sasa sisi waafrika tumekuwa tukiwapa watu post ambazo hawana ujuzi wala uzoefu nazo. Tukiamini kwamba kwa vile mtu anaitwa Doctor au Professor basi popote utapomuweka atafiti, matokeo yake mtu anakaa wizarani miaka miwili, mitatu Hadi mitano bila kufanya lolote la maana, maana mtu amewekwa katika sehemu asiyoweza kuimudu na kwa utamaduni wetu mtu hauwezi kukataa post unayopewa na raisi, vile vile mtu hushindwa kumwambia raisi ukweli kwamba post aliyopewa hana uzoefu nayo au hatoweza kuimudu. Yeye atakaa kimya mpaka siku aliemteua atapoona hakuna anachofanya na kumtoa au kumhamisha. Najua kwamba kuna wengine wana vipaji vya ku handle sehemu yoyote wanayowekwa, lakini hao ni wachache sana alafu kibaya huwa hawatulizwi pale wapopaweza.

Mfano mpaka leo watanzania wengi hatuelewi sababu ya raisi Samia kumtoa mchapa kazi Slaa kutoka wizara ya ardhi na kwenda kumtupa kwenye usemaji, au Kabudi kutoka sheria kutupwa katika wizara isiyoendana na taaluma yake. Mwisho wa siku itaonekana kuwa alipopelekwa hakuna anachokifanya, kumbe tatizo na kupelekwa katika post asiyoifahamu.

Mimi ningekuwa raisi Samia basi mabadiliko haya yangemrudisha Slaa ardhi maana tayari kelele za watu kuzulumiwa nyumba, viwanja nk zishaanza kurudi tena upya, huku waziri husika mhe, Ndejembi akiwa hana mbinu yoyote ya kuwadhibiti wezi hao wa ardhi. Clinic za kushughulikia kesi za ardhi ambazo zilianzishwa na waziri Slaa zimekufa kibudu zote, huku wezi wa ardhi wakitembea vifua mbele bila hofu yoyote.

Pia Kabudi angebaki wizara ya sheria na katiba.

Masauni tupa nje na Ndejembi angepewa mambo ya ndani.

Lakini kwa aina ya uteuzi ulivyofanyika ni kama vile washauri wa raisi, raisi mwenyewe pamoja na KMK wanafanya betting katika mambo ya msingi alaf baada ya mwezi mmoja tu au miwili wakiona mambo hayaendi watengue na kuteua tena. Nchi yetu Sasa nafasi nyeti zimekuwa ni za kufanyiwa majaribio... It's very very SAD!

PIA SOMA
- Rais Samia afanya uteuzi: Masauni aondolewa Wizara ya Mambo ya ndani, Kabudi apelekwa Wizara ya Habari na Michezo, Janabi kuwa mshauri wa Rais
Ni kama vile kocha asiejua nafasi za wachezaji wake uwanjani kiasi ya kwamba golikipa anampanga kwenye ushambuliaji, mshambuliaji anapangwa kwenye ukipa, halaf beki anapelekwa kwenye ushambuliaji, mnafikiri team hiyo itaweza kupata ushaindi kweli?!📌🔨
 
Back
Top Bottom