Silaa, Polepole na Gwajima waitwa Kamati Kuu ya CCM kujieleza

Hii hapa taarifa yao inajitosheleza neno kwa neno na setensi kwa setensi....

NB;
USAHIHI: Ni maazimio ya kikao cha kamati kuu na siyo Halmashauri kuu ya CCM
 
Polepole na Gwajima wanahoja za kujibu kuna mambo wameropoka.

Ila I wish ningemjua Jerry Slaa nimkochi kuhusu ‘personal tax’ kwa sheria za Tanzania. Wabunge awalipi kodi stahiki huo ndio ukweli wenyewe.

Yaani Kibabaji aongelee kodi mtu ambae hajui hata definition ya income kwa sheria za Tanzania
 
Nakuambia CCM hii iliyokuwa inabebwa na Magufuli? Yaani hawa CCM wakikutana kwenye vikao wanatiana ujinga sana! Kwa taarifa yao Magufuli alikuwa anawabeba na alikuwa mkubwa kuliko CCM subiri majibu watayapata!
CCM ina miaka 44, huyo Magufuli kawa active ndani ya CCM miaka 4 tu then kafa!! Hiyo miaka 40 iliyobaki ilikuwa inabebwa na babu wa Magufuli? Magufuli ndiyo kabebwa na CCM na ikamfikisha hapo alipofikia, CCM ni dubwasha kubwa sana ambalo haliwezi kutikiswa na wewe mchunga ng'ombe, ameshindwa huyo Baba yako utaweza wewe?
 
Uliishia darasa la ngapi?
 
Huyu ndio mwenye siri zote za uchafu wa uchaguzi , inaelezwa kwamba kama akakosa ujasiri na akaamua kuweka mambo hadharani aibu itakayofumuka haijawahi kutokea , viapo vyote vya wasaliti amevirekodi na anavyo , na hakuna mwanaccm mwingine aliyenavyo , hii ndio sababu inayotajwa kuwa ilisababisha kuvunjiwa ghetto lake na wakora ili kuambulia chochote
 
Hawezi kuwa motoni, yupo kuume kwa mola wewe
Wewe kazi yako inaishia kulinda kaburi pale nje ya kaburi tu.

Hayo mengine ni kazi ya muumba mbingu na dunia.

Hivyo funga domo lako
 
NIDHAMU YA CCM NA WANA CCM NI KUKOSOANA NDANI YA VIKAO VYA CHAMA PEKEE HAO WANAOROPOKA ROPOKA HUKO NI WALE WALIOOKOTWA NA KUINGIZWA NDANI YA CCM NA TABIA NA NIDHAMU ZAO NADHANI ZINAONEKANA HAWAKIJUI CHAMA CHETU VIZURI HAWA PIA HAWATUFAI
 
Wewe kazi yako inaishia kulinda kaburi pale nje ya kaburi tu.

Hayo mengine ni kazi ya muumba mbingu na dunia.

Hivyo funga domo lako
Unless wewe ni mtu wa mihemko tu. Hujui kuwa ulitolewa ufunguo kwa Petro? Kwa mantiki hiyo JPM yupo mbinguni amekaa kuume kwa mola wetu.
 
Unless wewe ni mtu wa mihemko tu. Hujui kuwa ulitolewa ufunguo kwa Petro? Kwa mantiki hiyo JPM yupo mbinguni amekaa kuume kwa mola wetu.
Endereeeea kuriinda kabuliiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…