Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 1,091
- 3,695
Kubwa jinga wewKuna ushabiki na uhalisia ,hii thread unaongea ushabiki na sio uhalisia ulivo.Ukweli ni kwamba NATO chini ya USA ni moto wa kuotea mbali na Urusi anawaogopa hao NATO .Na ukweli ni kwamba pamoja na Ukureine kuhalibiwa miundombinu yake lakini kwa msaada anapewa na NATO under USA hii vita atashinda na huu ndiyo unaenda kuwa mwisho wa Putin kama Rais wa Urus na Duniani pia.
Acha muda utatupa majibu ni nani kati ya NATO na Urus aliye na silaha Bora .
Tena kumbuka Hawa NATO chini ya USA ndiyo wanaongoza Dunia mifumo yote ya kuendesha Dunia wanayo wao iwe kijeshi,kiuchumi,na hata kitamaduni.Kwa Hali hiyo hii vita watamshinda Mrusi.
Unaweza bisha lakini huu ndiyo ukweli.
Hatutaki ujingaa huuu tunataka vitendooMnapenda kujifurahisha sana nafsi. Hii ni bila Nukes.
Total humiliation kabisa kabisa.
View attachment 2262455
Kwahiyo wapigane ili kukuonesha nani mbabe?
Kaka hakuna taifa linataka patriots tena ya kimarekani. Kaka huko Uarabuni walikuwa wanatumia silaha ya magharibi kama ufaranza na uingereza na soviet ileeee. Urusi ya sasa sio kama ile ya kisoviet, imeboresha vyuma vyake. Marekani iliiandaa Ukraine kupigana tangu 2014 kwa kupeleka silaha za kisasa kabisa na kuendesha mafunzo ya hali ya juu na kujenga vituo vya kisasa kabisa vya kijeshi. Vituo vyote vile vimepigwa na Mrusi kama mchezo tu. Kule Kyiv alishambulia maeneo muhimu tu ya kimkakati ya marekani kama vile bohari za silaha, kambi za mafunzo na viwanja vya ndege baaasi. Mifumo ya ulinzi ya kimarekani inashindwa kutambua na kuzuia missiles za Urusi, wanashitukia moto unawaka kwenye targets.Bila silaha za magharibi. Kyiv ingetekwa ndani ya siku tatu hadi nne.
bila silaha za magharibi Israel isingeshinda vita na mataifa ya waarabu ndani ya siku sita
.
Bila silaha za Magharibi marekani asingekua na uwezo wa kua na historia ya kupigana na mataifa zaid ya 100+.
Bila silaha za magharibi Taiwan ingeshachukuliwa na china kesho tu asubuhi.
Bila silaha za magharibi kusingekua na korea mbili kaskazin na kusini.
Bila silaha za magharibi Andunje asingetishia kutumia Nukes.
Malizia Bila nyingine unayoijua wewe.
Duh tiktok Tena? Sio tiktok bwana Ni teminator mkuuJavline zimekutana na kitu kinaitwa tik tok cha mrusi sasa hivi ukibonyeza kitufe tu cha javline wewe mwenyewe unakwenda na maji
[emoji1787][emoji1787]upo nje ya wakati jomba ...kitu tiktok au kinaitwa pingpang yaani bofya ubofyokeDuh tiktok Tena? Sio tiktok bwana Ni teminator mkuu
Latvia na Estonia zipo Afrika ? kuna muda mahaba yanazaa ujingaPutin mwenyewe anapigana na Ukraine ili wasiweke Siraha za magaribi jirani kwake wewe unabwabwaja apa punguza mahaba
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Urusi anakwambia yeye wao hawako kwenye vita na Ukraine bali wana special operation ya kuwalinda wanaozungumza Kirusi nchi Ukraine ambao wanaangamizwa na Ukraine kwa msaada wa nchi za Magharibi na Marekani. Kama ingekuwa vita angeshaitwaa Ukraine siku nyingi sana. Sikiliza hapa na mkwara wake kwa Uingerezatumia akili bila msaads huo mdogo Kwa uwezo wa Ukraine angekuwa kafail vita so lzm utambue msaada wa Javelin kweny vita
Mbona wamarekani wanakamatwa kama kuku mzee?Bila silaha za magharibi. Kyiv ingetekwa ndani ya siku tatu hadi nne.
bila silaha za magharibi Israel isingeshinda vita na mataifa ya waarabu ndani ya siku sita
.
Bila silaha za Magharibi marekani asingekua na uwezo wa kua na historia ya kupigana na mataifa zaid ya 100+.
Bila silaha za magharibi Taiwan ingeshachukuliwa na china kesho tu asubuhi.
Bila silaha za magharibi kusingekua na korea mbili kaskazin na kusini.
Bila silaha za magharibi Andunje asingetishia kutumia Nukes.
Malizia Bila nyingine unayoijua wewe.
Urusi wako mbele zaidi kwenye taaluma ya mawasiliano kuliko marekani, ndio maana Marekani wenyewe kwa vinywa vyao wanakiri kuwa Urusi unawachagulia Marais kwa kuingia kwenye mifumo yao ya kupiga na kuhesabu kura. Vyombo vya anga za juu vya Marekani vinamtegemea Mrusi (Sayuz) na technolojia nyingine huko angani. Ndiyo maana Urusi anasema kuwa yeye bado kupigana vita kule Ukraine, yaani ile ni special operation tu inayojali maisha na miundombinu ya kijamii. Targrt yake kule urusi na miundombinu ya kijeshi tu. Sema tu Zelensky alifanya kosa moja la kuwatumia raia kama wanajeshi kwa kuwapa silaha wapigane na kujilinda, kitu kilichosababisha urusi iyalenga makazi yao pia ambako milio ya bunduki ilikuwa ikisikika.Ukweli vita hii ni mitego mkubwa sana kinachotafutwa hapa ni Marekani aingie katika uwanja wa vita,awachane na hili la kusaidia hela apelekea silaha,ukweli silaha zote anazopeleka nyingi mno zinalipuliwa zikiwa kwenye makonteina au zilipofikia na kuhifadhiwa, inteljensia ya urusi ndani ya Ukraine ni kubwa sana. Zinapofikia silaha na kuhifadhiwa Moscow wanapata habari.kuna hizi silaha zinazotumia kutumwa kwa gps,warusi wanajua pindi tu silaha hio itakapoamuliwa kurushwa inakwenda wapi na wanachokifanya ni kuiteka ile streem ya maelkezo na kuyarudisha au kuyaelekeza makombora hayo kwenda wanapotaka wao warusi walio ndani ya control room.
Ndio ukaona siku hizi ukraine wanatumia silaha za kusukumiza tu au kuvurumisha watajuana hukohuko litakakotua ,hawatumii kama pale mwanzo spesho target.
Ule msururu wa vifaru vya urusi ambavyo vilipangana kama nzega viliishia wapi vile? je unayo taarifa kila baada ya saa 24 Urusi hupoteza askari 250?? Nini kilimkimbiza Russia Kyiv?Vita ya Syria na Ukraine imeonyesha kuwa Silaha za magharibi (NATO) zimeonyesha uwezo mdogo sana dhidi ya zile za nchi za Magharibi. Nchi nyingi sasa zinawaza kwenda kununua silaha na mifumo ya ulinzi ya Urusi zenye ufanisi mkubwa kwenye uwanja wa vita kuliko zile za NATO.
NATO sasa inawaza kuachana na vita dhidi ya Urusi, hawaiwezi, wamekiri wenyewe kuwa mataifa yoooote ya ulaya na Marekani.
yanaiogopa Urusi, yaani NATO ni kwaajili ya Russia tu.
Ukumbuke NATO ni 30 countries against 1(Russia).Mnapenda kujifurahisha sana nafsi. Hii ni bila Nukes.
Total humiliation kabisa kabisa.
View attachment 2262455
Huyo jamaa aliyekua anasema NATO weapons si chochote, nimemletea takwim anasema anataka vitendo sio takwim. HaelewekiUkumbuke NATO ni 30 countries against 1(Russia).
So kwa takwimu hizo umadhani nani yuko juu?
Niamini mimi, ile safari ya Mais wa Ujerumani, Ufaransa, Italy na Romania kwenda Ukraine ni kwa lengo la kusitisha mapigano, yaani wamekwenda kumwambia Zelensky aache utoto atakufa bure na miji yake itaendelea kupondwapondwa na Mrusi.Silaha za NATO ni kwa ajili ya mazoezi tu, siyo battle field
Wamarekani si wanasemaga wanaundugu na viumbe kutoka magalax ya mbali huko na ndiyo wanaowapa taknologia, Sasa wanashindwaje taknologia na Urusi